Changes boy
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 552
- 363
Za shoo room zinaagizwa nyingi so inakua bei rahisi kuanzia kununua na garama nyingine. Ujasoma biashara ndo maana unalopoka unazani hii biashara ya kuuza kuku. Tafuta watu wa bandalini kwa ushauri zaidiUnataka kusema bei ya Vitz (2005) mfano ya $100, hadi kufikisha TZ, gharama yake itakuwa ni kubwa kuliko ukinunua showroom? Huyo wa showroom faida anapataje? Kama hujawahi kuagiza gari, soma na ujifunze kwa wengine. walioagiza.
Hujui kitu wewe acha maneno mengi. Nitakupa mfano mmoja, kwa leo Beforward, Toyota Rush (2007) ya bei nafuu ni $4272 (karibu na sh 9.6mil), ushuru wake ni sh 7.1mil, jumla 16.7mil. Wa showroom hajaweka faida yake ambayo ni 2-3 mil. Hebu niambie, ni showroom gani DSM ambayo utapata hiyo gari, inauzwa chini ya milioni 16, kwakuwa ukiagiza magari mengi bei hupungua, labda gari la kufugia kuku ndiyo utapata chini ya hapo. Ushauri wa kwanza, acha kuongea mambo usiyoyajua ili uonekane unajua. Pili, rudi shule kajifunze kuandika maneno ya Kiswahili.Za shoo room zinaagizwa nyingi so inakua bei rahisi kuanzia kununua na garama nyingine. Ujasoma biashara ndo maana unalopoka unazani hii biashara ya kuuza kuku. Tafuta watu wa bandalini kwa ushauri zaidi
Fanya mara mbili yani usd 2000 ×2Oky roughly kama gari Ni ya $2000 hizo garama zingine zinaweza kuipaisha mpaka sh ngapi mpaka naondoka nayo?
unazani ni biashara za nyanya agiza gari ujionee mwenyewe. Siwezi bishana na virazaHujui kitu wewe acha maneno mengi. Nitakupa mfano mmoja, kwa leo Beforward, Toyota Rush (2007) ya bei nafuu ni $4272 (karibu na sh 9.6mil), ushuru wake ni sh 7.1mil, jumla 16.7mil. Wa showroom hajaweka faida yake ambayo ni 2-3 mil. Hebu niambie, ni showroom gani DSM ambayo utapata hiyo gari, inauzwa chini ya milioni 16, kwakuwa ukiagiza magari mengi bei hupungua, labda gari la kufugia kuku ndiyo utapata chini ya hapo. Ushauri wa kwanza, acha kuongea mambo usiyoyajua ili uonekane unajua. Pili, rudi shule kajifunze kuandika maneno ya Kiswahili.
Asante nimejifunza kitu...Ishu sio bei ingia hapa kwenye calculator ya TRA
[USED MOTOR VEHICLE VALUATION CALCULATOR] is good,have a look at it! USED MOTOR VEHICLE VALUATION CALCULATOR
Nilishaagiza huu mwaka wa 3, na nishasaidia watu zaidi ya watatu, nakushangaa wewe uongeaye usivyovijua. Mimi nimekupa mifano hai, wewe unatoa kejeli, inadhihirisha hakuna ujualo. Zunguka showrooms za DSM kisha urudi na ushahidi wa wazi kutetea hoja yako. Achana na habari za kwenye vijiwe vya kahawa.unazani ni biashara za nyanya agiza gari ujionee mwenyewe. Siwezi bishana na viraza
habari zako ndo za vijiwe vya kahawa kuonyesha mimi natoa habari za vijiwe vya kahawa weka hizo documents au nakala kwenye huu huzi(thread) kusibitisha kama ni kweliNilishaagiza huu mwaka wa 3, na nishasaidia watu zaidi ya watatu, nakushangaa wewe uongeaye usivyovijua. Mimi nimekupa mifano hai, wewe unatoa kejeli, inadhihirisha hakuna ujualo. Zunguka showrooms za DSM kisha urudi na ushahidi wa wazi kutetea hoja yako. Achana na habari za kwenye vijiwe vya kahawa.
Nimeshangaa kwa kweli....huyo supplier ni BomuNamna ya ku rescue ipo sana,
Maana kama umelipia recently basi muda wa kuanza kukagua hizo bado sana,
Waweza kuilipia upya kisha akutumie Invoice ingine,
And infact issue sio kuweko kwenye Invoice, bali gari iliyokaguliwa hua wanatoa Certficate na hiyo ndiyo inayohusika. Kwa Japan hua ni EAA Company au JAAI Inspection nadhani.
Ila kabla hujafikia huko Jifanye kama wakati anakupa bei ulijua imejumuisha Inspection,
Muulize Supplier wako why huioni, au why hajaiandika,
Yaani usimwambie kua hujalipa halafu umsikie atasemaje,
Supplier ni nani huyo asiejua kua LAZIMA gari zijazo Tanzania zikaguliwe??
Mkuu we kiboko!Wakikupigia na garama nyingine utajuta kwa wapenda vya bei chee. Kuanzia kulisafirisha, kodi ya gari lilitumika zaidi ya miaka 5 ni kubwa, muonekano wa picha ni tofauti na utapoliona live bado kulisajiri.
Inabidi unywe panado kama umeagiza bila kujua garama bola ununue yaliyoshoo room bongo
Ukifata Gari showroom ni lazima wanataka mafaida tena kuanzia 4- 5mNilishaagiza huu mwaka wa 3, na nishasaidia watu zaidi ya watatu, nakushangaa wewe uongeaye usivyovijua. Mimi nimekupa mifano hai, wewe unatoa kejeli, inadhihirisha hakuna ujualo. Zunguka showrooms za DSM kisha urudi na ushahidi wa wazi kutetea hoja yako. Achana na habari za kwenye vijiwe vya kahawa.
Zipo nyingi siwezi weka zote hapa, sema unataka ipi kati ya hizi:habari zako ndo za vijiwe vya kahawa kuonyesha mimi natoa habari za vijiwe vya kahawa weka hizo documents au nakala kwenye huu huzi(thread) kusibitisha kama ni kweli
Hizo document 9 ndo unasema nyingi ziweke hacha mbwembwe na maneno ya kiswahili. Weka document kuanzia unaagiza mpaka linaingia barabarani acha polojoZipo nyingi siwezi weka zote hapa, sema unataka ipi kati ya hizi:
1. Export certificate
2. Shipping liner ilyoleta gari
3. Certificate of export inspection
4. Certificate of Appraisal toka EAA
5. Invoice ya gari toka (Beforward)
6. Payment note (TRA) kuwa gari imelipwa ushuru
7. Assessment document (TRA)
8. Tax payment slip
9. Motor vehicle license
Witnenessj, mwambie huyo sababu yeye anasema, gari la kuagiza, mfano Vitz ya dola 1500 ya mwaka 2000, ukiagiza, litakuwa na bei juu kuliko la showroom la bei hiyohiyo. Na hoja yake ni kwamba, wale wa showroom hupata hayo magari kwa bei nafuu sababu hununua mengi kwa wakati mmoja. Hii kitu hakuna.Ukifata Gari showroom ni lazima wanataka mafaida tena kuanzia 4- 5m
Hakuna biashara isiyo na faida dunia hii
Kijana, huna hoja, go back to school.Hizo document 9 ndo unasema nyingi ziweke hacha mbwembwe na maneno ya kiswahili. Weka document kuanzia unaagiza mpaka linaingia barabarani acha polojo
Kilaza wewe hata document huna. Kadanganye wa kishimundu moshiKijana, huna hoja, go back to school.
Nenda PM, siwezi anika docs zangu hapa.Kilaza wewe hata document huna. Kadanganye wa kishimundu moshi
Nimeziona mkuu, sorry. Kumbe mi ndio sijui. Be foward hiko poa, show room wanatupiga sanaNenda PM, siwezi anika docs zangu hapa.
Hata ujumbe huwezi soma ukauelewaNimeziona mkuu sorry. Kumbe mi ndio sijui mambo.
Poa mkuuHata ujumbe huwezi soma ukauelewa
Hakuna kitu kama hicho asee...Witnenessj, mwambie huyo sababu yeye anasema, gari la kuagiza, mfano Vitz ya dola 1500 ya mwaka 2000, ukiagiza, litakuwa na bei juu kuliko la showroom la bei hiyohiyo. Na hoja yake ni kwamba, wale wa showroom hupata hayo magari kwa bei nafuu sababu hununua mengi kwa wakati mmoja. Hii kitu hakuna.