financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
- Thread starter
-
- #661
Ok ahsante sana atleast inatupa moyo, maana huku mtaani tunaogopeshana sanaRafiki zangu wengi wameolewa wakiwa na miaka zaidi ya 35 na wako poa, tena ndoa haziwababaishi kbs
Nani ng'ombe sasa? Tumia kauli nzuri mkuuHapo kwenye kuheshimu sijui Kama Hizi ng'ombe zinaelewa
Ahsante sana mkuu kwa offer ila mke wa pili mmh , hapana siamini katika mke mwenza
Kazi kwaoHapo kwenye kuheshimu sijui Kama Hizi ng'ombe zinaelewa
Wee sio kuogopeshana ni kuelezana ukweli tatizo lenu warembo mmekuwa wabishi sana siku hiziOk ahsante sana atleast inatupa moyo, maana huku mtaani tunaogopeshana sana
Sasa tumeambiwa umri wowote hata 35 unaweza kuolewa na ndoa ikadumu vizuri tu.usitutishee😂Wee sio kuogopeshana ni kuelezana ukweli tatizo lenu warembo mmekuwa wabishi sana siku hizi
Sasa wee hawakwambii complications zingine ndio utakuja kutana nayo ukishakuwa humo ndani shauri yakoSasa tumeambiwa umri wowote hata 35 unaweza kuolewa na ndoa ikadumu vizuri tu.usitutishee😂
Siamini kuwa na mume wa mtu kabisaUnachohofia nini?
Hamna complications siku hizi technology inazidi kukua.Sasa wee hawakwambii complications zingine ndio utakuja kutana nayo ukishakuwa humo ndani shauri yako
Mie nakusubiria tuu pale ambapo mambo yamebana utakubali kuolewa na yule anayepumua🤣🤣🤣🤣Hamna complications siku hizi technology inazidi kukua.
Hapana hili sio kwa mwanamke tu hata wewe mwanamme ukifika umri fulani unazurura tu huna ndoa utaonekana huna maana kuna walakini heshima ya mwanamke au mwanamme ni kuwa katika ndoa na mwenzake kujenga family. ukiwa mwanamke mzuri sana lakini umri unaenda huna family yako unatizamwa tofauti unaenda kuonana na wenzako wengine wadogo zako kuna hawakufikii kwa lolote wewe lakini wana wenza wao na family zao lazima utajiona vibaya. Mwanamme hata uwe bilionare handsome huna mke na family yako utatizamwa tofauti. Hii ni natural kila mtu anapenda siku kuwa na Mume na Mke japo linawaathiri sana wanawake na sababu kubwa ukiwa huna ndoa unaonekana una walakini fulani. Tusijifariji hapa huo ndio ukweli heshima ni kuwa katika ndoa haijalishi jinsia gani.Mimi nina maoni tofauti kidogo.
Kwa nini tunaipa ndoa uzito mkubwa ambao haistahili. Kwani maisha bila ndoa hayawezekani?
Unamkuta dada wa watu mzuri tu na tabia yake safi lakini analiwa ovyo na wanaume wasioeleweka na wasiompenda kisa kutafuta ndoa. Tena wengine shida yao ni kuvaa shela tu awakoge kina Mwajuma Nchokonoe kwenye vijiwe vya umbea vya kisasa vya instagram na whatsapp.
Ladies you can make your life beautiful even in absence of marriage.
Kosa nalijua mimi. Hebu njoo PM nikufanyie sala ya tobaMbona sinakosa jamani…unanionea bure babu😎
Kumbe mimi kosa sina..hallelujah.Kosa nalijua mimi. Hebu njoo PM nikufanyie sala ya toba
🤣🤣🤣🐅 Usikate tamaa, my ex girlfriend kaolewa mwezi uliopita akiwa na 43 yrs
Poa tu. Mi namwachia MaulanaKumbe mimi kosa sina..hallelujah.
Pm sikuji ng’o
Kuoa au kuolewa hakuna ukomo katika umri unategemea mnaona kwa malengo gani.Usijirahisishe kwa kigezo cha umriHello wakuu!,
Happy Sunday to everyone, karibuni kwa maoni yenu, je ni kweli ukiwa above 30yrs kuna possibility ya kutokuolewa kwa wadada? Sababu ni nini, kwani suala la ndoa linazingatia umri na si upendo baina yenu mnaotarajia kuwa wanandoa? Mliooa na kuolewa katika umri huo je kuna tofauti yoyote mnayoiona? Maisha yanaendaje? Ushauri wenu ni upi kwa wengine?.
Kumekuwa na maneno ya kutishana mitaani na hata baadhi ya threads humu kwamba mdada ukiwa na 30s ndiyo basi tenaa, sometimes hupelekea wadada kuolewa tu na mtu yeyote hata wasiyempenda sababu tu ya kigezo hicho kwamba she's in her 30s na anahofia atakosa ndoa.
Zamani mtaani kwetu nilikuwa nikisikia wakisema aunt fulani hajaolewa hadi leo, wanamshangaa, naona sasa kibao kimegeuka nimekuwa huyo aunt pia aah😂.
Karibuni na muwe na Jumapili njema...
Wee usiniambiePoa tu. Mi namwachia Maulana
Niko PM nakusubiria kwa hamuWee usiniambie
Huko PM sithubutu hata kubisha hodiNiko PM nakusubiria kwa hamu
Mimi sina shida. Ni mvumilivu sana. Nakusubiria kwa hamuHuko PM sithubutu hata kubisha hodi