Wale mashangazi wa JF yako wapi siku hizi? Au wameolewa ukubwani?

Wale mashangazi wa JF yako wapi siku hizi? Au wameolewa ukubwani?

Ndiyo maana Waswahili wanasema chunga ulimi! Inawezekana kuna wengine walikuwa wakiwaita wenye umri kuwazidi 'Jitu zima mjinga'. Kama ilikuwa ni 2008 na aliyasema hayo akiwa na miaka 26 leo anagonga 40!!
 
Viserengeti boy Viñatupeleka puta
Hata muda wa kukaa jf unapungua
 
Back
Top Bottom