Wale mliooa wake zenu wakiwa na zaidi ya miaka 30 na wadada mlioolewa mkiwa na zaidi ya miaka 30 pia, karibuni kwa maoni na uzoefu wenu

Wale mliooa wake zenu wakiwa na zaidi ya miaka 30 na wadada mlioolewa mkiwa na zaidi ya miaka 30 pia, karibuni kwa maoni na uzoefu wenu

Hamna complications siku hizi technology inazidi kukua.
Mie nakusubiria tuu pale ambapo mambo yamebana utakubali kuolewa na yule anayepumua🤣🤣🤣🤣

Ebu kaa ufikiris mwenyewe kweli mwanaume kajiwezea kimaisha na anamudu majukumu yake kweli aache kuoa mwanammke mbichi wa miaka 26 aje achukue mmama wa miaka 35
 
Mimi nina maoni tofauti kidogo.

Kwa nini tunaipa ndoa uzito mkubwa ambao haistahili. Kwani maisha bila ndoa hayawezekani?

Unamkuta dada wa watu mzuri tu na tabia yake safi lakini analiwa ovyo na wanaume wasioeleweka na wasiompenda kisa kutafuta ndoa. Tena wengine shida yao ni kuvaa shela tu awakoge kina Mwajuma Nchokonoe kwenye vijiwe vya umbea vya kisasa vya instagram na whatsapp.

Ladies you can make your life beautiful even in absence of marriage.
Hapana hili sio kwa mwanamke tu hata wewe mwanamme ukifika umri fulani unazurura tu huna ndoa utaonekana huna maana kuna walakini heshima ya mwanamke au mwanamme ni kuwa katika ndoa na mwenzake kujenga family. ukiwa mwanamke mzuri sana lakini umri unaenda huna family yako unatizamwa tofauti unaenda kuonana na wenzako wengine wadogo zako kuna hawakufikii kwa lolote wewe lakini wana wenza wao na family zao lazima utajiona vibaya. Mwanamme hata uwe bilionare handsome huna mke na family yako utatizamwa tofauti. Hii ni natural kila mtu anapenda siku kuwa na Mume na Mke japo linawaathiri sana wanawake na sababu kubwa ukiwa huna ndoa unaonekana una walakini fulani. Tusijifariji hapa huo ndio ukweli heshima ni kuwa katika ndoa haijalishi jinsia gani.
 
Hello wakuu!,

Happy Sunday to everyone, karibuni kwa maoni yenu, je ni kweli ukiwa above 30yrs kuna possibility ya kutokuolewa kwa wadada? Sababu ni nini, kwani suala la ndoa linazingatia umri na si upendo baina yenu mnaotarajia kuwa wanandoa? Mliooa na kuolewa katika umri huo je kuna tofauti yoyote mnayoiona? Maisha yanaendaje? Ushauri wenu ni upi kwa wengine?.

Kumekuwa na maneno ya kutishana mitaani na hata baadhi ya threads humu kwamba mdada ukiwa na 30s ndiyo basi tenaa, sometimes hupelekea wadada kuolewa tu na mtu yeyote hata wasiyempenda sababu tu ya kigezo hicho kwamba she's in her 30s na anahofia atakosa ndoa.

Zamani mtaani kwetu nilikuwa nikisikia wakisema aunt fulani hajaolewa hadi leo, wanamshangaa, naona sasa kibao kimegeuka nimekuwa huyo aunt pia aah😂.

Karibuni na muwe na Jumapili njema...
Kuoa au kuolewa hakuna ukomo katika umri unategemea mnaona kwa malengo gani.Usijirahisishe kwa kigezo cha umri
 
Back
Top Bottom