Ampe yote sio
Kumbe sa nyingine mnatoa nusu nusu [emoji3][emoji3][emoji3]
Sasa mwaka jana tu na unasema amesumbuka kupata mtoto...Bado sana,mamdogo wangu kavaa shela mwakajana akiwa na 44 sema shida mtoto kusumbuka kumpata
Menopause inakaribuaHello wakuu!,
Happy Sunday to everyone, karibuni kwa maoni yenu, je ni kweli ukiwa above 30yrs kuna possibility ya kutokuolewa kwa wadada? Sababu ni nini, kwani suala la ndoa linazingatia umri na si upendo baina yenu mnaotarajia kuwa wanandoa? Mliooa na kuolewa katika umri huo je kuna tofauti yoyote mnayoiona? Maisha yanaendaje? Ushauri wenu ni upi kwa wengine?.
Kumekuwa na maneno ya kutishana mitaani na hata baadhi ya threads humu kwamba mdada ukiwa na 30s ndiyo basi tenaa, sometimes hupelekea wadada kuolewa tu na mtu yeyote hata wasiyempenda sababu tu ya kigezo hicho kwamba she's in her 30s na anahofia atakosa ndoa.
Zamani mtaani kwetu nilikuwa nikisikia wakisema aunt fulani hajaolewa hadi leo, wanamshangaa, naona sasa kibao kimegeuka nimekuwa huyo aunt pia aah😂.
Karibuni na muwe na Jumapili njema...
Ningeshangaa kama ungekuwa hujaolewa maana umeandika kitu very simple lakini very practical and effective.Ndio mkuu
Ha ha ha labda awe mgeni na JF lakini kama mwenyeji hizi mambo zipo enzi na enzi humu.Hii thread ina posts zinaweza kumfanya mdada akawa na siku mbaya sana kifikra. Watu wanajua kutema sumu sio poa!!
Mimi nina maoni tofauti kidogo.
Kwa nini tunaipa ndoa uzito mkubwa ambao haistahili. Kwani maisha bila ndoa hayawezekani?
Unamkuta dada wa watu mzuri tu na tabia yake safi lakini analiwa ovyo na wanaume wasioeleweka na wasiompenda kisa kutafuta ndoa. Tena wengine shida yao ni kuvaa shela tu awakoge kina Mwajuma Nchokonoe kwenye vijiwe vya umbea vya kisasa vya instagram na whatsapp.
Ladies you can make your life beautiful even in absence of marriage.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe mwenyewe uncle tu, usinitishe[emoji23][emoji23]
Halafu mambo yetu yaleee mtu unapata wap sasa kama huna mume wala muke?Kuolewa na kuoa ni hiyari sio lazima,
Kuna maisha mengine nje ya ndoa, acha maisha yaendelee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka hadi kupaliwa wallah.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka hadi kupaliwa wallah.
Huo ni mtazamo wako hauwezi ukawa mtazamo wa watu wote.Ndo narudi pale pale aliyeweka ndoa focus yake ya maisha,ni mtu ambaye anamtegemea binadamu mwenzake. Ushauri wangu upo pale pale wanawake wajiongezee thamani wataolewa. Unaweza ukafocus uolewe, ukabadili mienendo yako dada yangu lakini Kuna mahali utashindwa ku compromise. Maisha ni zawadi Mungu kakupa ishi utakavyo jipende jipe kipaumbele trust me utapata furaha ya kudumu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mpaka mzabzab mpenda p* anayepondaga ndoa kila siku, Leo anakuambia Ndoa ni ya muhimu, hili jambo siyo la kupuuza mdogo wangu financial services..
Ushauri mzuri sana huu..[emoji23][emoji23][emoji23]
Kuwa na amani mama muda bado, wekeza muda na akili kwenye mambo ya maana zaidi mume atakuja automatic.
Ni bora kuchelewa lakn kuingia ndoani na mtu sahihi. Ndoa si mashindano ni ww ndio utaishi na mume.
HaswaaaahKuolewa ni muhimu ila sio lazima... Misery loves company!
Kwenye badoo huko wanajipa misifa, kuna mwanagu dereva wa halotel anawabutua, tena wengi wao ni 25-35.Tatizo % kubwa ya wadada wenye 27+ years na hawana mtu wa maana almost wanakuwa na ma shida mengi.
Unawakuta kwenye dating apps wamejipa masifa kedekede I can cook I can do this n that... Mara God fearing girl.....
But na sisi wanaume tu najiuliza 1 question... Kwamba with all em qualities why you still single??? Na hapo ndo huwa tu naogopa majibu na tunakimbia.
Maana tunajua kuwa kama the last Guy amekimbia shida zako kwa sifa zote hizo ulizotaja unazo then wewe kweli ni PASUA KICHWA. ndo maana ukishafika hiyo age basi kupigika ni lazima na masela wanasepa.