Wale mliokimbilia kujenga Dodoma poleni sana

Wale mliokimbilia kujenga Dodoma poleni sana

Kipindi Serikali au mtu mmoja aliyeamua katangaza Dodoma kama makao makuu kwa maslai yake, watu wa Mikoani wakakurupuka kutoka huko kwenda kuwekeza Dodoma, sasa mambo yamekuwa magumu wanalalamika [emoji3] biashara zimekuwa ngumu na ni za msimu.

Nyumba walizojenga hazina wapangaji yaani mambo ni tafrani apeche alolo
Watu waliokimbilia huko wanalia wanapauka kwa vumbi na jua, Maji yamejaa chumvi hata kuyanywa ni shida
Ndo mkome kukurupuka kama chafya bila kufikiria.

Hizo nyumba zibebeni mzilete huku kigamboni [emoji4]

Unakimbia Dar unaenda kuwekeza Dodoma sehemu ngumu vile una akili kweli bora ungeenda kuwekeza Arusha, Mwanza, Moshi, Mbeya, Dar
Hili swala kwa muda huu mimi naamini hakuwa JPM mwenyewe aliyeamua; bali kuna watu walimchomekea tena kwa hoja ya nguvu. Jambo hili ukiunganisha na issue ya makinikia, ni kama kuna picha very clear inaanza kuonekana. Possibly mbunifu wa mambo haya mawili ni mtu mmoja
 
Upangaji wa nyumba zipi ambao ni hafifu?

Unaongelea Dodoma City Council au unaongelea Dodoma ya Mpwapwa?
Hata Mpwapwa mjini hakuna nyumba za 20 labda mpwapwa vijijini huko kama vile Mang'weta,Tambi,Mbori tena za matope ya kukandika sio hata za tofali za kuchoma
 
Kipindi Serikali au mtu mmoja aliyeamua katangaza Dodoma kama makao makuu kwa maslai yake, watu wa Mikoani wakakurupuka kutoka huko kwenda kuwekeza Dodoma, sasa mambo yamekuwa magumu wanalalamika [emoji3] biashara zimekuwa ngumu na ni za msimu.

Nyumba walizojenga hazina wapangaji yaani mambo ni tafrani apeche alolo
Watu waliokimbilia huko wanalia wanapauka kwa vumbi na jua, Maji yamejaa chumvi hata kuyanywa ni shida
Ndo mkome kukurupuka kama chafya bila kufikiria.

Hizo nyumba zibebeni mzilete huku kigamboni [emoji4]

Unakimbia Dar unaenda kuwekeza Dodoma sehemu ngumu vile una akili kweli bora ungeenda kuwekeza Arusha, Mwanza, Moshi, Mbeya, Dar
Mkuu ondoa moshi
 
Alokuambia nyumba za Dodoma hazina wapangaji sehemu gani?acha basi hoja za hovyo au lengo mumkashifu tu mtawala aliyepita?
Vitu vingine havipendezi mtu mzima kudanganya...Dodoma hii ht kama Rais wa sasa ameikacha lakini bado mahitaji ya nyumba ni makubwa....

Acha uongo!!
Mueleze huyo mjinga
 
Ilikuwa dalili ya kuipeleka serikali chato.
Sasa serikali imevuka bahari; ujenzi uko Kazimkazi!
Hawa viumbe hawajifunzi kutoka kwenye makosa ya waliowatangulia!
Tunaoumia ni sisi wa lipa kodi! Hizo wanazoiba toka kwenye consolidated fund ya Ikulu ni fedha toka kwenye makato /tozo zetu!
 
Back
Top Bottom