DA HUSTLA
JF-Expert Member
- Mar 5, 2012
- 3,805
- 4,107
Mbona Tanga na mtwara kuna bahari lakini choka mbaya.Dar inabebwa na location yake Bahari ni kitu ingine Mkuuu
Labda dodoma nao watengeneze bahari yao ila Dar ni unbeatable kwa TZ Dar case yake ni ya kusikilizwa na JAJI wa mahakama kuu not otherwise.