[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]AiseehNimeolewa lakini sio kiviiiile
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]AiseehNimeolewa lakini sio kiviiiile
Mpaka mzabzab mpenda p* anayepondaga ndoa kila siku, Leo anakuambia Ndoa ni ya muhimu, hili jambo siyo la kupuuza mdogo wangu financial services..Wee unawliaha ujinga wanawake. Wanawake msidanganyike kabisa. Ndoa muhimu.
Kweli kabsa Sara alizaa akiwa na miaka 80 umri ni namba tu.Umri unaposogea ni kwamba yule uliyepangiwa bado hujakutana nae, unaokutana nao ni fake, subiri tu kwa matumaini atakuja. Miaka ni namba tu! Tunachoangalia ni utu na kilichopo kichwani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Maji yamefika ukingoni mkuuAunt kwisha habari yako..[emoji23]
Naomba nikuitie dada yangu mwenye busara zake Heaven Sent kuna maneno alinambia mpaka Leo yanaishi moyoni mwangu, ain't desperate anymore..!Nilitaka kupata confessions kutoka kwa wadau, badala yake napata madongo tu, kweli kila mtu ana uhuru wake😂 ahsanteni wote kwa kuendelea kushauri , ntayafanyia kazi
Hilo ni tamanio la Kila mtu lakini si wote wanafanikiwa.Ni kweli mkuu, ila nadhani kila mtu na plan yake , mfano mimi i wish siku nije kuwa na familia ile ya Baba, mama na watoto. So kwangu bila ndoa maisha yanawezekana ila ikipatikana ndoa yatawezekana zaidi maana ntatimiza malengo niliyojiwekea. Mungu mwenyewe alimuumba Adamu na kumpa msaidizi Eve. So nadhani ni muhimu kupata wasaidizi.
Tafuta hela .kama huna hela utaona kuolewa na yoyote ni bahati[emoji28][emoji28][emoji28] kila siku mwaanzisha thread za kutusimanga, na ninyi mtafika tu hiyo 30 Mungu si Relief Mirzska
TrueMimi nina maoni tofauti kidogo.
Kwa nini tunaipa ndoa uzito mkubwa ambao haistahili.Kwani maisha bila ndoa hayawezekani?
Unamkuta dada wa watu mzuri tu na tabia yake safi lakini analiwa ovyo na wanaume wasioeleweka na wasiompenda kisa kutafuta ndoa. Tena wengine shida yao ni kuvaa shela tu awakoge kina Mwajuma Nchokonoe kwenye vijiwe vya umbea vya kisasa vya instagram na whatsapp.
Ladies you can make your life beautiful even in absence of marriage.
Thubutuuuuu..ninavyopenda ile kitu ile naanzaje kuwa tomboy..hapana kwakweliKuna namna usipoangalia nitasema wewe ni ka-tomboy kiaina[emoji23][emoji23]
Haha! HongeraNgende kumejibu mweee
Baby, why wauliza hivyo tena?Hello wakuu!,
Happy Sunday to everyone, karibuni kwa maoni yenu, je ni kweli ukiwa above 30yrs kuna possibility ya kutokuolewa kwa wadada? Sababu ni nini, kwani suala la ndoa linazingatia umri na si upendo baina yenu mnaotarajia kuwa wanandoa? Mliooa na kuolewa katika umri huo je kuna tofauti yoyote mnayoiona ? Maisha yanaendaje ?ushauri wenu ni upi kwa wengine?.
Kumekua na maneno ya kutishana mitaani na hata baadhi ya threads humu kwamba mdada ukiwa na 30s ndiyo basi tenaa, sometimes hupelekea wadada kuolewa tu na mtu yeyote hata wasiyempenda sababu tu ya kigezo hicho kwamba she's in her 30s na anahofia atakosa ndoa.
Zamani mtaani kwetu nilikua nikisikia wakisema aunt fulani hajaolewa hadi leo, wanamshangaa, naona sasa kibao kimegeuka nimekua huyo aunt pia aah[emoji23].
Karibuni na muwe na jpili njema...
Namtania tu mi mwenyewe nataka nikaepo hapo mwambie basi tuyajenge maana nikimwambia mimi hawezi kuelewa!..😀HiKwani uliambiwa kuwa na miaka 30 kwa mwanamke ni dhambi 🤪🤪
Nataka kufahamu tu, what's wrong with it baby?😂Baby, why wauliza hivyo tena?
Umeona eeh, ni muhimu sana tu ila kuna wanaotaka kutuaminisha eti si muhimuMpaka mzabzab mpenda p* anayepondaga ndoa kila siku, Leo anakuambia Ndoa ni ya muhimu, hili jambo siyo la kupuuza mdogo wangu financial services..
Kitu gani tena, itaje kwa majina🏃🏃🏃Thubutuuuuu..ninavyopenda ile kitu ile naanzaje kuwa tomboy..hapana kwakweli
Ntafurahi kumuona hapa akinipa neno la tumaini pia😍 Heaven SentNaomba nikuitie dada yangu mwenye busara zake Heaven Sent kuna maneno alinambia mpaka Leo yanaishi moyoni mwangu, ain't desperate anymore..!