Wale mashangazi wa JF yako wapi siku hizi? Au wameolewa ukubwani?

Duh hata yael majina miss nani sijui miss nini yameisha kweli siku hazigandi!
Daaah! nimewaza kama wewe, kulikuwa na Lady fulani fulani au Miss Nani naniiiiiii sijui au Madam fulanii......
Ila mazee tokea miaka ya 2008 hadi 2022, nadhani wengine wako na wajukuu sasa......
 
Wamegundua JF Hakuna sokoπŸ˜€πŸ˜€ kawafate telegram
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nenga songa mlongo wangu
Vee wa makehu mlongo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mashangazi mje polepole na tahadhari kubwa.Lile tangazo la kupiga hadi mashangazi halijafutwa.
 
Natumae mleta mada ulipata miongozo...
 
Wapo wamekumbatia vibenten vyao.... Wanataka kupewa mimba na vibenten alaf ety watalea wao.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…