Daktari W Sindabhalla
JF-Expert Member
- Jan 29, 2017
- 600
- 580
ok.nani kakudanganya kuwa hu enjoy ku swim kilimanjaro pale moshi mjini kuna joto kama dar tu
basi itakuwa ngoma droo.
0 - 0
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ok.nani kakudanganya kuwa hu enjoy ku swim kilimanjaro pale moshi mjini kuna joto kama dar tu
Wivu tu wakusumbua, tupo Dodoma miaka kibao maisha yanaenda acha kuishi kwa kukaririMimi Dodoma nikafate nini huko Jangwani
Hivi kweli nihame kigamboni niende dodoma si ntakuwa na malaria iliyopanda kichwani
😍😍😍😍 Soon, Dodoma itakuwa nchi yenye uchumi wa kati.Wivu tu wakusumbua, tupo Dodoma miaka kibao maisha yanaenda acha kuishi kwa kukariri
Talking from experience naomba na dawa iliyokutibuUna minyoo ya ubongo wewe sio bure
Isee wewe popo kweli ,pia mtaji mdogoMbaya zaidi sisi watafutaji (mapopo) ukifika Dom saa 2000hrs huwezi kupata usafiri wa uhakika kuelekea Arusha au Iringa inakulazimu ulale, kitu ambacho ni dhambi kwa mtafutaji.
Yes sisi wazee wa night shift (popo) hatuna mitaji mikubwa kama wewe, naomba nijue utajiri wako ulianza na mamilioni kiasi gani?.Isee wewe popo kweli ,pia mtaji mdogo
Usiwashtue we we acha waendelee kulala sisi tunakula pesa taratibu na kuendelea kujitanua kibiashara. Kati ya vitu vilivyonitoa kimaisha ni kuhamia Dodoma. Nafikiri ulikuwa mpango wa Mungu kwa ajili yanguHuenda umedanganywa mkuu! Demand ya nyumba za kupanga bado ipo juu sana Dodoma. Kama unampango wa kuwekeza kwenye hiyo sekta usisite, fanya hima
Watu mnamakasiriko sio ya nch hiiUkiishi Dar unakuwa na akili kwamba pesa zote zipo Dar huko mikoani kuna watu wanapesa na hata hawana kelele
Kubishana na mpumbavu mda huo sinaUnaandika kama chekechekea. Maneno sita tu umemaliza.
Andika kama a great thinker ili ueleweke. Jenga hoja, toa sababu.
Dar itabak kuwa Dar nan anataka kwenda kufa na vumbi lileSasa kwanini dodoma isiwe makao makuu, hangaya anapenda tuu kukaa dar ila maamuzi ya kuhamia dodoma yalikuwa sahihi
miaka 50 ijayo unahisi kuna jiji litakuta dodoma kwa mpangilio na utaratibu na uzuri wa hilo jiji?Dodoma ni mji ambao Serikali inatumia nguvu nyingi kuujenga, pamoja na changamoto za maji na hali ya hewa, wagogo hawakuwa na akili au msaada wowote wa kuendeleza mji wao. Ni kama Serikali imefyeka msitu kuanza ujenzi wa hili jiji.
Dodoma inaweza kuyazidi majiji kama Mwanza, Arusha na Mbeya, ila sitarajii Dodoma kuizidi Dar.miaka 50 ijayo unahisi kuna jiji litakuta dodoma kwa mpangilio na utaratibu na uzuri wa hilo jiji?
Dar inabebwa na location yake Bahari ni kitu ingine MkuuuDodoma inaweza kuyazidi majiji kama Mwanza, Arusha na Mbeya, ila sitarajii Dodoma kuizidi Dar.
Jinga sana hili ukijua hupati usafiri sa 20:00.Isee wewe popo kweli ,pia mtaji mdogo
Dar itafishwa na Bwagamoyo. Bwagamoyo ikianza kazi Dar inatabki ya wavuvi na abiria kwenda wa Zanzibar tu.Dar inabebwa na location yake Bahari ni kitu ingine Mkuuu
Labda dodoma nao watengeneze bahari yao ila Dar ni unbeatable kwa TZ Dar case yake ni ya kusikilizwa na JAJI wa mahakama kuu not otherwise.
Afadhali Dom hakuna Majuto saaaana je nyie mliejenga KYATO????Kipindi Serikali au mtu mmoja aliyeamua katangaza Dodoma kama makao makuu kwa maslai yake, watu wa Mikoani wakakurupuka kutoka huko kwenda kuwekeza Dodoma, sasa mambo yamekuwa magumu wanalalamika [emoji3] biashara zimekuwa ngumu na ni za msimu.
Nyumba walizojenga hazina wapangaji yaani mambo ni tafrani apeche alolo
Watu waliokimbilia huko wanalia wanapauka kwa vumbi na jua, Maji yamejaa chumvi hata kuyanywa ni shida
Ndo mkome kukurupuka kama chafya bila kufikiria.
Hizo nyumba zibebeni mzilete huku kigamboni [emoji4]
Unakimbia Dar unaenda kuwekeza Dodoma sehemu ngumu vile una akili kweli bora ungeenda kuwekeza Arusha, Mwanza, Moshi, Mbeya, Dar