Wale mliooa wake zenu wakiwa na zaidi ya miaka 30 na wadada mlioolewa mkiwa na zaidi ya miaka 30 pia, karibuni kwa maoni na uzoefu wenu

Wale mliooa wake zenu wakiwa na zaidi ya miaka 30 na wadada mlioolewa mkiwa na zaidi ya miaka 30 pia, karibuni kwa maoni na uzoefu wenu

My byuriful lil sis; sorry nimechelewa kuona mention yako. How are you swts?
Aisee ngoja nitafute muda nimuandikie kagazeti kake FS
Well well thanks God, I'm doing great sweet C'sssy walaqhi tena, nimekuwa happy soul once again..!! Time is the Best Healer..!! Mungu akujaze hakika..! Muandikie kagazeti kake kakumtosha tu akii'...!!

Happy Val's Day Sweet C'ssy..!!😍😍
 
Dunia imebadilika wanawake Sasa Hivi wamesoma sana na wanakazi nzuri haina haja ya kuolewa mapema .Pili kwa wanaume life start at 40 ndio maana ndoa za ukiwa na miak 20-2026 ukifika 40 mwanaume anatafuta mtu mwingine na divorce ni nyingi .Halafu ndoa inHitaji experience ya kimapenzi .Chemistry sex lazima ujue mambo Hayo kabla hujaingia kwenye uwanja wa mapenzi .Sio lazima kuolewa au kuoa just love yourself and relax
Hicho unacho ongea kinawezekana kwa mabikra, ila kama si bikra lazima atagongwa hovyo hovyo tunayaona ngumu kuvumilia genye na hapo heshima yako hushuka.
 
Huu uzi usikufanye ukakimbilia kuolewa na mtu ilimradi utakuja kujuta.Nina cousins aliolewa haikupita hata miaka mitatu akaachana na jamaa.Aliolewa na jamaa sababu ya kuchoka kukaa home. Jamaa alikuwa na hela na pia alikuwa na dharau,umalaya na pamoja na kumnyanyasa sister kwenye ndoa.Sister alivumilia,baada ya Magu kuingia madarakani biashara za jamaa zikafa pamoja na kufilisika sister akampiga chini now kila mtu kashika zake.Usiolewe kwa sababu umri umeenda olewa na mtu sahihi.
Huyo hakuchoka kukaa nyumbani bali alifuata hela huku akiwa hajui nini maana ya viapo vya ndoa.
 
Itabidi tuongee vizuri lol. So relieved to see you this happy baby. Happy Val's day beloved
Well well thanks God, I'm doing great sweet C'sssy walaqhi tena, nimekuwa happy soul once again..!! Time is the Best Healer..!! Mungu akujaze hakika..! Muandikie kagazeti kake kakumtosha tu akii'...!!

Happy Val's Day Sweet C'ssy..!![emoji7][emoji7]
 
Huyo sista hakuolewa sababu ya umri yeye aliolewa sababu ya tamaa ya hela za jamaa. Dnt confuse the two
Sawa but inafall in the same place mtu anaolewa ilimradi maybe because umri umeenda au kwa sababu tu mtu ana uwezo wa kumuoa ilhali sio sahihi
 
Sawa but inafall in the same place mtu anaolewa ilimradi maybe because umri umeenda au kwa sababu tu mtu ana uwezo wa kumuoa ilhali sio sahihi
kila mwanamke hapa duniani anaolewa kwa sababu potential husband ana uwezo kifedha. na ndio maana wazazi wanakuuliza huyo mchumba wako anafanya kazi gani? hawaulizagi eti mwanetu annnatee umempenda kweli huyo mwanaume?
 
kila mwanamke hapa duniani anaolewa kwa sababu potential husband ana uwezo kifedha. na ndio maana wazazi wanakuuliza huyo mchumba wako anafanya kazi gani? hawaulizagi eti mwanetu annnatee umempenda kweli huyo mwanaume?
Yeah hilo wanauliza ila siku huyo mwanaume uchumi/kazi ikifa na tayari mnafamilia watasema achana nae hana kitu kaolewe kwingine?
 
Ila we binti umeyataka mwenyewe maana wahuni wengi tumekufata ulipo kuwa Binti ukatutema ukaona hakuna faida ya mwanaume. Sasa kinachokufanya uhangaike saivi ni Nini? We komaa bhana uliyataka mwenyewe
 
Tunaelekea kwenye kipindi cha ubeberu (imperialism era) kama zilivyo inchi matajiri kama Japan unaweza kuta mama ana maisha mazuri lakini anaishi na pets ( mbwa au paka) yaani ndio familia yake hiyo hana mtoto wala mume nasi Africa tunaelekea huko.
Kama unafatilia tunaona mambo kadhaa ambayo zamani hayakuwapo lakini sasa yanajitokeza kwa kasi ya 5G mfano:
  • late marriages
  • distance marriages
  • childless marriages
  • Single life forever
-infertility and barrenness
Mambo yote hayo hapo juu nadhani yanasababishwa na mfumo wa maisha kubadilika ambapo sasa sehemu kubwa ya faraja ya maisha imekuwa pesa na ndo chanzo cha taasisi ya ndoa kukosa mashiko ( marriage institution). Mfano mimi nimekaa na girlfriend wangu tangu tunasoma huko secondary yaani tumefukuana for ten years sasa wakati tuko chuo lodge za kimara, changanyikeni, Manzese, Suvey.Zote hizo nilikuwa nampeleka kumfukua lakini sikuwahi kuwaza ndoa kwa kisingizio cha ubize wa kutafuta maisha mazuri kwanza (bila kujali umri unaenda/ imperialist lifestyle). Dada wa watu alikua anakaa kwao mimi nishatoka kwa wazazi najitegemea sasa. Akawa akija nyumbani wikiend anafua na kupika na kuosha vyombo then anarudi kwao maana yake naye anafanya kazi lakini anaishi kwao kwa wazazi. Jaribu kufikiria miaka kumi yaani ya kutinduana sina mpango wa ndoa.
Sasa siku moja kanipigia simu akaniambia yuko Lodge X niende huko (hii siku sitasahau maishani). Nilipofika tukafukuana vya kutosha baadae akaniamsha nikakuta kaweka diary na pen kwenye meza. Nikamuuliza nini hicho akaniambia nimekuita Leo nikuulize unaoa lini maana kila sehemu ushagusa na unanifukua tangu tuko sekondari sasa nakuambia bajeti yangu ya send off nishaandika huko nyuma ya diary nataka uandike bajeti yako ya harusi huko mbele ya dairy ukitoka hapa ukatafute hela ya tulivyoviandika humu.
Daaaa mzee baba nikaona Leo ishakuwa nongwa muda huo wote tuko kama tulivyozaliwa. Nikamwambia nipe muda akasema hakuna cha muda wala nini Leo tukitoka hapa naenda kuwaambia nyumbani wajiandae kupokea barua ya posa.
Hapo ndo nikajuwa kumbe nimekaa kwenye uhusiano kwa miaka kumi kisa natafuta maisha na hakuna cha maana nilichopata kwenye hayo maisha.
Baada ya mwezi mmoja mshenga alipeleka barua kulingana na mila zao mwaka uliofata nilioa. Tumeoana tukiwa na miaka 30. Yaani yeye miaka 30 na mimi miaka 30. Ndoa kwangu imekuwa tamu zaidi maana maisha niliokuwa natafuta yameanza kuonekana nikiwa kwenye ndoa. Kajinepepea kwa kulizika hadi tako lote limefutika namchek tu hapa anavyoangaika na watoto.
Aisee kisa kizur Sana[emoji4]
Natamani waione vijana wakileo,

Mi mwnyw pesa nmeanza kuiona kwa usahii nilipooa, yaan Ni Kama vile mungu huwa anafungulia milango ya baraka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nashauri wale ambao bado hawajaolewa usijaribu kuingia Kwenye uhusiano na mume wa mtu.

Utajichelewesha mambo yako!
Acha roho mbaya....[emoji3525]
IMG_20210928_230806.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkifatwa inbox mnaringa na kutublock.

Tukiwaomba namba, mnatupea namba za zimamoto ama nmba za wajomba zenu.

Tukiwafata face to face kuwatongoza mnaleta mashauzi na dharau za kijinga,

Sasa malipo yenu ni hapahapa, Hakuna mume wa miujiza utashushiwa na Mungu bila kupitia hizi njia mnazozi-escape.

Narudia tena nakukaza maneno hakuna ndoa ya muujiza, hakuna mume wa muujiza, kawaulizeni mama zenu,shangaz na dada zenu walioolewa waliweza vipi? Jibu utalipata kuwa waliolewa sababu hawakuwa jeuri kma mlivyo ninyi masista duu.

Mficha uchi azai, yaan upigike Age yoote ya 18-20s then uje umuuzie nani chuma chakavu age ya30s?? Labda uwe lishangazi na pesa zako uwahonge vijana wadogo yaani uwaowe wew.

Hata wazee hawataki kuoa wazee wenzao, sasa sjui itakuwaje kwenu vyuma chakavu.

Naona umeanza kushituka wakati kushakucha, yaan inshort tunasema it's too late but usikate tamaa, muda unao bado, kma huyo sharobaro wako anakupotezea muda, ropoka now unaweza pata husband material humu ukabadiri ratiba nzima ya maisha yako.

Muda ni sasa, hii iwafikie wadada woote wenye age26-30 wenye ndoto za kuolewa lkn hawajaolewa sabbu ya tabia zao za ujanja wa kishamba

Huu ndio ukweli ambao wengi humu hawatokuambia.

The bitter truth [emoji23]
Sahii kabisa [emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dear live your life first ndoa ni mpango wa Mungu ukifika huna pa kukwepa ,ndoa ni sacrifice though tunachukulia poa poa tu!ndo maana ndoa nyingi siku hizi chalii!.watu wanavaa shela ila hawaishi kindoa..Nakuombea uolewe na mume sahihi
 
Mimi nina maoni tofauti kidogo.

Kwa nini tunaipa ndoa uzito mkubwa ambao haistahili. Kwani maisha bila ndoa hayawezekani?

Unamkuta dada wa watu mzuri tu na tabia yake safi lakini analiwa ovyo na wanaume wasioeleweka na wasiompenda kisa kutafuta ndoa. Tena wengine shida yao ni kuvaa shela tu awakoge kina Mwajuma Nchokonoe kwenye vijiwe vya umbea vya kisasa vya instagram na whatsapp.

Ladies you can make your life beautiful even in absence of marriage.
Acha kuwadanganya heshima ya mwanamke ni MME.
 
Back
Top Bottom