Ukwaju
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 13,383
- 11,197
umenikumbusha Jiji la Mobutu Sese Seko la Globetore lilivyoyeyuka huko DRC,Hakuna mtu mwenye akili timamu, ambaye sio mwenyeji, angeenda kujenga/kuwekeza chato simply cause ni nyumbani kwa rais.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umenikumbusha Jiji la Mobutu Sese Seko la Globetore lilivyoyeyuka huko DRC,Hakuna mtu mwenye akili timamu, ambaye sio mwenyeji, angeenda kujenga/kuwekeza chato simply cause ni nyumbani kwa rais.
umenikumbusha Jiji la Mobutu Sese Seko la Globetore lilivyoyeyuka huko DRC,
Tatizo watu wanalinganisha Dodoma na Dar, ndio maana wanaona Dodoma kubaya ila kiuhalisia Dar ni Dar tu hapafanani na mkoa wowote ule
Kipindi Serikali au mtu mmoja aliyeamua katangaza Dodoma kama makao makuu kwa maslai yake, watu wa Mikoani wakakurupuka kutoka huko kwenda kuwekeza Dodoma, sasa mambo yamekuwa magumu wanalalamika [emoji3] biashara zimekuwa ngumu na ni za msimu.
Nyumba walizojenga hazina wapangaji yaani mambo ni tafrani apeche alolo
Watu waliokimbilia huko wanalia wanapauka kwa vumbi na jua, Maji yamejaa chumvi hata kuyanywa ni shida
Ndo mkome kukurupuka kama chafya bila kufikiria.
Hizo nyumba zibebeni mzilete huku kigamboni [emoji4]
Unakimbia Dar unaenda kuwekeza Dodoma sehemu ngumu vile una akili kweli bora ungeenda kuwekeza Arusha, Mwanza, Moshi, Mbeya, Dar
Sijaona umetaja orodha ya viwanda vikubwa Dodoma zaidi ya mashine za kukamua alizeti.Kasi ya ukuaji wa mji wa Dodoma inadhihirishwa na viashiria lukuki ikiwemo uwepo wa taasisi nyingi za benki kufungua matawi yao Dodoma.
Hadi sasa kuna benki zaidi ya 20 zinatoa huduma Dodoma. Ikiwemo;
1. CRDB
2. NMB
3. NBC
4. TPB
5. DTB
6. DCB
7. LET SHEGO
8. HAKIKA MWANGA
9. EXIM
10. ABC
11. AMANA BANK
12. UBA
13. AZANIA
14. AKIBA
16. FINCA
17. CITY BANK
18. MKOMBOZI
19. EQUITY
20. ABSA
21. TADB
Haya ni baadhi ya mabenki yanayotoa huduma Dodoma, sijataja yote.
Mji uliodumaa au wenye mzunguko mdogo wa fedha hauwezi kuzivutia benki zote hizi kufungua matawi.
Dodoma ni miongoni mwa majiji yanayokua kwa kasi.
Upangaji wa nyumba zipi ambao ni hafifu?Labda kama kuna Dodoma nyingine unatoilezea,Dodoma hakuna mzunguko wa pesa upangaji wa nyumba ni hafifu sana,siyo ishu ya kukashfu mtawala aliyepita,mambo ni tough.
Mkuu ukipata anayeuza nyumba nishirikisheKipindi Serikali au mtu mmoja aliyeamua katangaza Dodoma kama makao makuu kwa maslai yake, watu wa Mikoani wakakurupuka kutoka huko kwenda kuwekeza Dodoma, sasa mambo yamekuwa magumu wanalalamika [emoji3] biashara zimekuwa ngumu na ni za msimu.
Nyumba walizojenga hazina wapangaji yaani mambo ni tafrani apeche alolo
Watu waliokimbilia huko wanalia wanapauka kwa vumbi na jua, Maji yamejaa chumvi hata kuyanywa ni shida
Ndo mkome kukurupuka kama chafya bila kufikiria.
Hizo nyumba zibebeni mzilete huku kigamboni [emoji4]
Unakimbia Dar unaenda kuwekeza Dodoma sehemu ngumu vile una akili kweli bora ungeenda kuwekeza Arusha, Mwanza, Moshi, Mbeya, Dar
AhahahahBora hata Dom je wale waliojenga Chato?
Jamaa haijui Dodoma huyo,eti 20,nyumba gani hiyo?Upangaji wa nyumba zipi ambao ni hafifu?
Unaongelea Dodoma City Council au unaongelea Dodoma ya Mpwapwa?
Kuna baadhi ya benki,mfano Exim,umefunga baadhi ya matawi,baada ya kuona hakuna tija.Kasi ya ukuaji wa mji wa Dodoma inadhihirishwa na viashiria lukuki ikiwemo uwepo wa taasisi nyingi za benki kufungua matawi yao Dodoma.
Hadi sasa kuna benki zaidi ya 20 zinatoa huduma Dodoma. Ikiwemo;
1. CRDB
2. NMB
3. NBC
4. TPB
5. DTB
6. DCB
7. LET SHEGO
8. HAKIKA MWANGA
9. EXIM
10. ABC
11. AMANA BANK
12. UBA
13. AZANIA
14. AKIBA
16. FINCA
17. CITY BANK
18. MKOMBOZI
19. EQUITY
20. ABSA
21. TADB
Haya ni baadhi ya mabenki yanayotoa huduma Dodoma, sijataja yote.
Mji uliodumaa au wenye mzunguko mdogo wa fedha hauwezi kuzivutia benki zote hizi kufungua matawi.
Dodoma ni miongoni mwa majiji yanayokua kwa kasi.
Kwani uzi unaongelea Dodoma ipi?Upangaji wa nyumba zipi ambao ni hafifu?
Unaongelea Dodoma City Council au unaongelea Dodoma ya Mpwapwa?
Dodoma uswekeni Nyumba kibao zipo za 20,000 unakuja kusema laki 3.
Dodoma pa hovyo sana
Achana na uzi.Kwani uzi unaongelea Dodoma ipi?
Hivi ddma wanazalisha nini? Utalii hamna, viwanda hamna, uzuri hamna., miti hamna, maji hamna
Mkuu Huu Mfereji Unaojengwa Hapa Utapunguza Tu Ila Hauwezi Kutoa Maji Yotemwaka huu wa 2022 hakuna hiyo mafuruko na walishapatengeneza, maji yatapita tu.
Nimeona hata Jangwani Dar magreda yanachangamkia mto Msimbazi
Ila kiufupi mtu usihame Dar halafu ukajenge Dodoma umeliwa, Rudi Dar ukajenge au wale pesa nduguzo ) mke
wakujengee hata Kijichii
Mama kapakimbia
Mkiamka hamjapewa pesa na shemej zenu mnakuja kuandika ujinga... Lack of exposure ndio tatizo lako kodi ya 3M hata Songea ambako ni mji usio na maisha hizo kodi zipo, wee unadhan ni Dar tu ambayo umezaliwa umekuta Makonda ndie RC... Soma hoja za watu vizur, ukitaka matusi yapo yakutosha KARIBU TENAWe kubwa Jinga kweli kweli mbona Dar Kuna nyumba za milion 3 kwa mwezi na watu hawaongei.
250,000/=tzsYes sisi wazee wa night shift (popo) hatuna mitaji mikubwa kama wewe, naomba nijue utajiri wako ulianza na mamilioni kiasi gani?.
Alikuwa anakwenda na speed ya ujenzi wa SGR au siyo🤣Ilikuwa dalili ya kuipeleka serikali chato.