Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akili kubwa ya nyookooKwa Wenye Akili Kubwa tulipoona tu ule Mchezo wa awali hapa Dar es Salaam tarehe 2 Novemba, 2022 na Kuona Uchezaji wa Yanga SC, Mbinu za Kocha Nabi na Uchezaji wa Kimkakati na Mipango mingi ya Club Africaine huku tukiwajua Waarabu wanavyokuwa Kwao tulishajua ( tunaendelea ) kuamini kuwa tayari Yanga SC imeshatolewa na itakachokifanya leo huko Jijini Tunis nchini Tunisia ni Kujitutumua tu ( Kufa Kiume ) lakini Kufa ( Kufungwa ) Wanafungwa ( Watafungwa ) tu Kudadadeki.
Kwa Wenye Akili Kubwa tulipoona tu ule Mchezo wa awali hapa Dar es Salaam tarehe 2 Novemba, 2022 na Kuona Uchezaji wa Yanga SC, Mbinu za Kocha Nabi na Uchezaji wa Kimkakati na Mipango mingi ya Club Africaine huku tukiwajua Waarabu wanavyokuwa Kwao tulishajua ( tunaendelea ) kuamini kuwa tayari Yanga SC imeshatolewa na itakachokifanya leo huko Jijini Tunis nchini Tunisia ni Kujitutumua tu ( Kufa Kiume ) lakini Kufa ( Kufungwa ) Wanafungwa ( Watafungwa ) tu Kudadadeki.
Mbumbumbu plus plusGENTAMYCINE ni mbumbumbu
Kwamba Yanga SC imefuzu Makundi kwa Kafara Kubwa ya Kuiangusha Ndege huko Bukoba Mkoani Kagera hivi karibuni.Popoma utaambia nini watu 😂😂😂
Hiyo Akili Wewe umewahi kuwa nayo lini labda?Akili kubwa ya nyookoo
Hiyo Akili Kubwa umewahi Kuimilki lini?Baada ya mambo kua tofauti tuseme una akili ndogo sasa
Kama wana Ukame wa Mafanikio haya waliyoyapata Jana ( hasa ya Kuingia Makundi ) Je, ulitegemea Wasiwehuke hivi kwa Furaha Mkuu?Kweli kutesa kwa zamu, wale nzi wa kijani wametapakaa kila kona ya nchi.
Hiyo Akili Kubwa umewahi Kuimilki lini?
[emoji50] duh ndo mmefikia huku wazeeKama waliokuleta hapa duniani.
Hata wao Club Africaine jana ndiyo nimegundua nao pia Uwezo wao ni mdogo kwani wana Mapungufu kadhaa ya Kimsingi ( ya Kiufundi ) na kuna muda dakika zilivyokuwa zinaenda huku nikiwaona Yanga SC wakifanya Pressing Kubwa na wakiwa determined na Morali yao kuwa juu nilianza kuhisi kuwa wanaenda Kushinda ama ndani ya dakika 90 au katika Penalties.Ila marefa wanaibeba Yanga....ile penalty ya waarabu kakausha....alisikika popoma mmoja...bladgakeni
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Wakiwa na Busara nami nitakuwa na Busara nao ila wakija Kishari nami nitawaonyesha nilivyo Mshari kuliko Wao. Na bahati nzuri Moto wangu Wanaujua vyema tu kuwa Ukiuwasha hauzimiki.[emoji50] duh ndo mmefikia huku wazee
Kwa Wenye Akili Kubwa tulipoona tu ule Mchezo wa awali hapa Dar es Salaam tarehe 2 Novemba, 2022 na Kuona Uchezaji wa Yanga SC, Mbinu za Kocha Nabi na Uchezaji wa Kimkakati na Mipango mingi ya Club Africaine huku tukiwajua Waarabu wanavyokuwa Kwao tulishajua ( tunaendelea ) kuamini kuwa tayari Yanga SC imeshatolewa na itakachokifanya leo huko Jijini Tunis nchini Tunisia ni Kujitutumua tu ( Kufa Kiume ) lakini Kufa ( Kufungwa ) Wanafungwa ( Watafungwa ) tu Kudadadeki.
Na Wewe hakikisha unawahi Mirembe Mental Hospital kutibiwa huo Ugonjwa wa Akili ulionao.Kaloweke mtama mwekundu upike ule usife njaa mjukuu
Nonsensical.Kitu atabiri mtu wakupigana kila siku kitimie, dalili niliziona toka walivomtimua mnyiramba akavuka mto sibiti nilijua hawa akili ndogo tu