Wale mliooa wake zenu wakiwa na zaidi ya miaka 30 na wadada mlioolewa mkiwa na zaidi ya miaka 30 pia, karibuni kwa maoni na uzoefu wenu

Over 30 akikutunuku mbususu unapiga au hupigi?
 
Mzeya naona unawapigia debe kiushikaji wenye sura pesono [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Dah hsemalo kweli mwanamke mpaka akagike 30 anajua design mbali mbali za ceiling board.
Wee jamaa bhana
Anajua design zote za paa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ngumu sana kukutana na 30+ akawa hajaumizwa. Ila nakubaliana kuwa 30+, hasa 30-34 hapo wanafaa sana kuingia ndoani.
Wengi wao wanakuwa waliolewa huko vyuoni halafu mabaharia wakawatema. Yaani ukimpata aliyeumizwa sawasawa inabidi wewe ndo uwe mume na therapist hapo hapo vinginevyo mambo hayataenda.
 
Me nadhan kilichokuchelewesha mpaka kufka hapo ni kutafuta pesa so inabid unitoe wasi wasi isiwe ulikua busy na mabo mengne tu, Umri umeenda,Uzur umefifia,pesa huna daaaah! Ni zaid ya mzgo huu.
Ha ha ha...eti uzur umefifia[emoji16]
 
Sahii kabisa[emoji106]
 
Point[emoji106]
 
Age is just a number...

Na kwa hali ya sasa the best wives ni wale ambao wako 30+ hasa ukipata ambaye hajaumizwa na kuchezewa sana na mabaharia.
Unamtoa wapi na ulimwengu huu mabinti wanatolewa Bikra since wake primary, sekondary wanabeba mibaba.
 
Ohoooo Ole wao wabishao kwa maana watatujib Paula ana Miaka mingap!
Paula Yuko kwenye 18,
Nnachojua kajala mimba ya Paula kabeba akiwa sekondari, na ndicho kilichosababisha akakatisha masomo yake.

Haiingii akilini hata sekondari hajamaliza, eti awe na miaka 23. Wengi sekondari wanakua below 18.

Uyo kajala Kama kazidi Sana atakua kwenye 33 kazidi Sana labda 36.

Ila 41 hapana, nakataa
 
Ni kosa la jinai kwa mwanaume kukataa kusasambua mbususu as long as mwanamke kaileta mwenyewe
Ha ha ha ..
Sasa Kama mbususu unapiga fresh Tatizo nn usioe chief[emoji4]
 
Wengi wao wanakuwa waliolewa huko vyuoni halafu mabaharia wakawatema. Yaani ukimpata aliyeumizwa sawasawa inabidi wewe ndo uwe mume na therapist hapo hapo vinginevyo mambo hayataenda.
Mwanamke aliyeumizwa snaa Ni kichomi Sana kwenye mahusiano, kwa maana Yuko very defensive kutokana na past yake.
 
Sie tunampanukweli wa mambo. Sasa wee mwanamke mpaka 30 hajaolewa alikuwa anafanya nini?
Wengi wanapoteza muda sna mashuleni na kujenga carieer zao, hasa hasa kabila la Mtoa mada.
 
Mi ninachojua tu Kajala limekaa vizuri kupelekea moto, acha tu dogo ajimilikishe, hata kama ni kwa mda lakini atafaidi. Limekaa vizuri kulipiga mittti yani.
 
Ha ha ha ..
Sasa Kama mbususu unapiga fresh Tatizo nn usioe chief[emoji4]
Sasa wewe unachaje vitu young unachukuwa vitu vinaanza kujichokea?
Alafu in general tumekubaliana hakuna kuoa
 
Wengi wanapoteza muda sna mashuleni na kujenga carieer zao, hasa hasa kabila la Mtoa mada.
Kujenga career?!! That would make sense kama humo ndani ya nyumba kunatokea contribution ya maana. Humo kwa munyumba billz zote nalipa mie mume sasa hiyo career ya mwanamke inafaida gani kwangu.


Ah wapi mie mwanamke ata awe na phd yake namwambia kabisa wewe ni chombo changu cha starehe period, ur dgrees are of no use to me
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…