Wale mliooa wake zenu wakiwa na zaidi ya miaka 30 na wadada mlioolewa mkiwa na zaidi ya miaka 30 pia, karibuni kwa maoni na uzoefu wenu

Bado sana,mamdogo wangu kavaa shela mwakajana akiwa na 44 sema shida mtoto kusumbuka kumpata
Sasa mwaka jana tu na unasema amesumbuka kupata mtoto...

Au alisumbuka kabla ya kuvaa shela?
 
Tatizo % kubwa ya wadada wenye 27+ years na hawana mtu wa maana almost wanakuwa na ma shida mengi.
Unawakuta kwenye dating apps wamejipa masifa kedekede I can cook I can do this n that... Mara God fearing girl.....
But na sisi wanaume tu najiuliza 1 question... Kwamba with all em qualities why you still single??? Na hapo ndo huwa tu naogopa majibu na tunakimbia.
Maana tunajua kuwa kama the last Guy amekimbia shida zako kwa sifa zote hizo ulizotaja unazo then wewe kweli ni PASUA KICHWA. ndo maana ukishafika hiyo age basi kupigika ni lazima na masela wanasepa.
 
Menopause inakaribua
Kama ni gari imetembea km laki moja,tangu uvunje ungo moaka 30 kitu kimeota sugu
 
Hii thread ina posts zinaweza kumfanya mdada akawa na siku mbaya sana kifikra. Watu wanajua kutema sumu sio poa!!
Ha ha ha labda awe mgeni na JF lakini kama mwenyeji hizi mambo zipo enzi na enzi humu.
 

Naona umeamua kupoteza mda wako kuwashauri wanawake madhara ya chips yai kuku

Ndugu wakitoka hapo wanaenda kula hizo hizo japo hapo unawaona wanaku sapoti mada yako

By the way,huwezi kupingana na nature,kinachowasumbua sio ndoa ni nature na perceptions za jamii
 
Kuolewa na kuoa ni hiyari sio lazima,
Kuna maisha mengine nje ya ndoa, acha maisha yaendelee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Halafu mambo yetu yaleee mtu unapata wap sasa kama huna mume wala muke?
 
Huo ni mtazamo wako hauwezi ukawa mtazamo wa watu wote.
We are interdependence to each other huwezi ku-declare humtegemei mtu
yeyote utakuwa unadanganya unless wewe uwe motivational speaker.
 
Mimi hapa mshangazi wa haja nipo na sina shaka. Niko na very early 30s. Familia naitamani na kuolewa natamani lakini siko tayari kuolewa kwa mtu sijampenda na pressure ya society pia. Sina hofu kabisa. Mbona wapo hawajaolewa na life linasonga? Do not marry mtu hujawa tayari kuishi nae ili kuimpress jamii. Mshangazi mwenyewe nna roho yangu ya kizungu... usiteseke shoo. Kwani Mzee Shirimaa amekutelekeza tena? Pale umepigwa shoo[emoji23]

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Hapana hizo ni hulka na mawazo ya kibinadamu,jambo la kuolewa halina mda wala ukomo wa umri.

Mimi binafsi nimeshuhudia ndoa nyingi sana ambazo wanawake wameolewa wakiwa above 35.

Mambo ya msingi za kuzingatia ili kutengeneza njia ya kuolewa

-Kujipenda kwa kuvaa vizuri na kuwa na muonekano mzuri sisemi ujichubue,oga vizuri kila sehemu ya mwili vizuri,paka mafuta au losheni ambayo itang'arisha mwili na siyo kukuharibu,tumia perfume yenye harufu nzuri na siyo ya kukera watu na kujitunza vizuri usigawe mwili kwa kila mtu siyo karanga hizo.Msubiri mumeo aje afungue vitu vipya kwenye box usije ukawa na kutu.[emoji177]

-kuwa na mwenendo na tabia njema uwapo kwenye jamii,kazini,kanisani au sehemu yoyote

-Kula chakula bora kwa kuzingatia afya yako

-kufanya mazoezi yatakayokuweka fit kiakili na kimwili.

-kuhudhuria kwenye ibada mbalimbali,seminar,Mikutano,sherehe na kwenye shughuli za kijamii kama misiba na shughuli za maendelea.

-Fanya kazi kwa bidii hakuna mwanaume anayempenda mwanamke mvivu,akimpenda basi anataka kumtumia
tu.

-Njia nyingne muhimu sana itakayokuhakikishia kumpata umpendae naye akupendaye ni kusali kwa imani kwa Mwenyezi Mungu bila kukata tamaa.Nakuhakikishia utapata unachositahiri kupata.[emoji120][emoji120]

Hizi ni njia anazoweza kutumia hata mwanaume kupata mke sahihi....

NAPENDA KUWATAKIA VALENTINE DAY,,[emoji312][emoji312][emoji3531]KWA WAPENZI,WANANDOA, FAMILIA,JAMAA NA MARAFIKI WOTE

UPENDO UDUMU KATIKA KATI YETU NA WATU WOTE[emoji123][emoji177][emoji322][emoji322]

Nifollow kupitia
petermarco65@gmail.com
 
Kwenye badoo huko wanajipa misifa, kuna mwanagu dereva wa halotel anawabutua, tena wengi wao ni 25-35.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…