Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
sawa, walioshindwa kufuzu CAF CLNami bado nauliza je, baada ya Yanga SC Kufuzu Makundi ya CAFCC tuendelee kuliita hili ni Kombe la Walioshindwa ( Losers ) au?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sawa, walioshindwa kufuzu CAF CLNami bado nauliza je, baada ya Yanga SC Kufuzu Makundi ya CAFCC tuendelee kuliita hili ni Kombe la Walioshindwa ( Losers ) au?
Nami bado nauliza je, baada ya Yanga SC Kufuzu Makundi ya CAFCC tuendelee kuliita hili ni Kombe la Walioshindwa ( Losers ) au?Unajua kabisa umeandika uongo, halafu unajiridhisha na kufurahi. Una shida mahali bila shaka.
unaendeleaje hapo ulipo mkuu GENTAMYCIME ?Kwa Wenye Akili Kubwa tulipoona tu ule Mchezo wa awali hapa Dar es Salaam tarehe 2 Novemba, 2022 na Kuona Uchezaji wa Yanga SC, Mbinu za Kocha Nabi na Uchezaji wa Kimkakati na Mipango mingi ya Club Africaine huku tukiwajua Waarabu wanavyokuwa Kwao tulishajua ( tunaendelea ) kuamini kuwa tayari Yanga SC imeshatolewa na itakachokifanya leo huko Jijini Tunis nchini Tunisia ni Kujitutumua tu ( Kufa Kiume ) lakini Kufa ( Kufungwa ) Wanafungwa ( Watafungwa ) tu Kudadadeki.
Nami bado nauliza je, baada ya Yanga SC Kufuzu Makundi ya CAFCC tuendelee kuliita hili ni Kombe la Walioshindwa ( Losers ) au?Mijitu mingine kama hili sio la kuangaika nalo
Siitwi huyu Tapeli aliyeiiga ID yangu hii ili tu Kusafiria Nyota yangu Kali ( Natural Charm ) na ya Kimvuto Kiuwasilishaji GENTAMYCIME uliyemtaja bali naitwa GENTAMYCINE 'Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer' sawa?unaendeleaje hapo ulipo mkuu GENTAMYCIME ?
Hapo mwisho ulitakiwa pia kulitaja lile jina lako halisi la popoma mbobevu.Siitwi huyu Tapeli aliyeiiga ID yangu hii ili tu Kusafiria Nyota yangu Kali ( Natural Charm ) na ya Kimvuto Kiuwasilishaji GENTAMYCIME uliyemtaja bali naitwa GENTAMYCINE 'Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer' sawa?
Habari Yako Mkuu?Ni kweli anashinda njaa
NomaFT
CA 0-1 Yanga
79' Aziz Kii
Sifuti hii comment mtaikumbuka mpira ukiisha nimekaa paaale