Wale mliowahi kuagiza magari online

Wale mliowahi kuagiza magari online

Unataka kusema bei ya Vitz (2005) mfano ya $100, hadi kufikisha TZ, gharama yake itakuwa ni kubwa kuliko ukinunua showroom? Huyo wa showroom faida anapataje? Kama hujawahi kuagiza gari, soma na ujifunze kwa wengine. walioagiza.
Za shoo room zinaagizwa nyingi so inakua bei rahisi kuanzia kununua na garama nyingine. Ujasoma biashara ndo maana unalopoka unazani hii biashara ya kuuza kuku. Tafuta watu wa bandalini kwa ushauri zaidi
 
Za shoo room zinaagizwa nyingi so inakua bei rahisi kuanzia kununua na garama nyingine. Ujasoma biashara ndo maana unalopoka unazani hii biashara ya kuuza kuku. Tafuta watu wa bandalini kwa ushauri zaidi
Hujui kitu wewe acha maneno mengi. Nitakupa mfano mmoja, kwa leo Beforward, Toyota Rush (2007) ya bei nafuu ni $4272 (karibu na sh 9.6mil), ushuru wake ni sh 7.1mil, jumla 16.7mil. Wa showroom hajaweka faida yake ambayo ni 2-3 mil. Hebu niambie, ni showroom gani DSM ambayo utapata hiyo gari, inauzwa chini ya milioni 16, kwakuwa ukiagiza magari mengi bei hupungua, labda gari la kufugia kuku ndiyo utapata chini ya hapo. Ushauri wa kwanza, acha kuongea mambo usiyoyajua ili uonekane unajua. Pili, rudi shule kajifunze kuandika maneno ya Kiswahili.
 
Hujui kitu wewe acha maneno mengi. Nitakupa mfano mmoja, kwa leo Beforward, Toyota Rush (2007) ya bei nafuu ni $4272 (karibu na sh 9.6mil), ushuru wake ni sh 7.1mil, jumla 16.7mil. Wa showroom hajaweka faida yake ambayo ni 2-3 mil. Hebu niambie, ni showroom gani DSM ambayo utapata hiyo gari, inauzwa chini ya milioni 16, kwakuwa ukiagiza magari mengi bei hupungua, labda gari la kufugia kuku ndiyo utapata chini ya hapo. Ushauri wa kwanza, acha kuongea mambo usiyoyajua ili uonekane unajua. Pili, rudi shule kajifunze kuandika maneno ya Kiswahili.
unazani ni biashara za nyanya agiza gari ujionee mwenyewe. Siwezi bishana na viraza
 
unazani ni biashara za nyanya agiza gari ujionee mwenyewe. Siwezi bishana na viraza
Nilishaagiza huu mwaka wa 3, na nishasaidia watu zaidi ya watatu, nakushangaa wewe uongeaye usivyovijua. Mimi nimekupa mifano hai, wewe unatoa kejeli, inadhihirisha hakuna ujualo. Zunguka showrooms za DSM kisha urudi na ushahidi wa wazi kutetea hoja yako. Achana na habari za kwenye vijiwe vya kahawa.
 
Nilishaagiza huu mwaka wa 3, na nishasaidia watu zaidi ya watatu, nakushangaa wewe uongeaye usivyovijua. Mimi nimekupa mifano hai, wewe unatoa kejeli, inadhihirisha hakuna ujualo. Zunguka showrooms za DSM kisha urudi na ushahidi wa wazi kutetea hoja yako. Achana na habari za kwenye vijiwe vya kahawa.
habari zako ndo za vijiwe vya kahawa kuonyesha mimi natoa habari za vijiwe vya kahawa weka hizo documents au nakala kwenye huu huzi(thread) kusibitisha kama ni kweli
 
Namna ya ku rescue ipo sana,
Maana kama umelipia recently basi muda wa kuanza kukagua hizo bado sana,
Waweza kuilipia upya kisha akutumie Invoice ingine,
And infact issue sio kuweko kwenye Invoice, bali gari iliyokaguliwa hua wanatoa Certficate na hiyo ndiyo inayohusika. Kwa Japan hua ni EAA Company au JAAI Inspection nadhani.

Ila kabla hujafikia huko Jifanye kama wakati anakupa bei ulijua imejumuisha Inspection,
Muulize Supplier wako why huioni, au why hajaiandika,
Yaani usimwambie kua hujalipa halafu umsikie atasemaje,
Supplier ni nani huyo asiejua kua LAZIMA gari zijazo Tanzania zikaguliwe??
Nimeshangaa kwa kweli....huyo supplier ni Bomu

That's y inashauriwa makampuni ya maana kwa kuagizia Gari only SBT na BeFoward wako makini!
 
Wakikupigia na garama nyingine utajuta kwa wapenda vya bei chee. Kuanzia kulisafirisha, kodi ya gari lilitumika zaidi ya miaka 5 ni kubwa, muonekano wa picha ni tofauti na utapoliona live bado kulisajiri.
Inabidi unywe panado kama umeagiza bila kujua garama bola ununue yaliyoshoo room bongo
Mkuu we kiboko!

Utofauti wa Gari likiwa Japan na live ni upi?

Tena mi naona likija live ndo linakuwa jipya kuliko hata picha
 
Nilishaagiza huu mwaka wa 3, na nishasaidia watu zaidi ya watatu, nakushangaa wewe uongeaye usivyovijua. Mimi nimekupa mifano hai, wewe unatoa kejeli, inadhihirisha hakuna ujualo. Zunguka showrooms za DSM kisha urudi na ushahidi wa wazi kutetea hoja yako. Achana na habari za kwenye vijiwe vya kahawa.
Ukifata Gari showroom ni lazima wanataka mafaida tena kuanzia 4- 5m

Hakuna biashara isiyo na faida dunia hii
 
habari zako ndo za vijiwe vya kahawa kuonyesha mimi natoa habari za vijiwe vya kahawa weka hizo documents au nakala kwenye huu huzi(thread) kusibitisha kama ni kweli
Zipo nyingi siwezi weka zote hapa, sema unataka ipi kati ya hizi:
1. Export certificate
2. Shipping liner ilyoleta gari
3. Certificate of export inspection
4. Certificate of Appraisal toka EAA
5. Invoice ya gari toka (Beforward)
6. Payment note (TRA) kuwa gari imelipwa ushuru
7. Assessment document (TRA)
8. Tax payment slip
9. Motor vehicle license
 
Zipo nyingi siwezi weka zote hapa, sema unataka ipi kati ya hizi:
1. Export certificate
2. Shipping liner ilyoleta gari
3. Certificate of export inspection
4. Certificate of Appraisal toka EAA
5. Invoice ya gari toka (Beforward)
6. Payment note (TRA) kuwa gari imelipwa ushuru
7. Assessment document (TRA)
8. Tax payment slip
9. Motor vehicle license
Hizo document 9 ndo unasema nyingi ziweke hacha mbwembwe na maneno ya kiswahili. Weka document kuanzia unaagiza mpaka linaingia barabarani acha polojo
 
Ukifata Gari showroom ni lazima wanataka mafaida tena kuanzia 4- 5m

Hakuna biashara isiyo na faida dunia hii
Witnenessj, mwambie huyo sababu yeye anasema, gari la kuagiza, mfano Vitz ya dola 1500 ya mwaka 2000, ukiagiza, litakuwa na bei juu kuliko la showroom la bei hiyohiyo. Na hoja yake ni kwamba, wale wa showroom hupata hayo magari kwa bei nafuu sababu hununua mengi kwa wakati mmoja. Hii kitu hakuna.
 
Witnenessj, mwambie huyo sababu yeye anasema, gari la kuagiza, mfano Vitz ya dola 1500 ya mwaka 2000, ukiagiza, litakuwa na bei juu kuliko la showroom la bei hiyohiyo. Na hoja yake ni kwamba, wale wa showroom hupata hayo magari kwa bei nafuu sababu hununua mengi kwa wakati mmoja. Hii kitu hakuna.
Hakuna kitu kama hicho asee...

Watu tunaagiza Magari nje ili kupunguza gharama za showroom so simple!
 
Back
Top Bottom