Wale mliokimbilia kujenga Dodoma poleni sana

Wale mliokimbilia kujenga Dodoma poleni sana

Hakuna mtu mwenye akili timamu, ambaye sio mwenyeji, angeenda kujenga/kuwekeza chato simply cause ni nyumbani kwa rais.
umenikumbusha Jiji la Mobutu Sese Seko la Globetore lilivyoyeyuka huko DRC,
 
Kipindi Serikali au mtu mmoja aliyeamua katangaza Dodoma kama makao makuu kwa maslai yake, watu wa Mikoani wakakurupuka kutoka huko kwenda kuwekeza Dodoma, sasa mambo yamekuwa magumu wanalalamika [emoji3] biashara zimekuwa ngumu na ni za msimu.

Nyumba walizojenga hazina wapangaji yaani mambo ni tafrani apeche alolo
Watu waliokimbilia huko wanalia wanapauka kwa vumbi na jua, Maji yamejaa chumvi hata kuyanywa ni shida
Ndo mkome kukurupuka kama chafya bila kufikiria.

Hizo nyumba zibebeni mzilete huku kigamboni [emoji4]

Unakimbia Dar unaenda kuwekeza Dodoma sehemu ngumu vile una akili kweli bora ungeenda kuwekeza Arusha, Mwanza, Moshi, Mbeya, Dar

Emi tuache bwana kututiia hasira
 
Kasi ya ukuaji wa mji wa Dodoma inadhihirishwa na viashiria lukuki ikiwemo uwepo wa taasisi nyingi za benki kufungua matawi yao Dodoma.

Hadi sasa kuna benki zaidi ya 20 zinatoa huduma Dodoma. Ikiwemo;
1. CRDB
2. NMB
3. NBC
4. TPB
5. DTB
6. DCB
7. LET SHEGO
8. HAKIKA MWANGA
9. EXIM
10. ABC
11. AMANA BANK
12. UBA
13. AZANIA
14. AKIBA
16. FINCA
17. CITY BANK
18. MKOMBOZI
19. EQUITY
20. ABSA
21. TADB
Haya ni baadhi ya mabenki yanayotoa huduma Dodoma, sijataja yote.

Mji uliodumaa au wenye mzunguko mdogo wa fedha hauwezi kuzivutia benki zote hizi kufungua matawi.

Dodoma ni miongoni mwa majiji yanayokua kwa kasi.
Sijaona umetaja orodha ya viwanda vikubwa Dodoma zaidi ya mashine za kukamua alizeti.


Sijaona umetaja mahotel ya nyota Tano.


Sijaona umetaja miradi mikubwa ya kimaendeleo.


Dodoma Ni jangwa
 
Labda kama kuna Dodoma nyingine unatoilezea,Dodoma hakuna mzunguko wa pesa upangaji wa nyumba ni hafifu sana,siyo ishu ya kukashfu mtawala aliyepita,mambo ni tough.
Upangaji wa nyumba zipi ambao ni hafifu?

Unaongelea Dodoma City Council au unaongelea Dodoma ya Mpwapwa?
 
Kipindi Serikali au mtu mmoja aliyeamua katangaza Dodoma kama makao makuu kwa maslai yake, watu wa Mikoani wakakurupuka kutoka huko kwenda kuwekeza Dodoma, sasa mambo yamekuwa magumu wanalalamika [emoji3] biashara zimekuwa ngumu na ni za msimu.

Nyumba walizojenga hazina wapangaji yaani mambo ni tafrani apeche alolo
Watu waliokimbilia huko wanalia wanapauka kwa vumbi na jua, Maji yamejaa chumvi hata kuyanywa ni shida
Ndo mkome kukurupuka kama chafya bila kufikiria.

Hizo nyumba zibebeni mzilete huku kigamboni [emoji4]

Unakimbia Dar unaenda kuwekeza Dodoma sehemu ngumu vile una akili kweli bora ungeenda kuwekeza Arusha, Mwanza, Moshi, Mbeya, Dar
Mkuu ukipata anayeuza nyumba nishirikishe
 
Kuna
Kasi ya ukuaji wa mji wa Dodoma inadhihirishwa na viashiria lukuki ikiwemo uwepo wa taasisi nyingi za benki kufungua matawi yao Dodoma.

Hadi sasa kuna benki zaidi ya 20 zinatoa huduma Dodoma. Ikiwemo;
1. CRDB
2. NMB
3. NBC
4. TPB
5. DTB
6. DCB
7. LET SHEGO
8. HAKIKA MWANGA
9. EXIM
10. ABC
11. AMANA BANK
12. UBA
13. AZANIA
14. AKIBA
16. FINCA
17. CITY BANK
18. MKOMBOZI
19. EQUITY
20. ABSA
21. TADB
Haya ni baadhi ya mabenki yanayotoa huduma Dodoma, sijataja yote.

Mji uliodumaa au wenye mzunguko mdogo wa fedha hauwezi kuzivutia benki zote hizi kufungua matawi.

Dodoma ni miongoni mwa majiji yanayokua kwa kasi.
Kuna baadhi ya benki,mfano Exim,umefunga baadhi ya matawi,baada ya kuona hakuna tija.
 
mwaka huu wa 2022 hakuna hiyo mafuruko na walishapatengeneza, maji yatapita tu.
Nimeona hata Jangwani Dar magreda yanachangamkia mto Msimbazi
Ila kiufupi mtu usihame Dar halafu ukajenge Dodoma umeliwa, Rudi Dar ukajenge au wale pesa nduguzo ) mke
wakujengee hata Kijichii
Mama kapakimbia
Mkuu Huu Mfereji Unaojengwa Hapa Utapunguza Tu Ila Hauwezi Kutoa Maji Yote
Mvua Iliyonyesha Alhamis Kama Uliiona Basi Utajua Kule Siyo
 
We kubwa Jinga kweli kweli mbona Dar Kuna nyumba za milion 3 kwa mwezi na watu hawaongei.
Mkiamka hamjapewa pesa na shemej zenu mnakuja kuandika ujinga... Lack of exposure ndio tatizo lako kodi ya 3M hata Songea ambako ni mji usio na maisha hizo kodi zipo, wee unadhan ni Dar tu ambayo umezaliwa umekuta Makonda ndie RC... Soma hoja za watu vizur, ukitaka matusi yapo yakutosha KARIBU TENA
 
Back
Top Bottom