Wale mliooa wake zenu wakiwa na zaidi ya miaka 30 na wadada mlioolewa mkiwa na zaidi ya miaka 30 pia, karibuni kwa maoni na uzoefu wenu

Shida ni kwamba unaishi kwa ajili ya watu. Mimi hata wakinitazama wakadhani nina walakini, kama sina huo walakini hainisumbui kabisa.

Siwezi kuoa ili tu nipate heshima kwenye jamii, nitaoa nikihitaji ndoa sio kwa sababu watu wanatarajia kuniona nimeoa.
 
Haya maneno tumesikia sana ukweli unabaki kila mwanamme ni lazima uwe na mke na kila mwanamke ni lazima uwe na mume ndio furaha ya kila mtu ndio maana harusi inakuwa jambo la furaha kwako na wazazi wako. Huwezi mwanamme uko 50 uko unazurura tu unasema ndoa sio muhimu. Kusema tu mimi sijali watu sio kweli ni lazima litagusa tu itafika kama sio Mama yako au Baba yako itabidi tu akuulize kulikoni mwanetu huwezi kukaa hivi lazima upate mwenza. Hii ni desturi na pia ni jambo jema kiimani ya dini zetu. Mume bila kuwa na family ni bure tu. Mwanamke sio wa kumlaumu sana anaweza kuwa anaomba apate mume lakini hajapata sio katika uwezo wake ila mwanammke hakuna excuse.
 
Jinsi umri unavyokutupa mkono ndivyo mvuto wako unavyotokomea na uchakavu unavyoshamiri.

Wanaume/waoaji (wengi wetu) tunavutiwa zaidi na "mali mbichi", kama bidhaa basi ile halisi kutoka kiwandani au chakavu basi sio sana kivileee.

Tunaamini wenye umri mkubwa wameshachakazwa/wametumika sana...n.k[Sorry, sina mana mbaya]

Japokuwa, kua uwezekano wa kupata mwenza kagika umri wowote...utandawazi na tamaduni-huru zimefungua milango yenye matokeo kwamba Ndoa-Ndoano (haijalishi umri).
 
Usihofu Dorothy 38 years kaolewa na Mrema hapa juzi tu
 
Ukiamua utauweza. Sema kwakuwa umeamua kunikomoa. Ila mimi sikati tamaa. Nilishawahi kusubiria papai chini ya nguzo ya umeme. Na nikafanikiwa
Asprin akili yako si nzuri πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Asprin akili yako si nzuri πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ndio bahati mbaya niliyopata. Kuzaliwa alhamisi alfajiri mvua ikiwa inanyesha, lazima akili zicheze kidogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…