Wale Matapeli wa "ile pesa tuma kwenye namba hii" Wanakula na baadhi ya wahudumu wa mitandao ya simu

Wale Matapeli wa "ile pesa tuma kwenye namba hii" Wanakula na baadhi ya wahudumu wa mitandao ya simu

Nchi hii uadilifu ni kidogo,tufundishe watoto wetu kitu uaminifu,maeneo mengi kukiwa na Hela au vitu vya thamani ujue bosi anayo kazi nzito,ukifanya kazi stoo kama haupo makini unanyea ndoo
 
Kuna kitu kinaitwa programming ndugu, zinasetiwa komandi voice ukitamka neno "tuma hela" inadetect!

Ni kama wanavyofuatilia mpango wa maandamano kuna maneno wanaset komand
Kuna kaukweli kadogo na kauongo kingi sana hapa. Watuniaji wa Simu Tz ni Milioni 15 na transactions zinazofanyika au pesa zilizopo kwenye mzunguko wa electronic Money ni zaidi ya 1B per day nilisikiaga report hii kipindi fulani(Japo naruhusu kukosolewa tokana na hizi takwimu). Je wanawezaje kutrace hizo voice na transaction zote zinazofanyika per day?
 
Kuna kaukweli kadogo na kauongo kingi sana hapa. Watuniaji wa Simu Tz ni Milioni 15 na transactions zinazofanyika au pesa zilizopo kwenye mzunguko wa electronic Money ni zaidi ya 1B per day nilisikiaga report hii kipindi fulani(Japo naruhusu kukosolewa tokana na hizi takwimu). Je wanawezaje kutrace hizo voice na transaction zote zinazofanyika per day?
Elewa kuna setting! Mfano baadhi ya maneno ambayo nauhakika yamestiwa kuwa outomated recognized ni kama neno ambushi, rais, ikulu, mama n.k
Kwahiyo kwa style hiyo wahuni wanaweza weka yao, Hela, nitumie, nakutumia n.k
Ili pale unapoyatamka namba zenu za simu zinatoa alert then ndipo wanazichukua matapeli.

Siyo kwamba wanasikiliza kienyeji
 
Mm wakinitumia "Tuma ile pesa kwa namba hii"
Huwajibu wainame waokote.
Wangese kweli wale watu wanapenda vya bure huku wamevaa chupi zao.
 
Nimefanya kazi call center Amin nakuambia wenye access ya kusikiliza simu zenu ni wachache kinyama alaf ni kitu nyeti kinoma
Kiufupi ile mimba inatuma randomly ikitokea zari lake basi unapakatwa
Naunga mkono hoja, Mimi pia nimefanya kazi call centre na hakuna access ya kusikiliza simu za mteja hata kidogo.

Simu pekee unaweza kusikiliza ni zile za Call centre ambazo mteja atapigia call centre au kitengo cha IT watampigia mteja ili kumsaidia.

Wale tuma kwenye namba hii wanatuma text randomly au ni kitengo kingine cha wadukuzi nje ya mfumo.

Wewe ukitaka kujua wale ni nje ya mfumo angalia hata wale wanaopiga simu na kujitambulisha kama watoa huduma kwa mteja. Katika hali ya kawaida na ya weledi haiwezekani utumie namba ya mtandao Y kupiga simu as huduma kwa mteja kwenda mtandao X.

Kwa mtu mwenye weledi kuhusu call cenre ni kitu ambacho hawezi kufanya, huduma kwa mteja lazima wapige namba within au watumie code kama 500 au 100. Wale jamaa hawana uelewa wowote kuhusu call centre na ukiwa mjinga unapigwa kutokana na upumbavu wako mwenyewe.
 
Hili linaweza kuwa kweli kiaina. Mimi nilisajili line ya mtandao flani kwaajili ya urahisi wa transactions. Ikapita wiki nzima. Mwishoni mwa wiki, siku ya Jumapili nikatumiwa kiasi fulani. Mi nikasema kwa usalama acha tu niihamishe benki.

Hamadi Jumatatu hii hapa. Napigiwa simu na namba ya mtandao mwingine akidai yeye ni mtu kutoka mtandao niliokua nikitumia. Tena akawa ananiambia nimepata kushinda kiasi fulani kisa ni mtumiaji mzuri wa mtandao huo.
Nikamchotaaa, nikamwambia fanya kazi we boya usije kuwa mchawi uzeen. Akakata simu, ajabu hakunitukana. Sasa nisingeihamisha ile hela jana yake sijui kingetokea nini. Kutapeliwa hakuna mjanja, nina wasiwasi kuna madawa wanayameza kabla ya kupiga simu kwa their victims.

God is good all the time....
 
Naunga mkono hoja, Mimi pia nimefanya kazi call centre na hakuna access ya kusikiliza simu za mteja hata kidogo.

Simu pekee unaweza kusikiliza ni zile za Call centre ambazo mteja atapigia call centre au kitengo cha IT watampigia mteja ili kumsaidia.

Wale tuma kwenye namba hii wanatuma text randomly au ni kitengo kingine cha wadukuzi nje ya mfumo.

Wewe ukitaka kujua wale ni nje ya mfumo angalia hata wale wanaopiga simu na kujitambulisha kama watoa huduma kwa mteja. Katika hali ya kawaida na ya weledi haiwezekani utumie namba ya mtandao Y kupiga simu as huduma kwa mteja kwenda mtandao X.

Kwa mtu mwenye weledi kuhusu call cenre ni kitu ambacho hawezi kufanya, huduma kwa mteja lazima wapige namba within au watumie code kama 500 au 100. Wale jamaa hawana uelewa wowote kuhusu call centre na ukiwa mjinga unapigwa kutokana na upumbavu wako mwenyewe.
Hahah wanaota au wanajuaje
 
Utapeli mwingine huu hapa 👇

1700760979261.png



Screenshot_20231123_203810_Samsung Internet.jpg


Wanaosajili hizo namba na wanaosimamia haya mambo wanajua kinachoendelea
 
Hili linaweza kuwa kweli kiaina. Mimi nilisajili line ya mtandao flani kwaajili ya urahisi wa transactions. Ikapita wiki nzima. Mwishoni mwa wiki, siku ya Jumapili nikatumiwa kiasi fulani. Mi nikasema kwa usalama acha tu niihamishe benki.

Hamadi Jumatatu hii hapa. Napigiwa simu na namba ya mtandao mwingine akidai yeye ni mtu kutoka mtandao niliokua nikitumia. Tena akawa ananiambia nimepata kushinda kiasi fulani kisa ni mtumiaji mzuri wa mtandao huo.
Nikamchotaaa, nikamwambia fanya kazi we boya usije kuwa mchawi uzeen. Akakata simu, ajabu hakunitukana. Sasa nisingeihamisha ile hela jana yake sijui kingetokea nini. Kutapeliwa hakuna mjanja, nina wasiwasi kuna madawa wanayameza kabla ya kupiga simu kwa their victims.

God is good all the time....
  • Kuna wakala wa saizi ya kati moja ya simu zake (ili hali yupo na simu yake, na hiyo siku hakwenda popote wala simu yake hakugusa mtu, na kwenye SMS zake hakuna SMS yote aliyotuma alitaka atumiwe pesa, ila kwa simu ya mfanyakazi kuna SMS na namba sahihi za bosi) ilituma SMS kwa wafanyakazi wake ikitaka mfanyakazi atume pesa. Wafanyakazi wakashtuka wakampigia kujiridhisha (alikuwa anewatahadharisha vya kutosha), la sivyo matapeli wangemfilisi.
  • Pia watajaga kiasi ambacho mtu anaweza kulipa; kama wakala ana 2m kwa simu, anaambiwa atume 1.5 m hivi. Je wamejuaje uwezo wa anayetapeliwa?
 
Elewa kuna setting! Mfano baadhi ya maneno ambayo nauhakika yamestiwa kuwa outomated recognized ni kama neno ambushi, rais, ikulu, mama n.k
Kwahiyo kwa style hiyo wahuni wanaweza weka yao, Hela, nitumie, nakutumia n.k
Ili pale unapoyatamka namba zenu za simu zinatoa alert then ndipo wanazichukua matapeli.

Siyo kwamba wanasikiliza kienyeji
Acha uongo. Kwahiyo tukipiga simu na kuongea na mama zetu wanatusikiliza kwa kuwa tumetaja mama. Chai hii imrpoa mkuu na haina sukari.
 
Mimi siweki pesa nyingi kwenye simu.
Naweka ya vocha na Bando tu.

Simu Ina watu wengi wanao weza kui ingilia na kuitapeli.
Ile pesa tuma kwenye namba hii huwa hawachukui kwenye simu , unaituma mwenyewe, yaani unakwenda kuvunja kibubu au unaitoa benki unawatumia nayakutolea mwenyewe!

Hii ni kutokana wanajua upo kwenye mchakato watuma ndipo hutumia mwanya huo thus tunamashaka huenda wanapewa taarifa
 
Na TiiiCiiRaei pia wanakula haiwezekani washindwe kuwakamata watu wanaotuma utapeli hadi kwenye namba za simu zao...
Hawana mlalamikaji wa kutoa udhahidi hivyo wanaachaga kwasababu watu hawapeleki malalamiko na ushahid ili wachukue hatua
 
Back
Top Bottom