Wakati najiunga JF nilikuwa na miaka 24 pengine na wewe ndio umri ulionao..watu walikuwa wanachamba wadada wa 30+ nikawa naangaliaa na nacheka hii[emoji1787][emoji1787][emoji1787] nilijua 30 mbali kufumba na kufumbua hii hapa. Watu huwa wakimisi kuona vichambo vya single mother, above 30, wanawake wasomi n.k wanakuja kwa mlango wa nyuma na kujifanya wanauliza maswali au wanataka kama ushauri [emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila sio mbaya kikubwa uhaiJamani siwasimangi , ni uzi wetu sote[emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] au sio. Wewe unaitwa Mrs Van sisi unatuambia kikubwa pumziZamani ndio ilikua kuolewa na umri mdogo kawaida. Mambo yamebadilika hamna cha kuchelewa wala kuwahi. Wangap wamewah kuolewa na uzazi unawasumbua?
Wala usipanic muda wako uliopangiwa kuolewa ukifika utaolewa na kama hujapangiwa kuolewa pia hutoolewa. Kikubwa pumzi
πππHatari sana hahaahahhahaahhaaha
Ntakujaaaa
VungaHaahahahahah!
Aiseeeeee mbona hivi wewe mjamaaaa??? Yaani maswali haya si mnamalizia piyemu au??
ππHahahahaahhahaha
Haya bhana.
Naona hujui maana ya ndoa na umuhimu wake. Acha kuwapa ushauri wa ajabu kama huu as long as hawana future za kuzaa.Mimi nina maoni tofauti kidogo.
Kwa nini tunaipa ndoa uzito mkubwa ambao haistahili.Kwani maisha bila ndoa hayawezekani?
Unamkuta dada wa watu mzuri tu na tabia yake safi lakini analiwa ovyo na wanaume wasioeleweka na wasiompenda kisa kutafuta ndoa. Tena wengine shida yao ni kuvaa shela tu awakoge kina Mwajuma Nchokonoe kwenye vijiwe vya umbea vya kisasa vya instagram na whatsapp.
Ladies you can make your life beautiful even in absence of marriage.
Vice versa.Mdada akiwa hana pesa na yupo na miaka 30- kuendelea ndio inakuwa vigumu kuolewa ila akiwa anajiweza ni rahisi sana kuolewa nini? Sababu akiwa hana pesa katika umri huo anakuwa na vihere here vingi na anakuwa ameshajaribu na kukwepa na kupigwa na mishale mingi kupelekea kutoa mimba nyingi.. kwa kukataliwa na waliompa kwa hivyo anakuwa mtego kwa kila anayekutana nae kama mwanaume wake.. na hisia zake zinakuwa chache wakati huo.. WANAUME OYEE
Nipo harusini hapa Sinza,kuna dada wa rafiki yangu anaolewa na 41 mume ni 43...... saafi kabisa......wakati sahihi ni wakati wa Mungu pekee,ningejua ningekualika......sema tu bahati mbaya sikufahamu πHello wakuu!,
Happy Sunday to everyone, karibuni kwa maoni yenu, je ni kweli ukiwa above 30yrs kuna possibility ya kutokuolewa kwa wadada? Sababu ni nini, kwani suala la ndoa linazingatia umri na si upendo baina yenu mnaotarajia kuwa wanandoa? Mliooa na kuolewa katika umri huo je kuna tofauti yoyote mnayoiona ? Maisha yanaendaje ?ushauri wenu ni upi kwa wengine?.
Kumekua na maneno ya kutishana mitaani na hata baadhi ya threads humu kwamba mdada ukiwa na 30s ndiyo basi tenaa, sometimes hupelekea wadada kuolewa tu na mtu yeyote hata wasiyempenda sababu tu ya kigezo hicho kwamba she's in her 30s na anahofia atakosa ndoa.
Zamani mtaani kwetu nilikua nikisikia wakisema aunt fulani hajaolewa hadi leo, wanamshangaa, naona sasa kibao kimegeuka nimekua huyo aunt pia aahπ.
Karibuni na muwe na jpili njema...
Am in my early 30s mkuu
Tunaelekea kwenye kipindi cha ubeberu (imperialism era) kama zilivyo inchi matajiri kama Japan unaweza kuta mama ana maisha mazuri lakini anaishi na pets ( mbwa au paka) yaani ndio familia yake hiyo hana mtoto wala mume nasi Africa tunaelekea huko.Mi nadhan suala la complications za uzazi kwa wadada above 30s ndilo changamoto kubwa.
Wengi mimba zinatunga nje ya kizazi, kujifungua kwa operation, kupata mimba kwa tabu Sana, wengine mpk ugumba n.k
Nmeliona hili Sana,
Wadada wengi hasa wenye kipato Kia's, huamua kuzaa TU kwanza na yeyote kulinda kizazi, Kisha Mambo ya ndoa na mr.perfect baadae.
Sasa akishazaa tu,
Changamoto yake ndo zile zinaibuka case Tena za vijana kutokuoa single mothers, ikifikia hatua iyo ni maumiv makubwa Sana kwa mwanamke.
Na ujikuta pia akijutia maamuz yake ya mwanzo..
Sasa UKISKIA MWANAMKE AMEUMBWA MATESO, BASI NDO KAMA AYO[emoji26]
Poleni Sana kina dada[emoji26]
Sent using Jamii Forums mobile app
Rafiki usitake kunipatia laana bureeeeee hahahahahaah[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] we cheka tu rafiki wanasemaga malipo hapahapa duniani
Ndio hivyo mwenzangu kuna ile kutopangiwa wala sio uongo.[emoji1787][emoji1787][emoji1787] au sio. Wewe unaitwa Mrs Van sisi unatuambia kikubwa pumzi
Yaani kakomalia mpaka anataka na Sisi wengine atuingize katika huo mjadala.Vunga sasa we nae
Huyo hajaolewa atakua kakutana na mwenzie[emoji234] usikate tamaa, my ex girlfriend kaolewa mwezi uliopita akiwa na 43 yrs
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£[emoji1787][emoji1787][emoji1787] au sio. Wewe unaitwa Mrs Van sisi unatuambia kikubwa pumzi
Niombee Mungu nije kisiwa end of monthπππ
Good!Tunaelekea kwenye kipindi cha ubeberu (imperialism era) kama zilivyo inchi matajiri kama Japan unaweza kuta mama ana maisha mazuri lakini anaishi na pets ( mbwa au paka) yaani ndio familia yake hiyo hana mtoto wala mume nasi Africa tunaelekea huko.