Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shida nini mkuu,mwisho wa mwezi wote si mnaweka hela mezani mnazipangia matumizi?Maumivu ni yale yale uoe Mtumishi na Usioe Mtumishi hakuna kinacho badilika.
Siti ya mbele kabisaKuna wanaume waliioa wanawake wanaofanya kazi/walioajiriwa kwa lengo la kurahisisha maisha.
Mambo yakopoje huko kwenye ndoa? leteni feedback.
Ohoo...Kuna rafiki yangu, yuko kwenye hatua za kuachana na mke wake, mtumishi wa umma.
Alioa kwa lengo la kusaidiana maisha
Ukatili sana huuNdoa ukweli ni utapeli ndio maana Mimi niliamua kuoa mama wa nyumbani Hana Cha kunifanya
Nyumba kaikuta na kila kitu ndani
Akicheza anabeba begi kwao!!
Niache kula bia halafu nianze sijui baby huo ujinga Sina full ukakisi tu nyumbani nakaa masaa6 Kati ya 24!!!
Sinaga huruma kwa mwanamke Mimi!!!
☺️☺️Kabla ya ndoa, vipato vyenu vinakuwa vyenu
Baada ya ndoa, kipato Cha mwanamke ni chake. Cha kwako ni chenu!
"Kataa ndoa" Wana sababu za msingi
Mdau usioe kwasababu ya kusaidiwa maisha!!Mimi hata iweje siwezi kuoa jobless, acha niuawe na mwenzangu ili hata akileta mbwembwe najua kabisa sijatoboka kiivyo. Najua kuna vitu atakuwa amenipunguzia vidogovidogo mfn hela ya ped, kusuka nk
DuhNdoa ukweli ni utapeli ndio maana Mimi niliamua kuoa mama wa nyumbani Hana Cha kunifanya
Nyumba kaikuta na kila kitu ndani
Akicheza anabeba begi kwao!!
Niache kula bia halafu nianze sijui baby huo ujinga Sina full ukakisi tu nyumbani nakaa masaa6 Kati ya 24!!!
Sinaga huruma kwa mwanamke Mimi!!!
Unazingua mzee kwan ni vita huyo ni mkeo.Ndoa ukweli ni utapeli ndio maana Mimi niliamua kuoa mama wa nyumbani Hana Cha kunifanya
Nyumba kaikuta na kila kitu ndani
Akicheza anabeba begi kwao!!
Niache kula bia halafu nianze sijui baby huo ujinga Sina full ukakisi tu nyumbani nakaa masaa6 Kati ya 24!!!
Sinaga huruma kwa mwanamke Mimi!!!