Wale mliooa wake zenu wakiwa na zaidi ya miaka 30 na wadada mlioolewa mkiwa na zaidi ya miaka 30 pia, karibuni kwa maoni na uzoefu wenu

Generally wanawake above 30 wasioolewa wasiolewe kabisa kwa maana inaonyesha haoni umuhim wa ndoa maishan mwake hata akiolewa atakua mtu wa kujali yaliyomchelewesha kuolewa
Unatafuta phd huna mchumba ng'ombe kbx
Utazaa lin,utalea watoto lin?
Ina maana akiwa binti yako utamwambia aachane na phd atafute mchumba kwanza aolewe
 
Hesabu ndogo ya darasa la saba
25_31_33_34 tofaut iliyopo 6_3_1_n.
Unahisi inayofuata hapo ni ngapi kama siyo 0 kumaanisha safar yako imeishia hapo.
Pole sana[emoji22]
🤣ulikuwa unahesabu mkuu😳 mbona safari yangu ilishaisha kitambo
 
Aolewe tu hivohivo atazeeka nae ujana utaisha.
Yeye agegedane tuu hamna shida ya ndoa...cha msingi anapata utamu na siku hizi naona sayansi imewarahisishia wanawake kupata mimba.
 
Auntie mimi niko siriaz nataka auntie kama wewe plz njoo pm sitakuangusha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…