Wale mnaojidanganya na kujipa moyo kuwa Yanga SC leo anashinda huko Tunisia kutaneni hapa mtupe sababu zenu

Wale mnaojidanganya na kujipa moyo kuwa Yanga SC leo anashinda huko Tunisia kutaneni hapa mtupe sababu zenu

Kwa Wenye Akili Kubwa tulipoona tu ule Mchezo wa awali hapa Dar es Salaam tarehe 2 Novemba, 2022 na Kuona Uchezaji wa Yanga SC, Mbinu za Kocha Nabi na Uchezaji wa Kimkakati na Mipango mingi ya Club Africaine huku tukiwajua Waarabu wanavyokuwa Kwao tulishajua ( tunaendelea ) kuamini kuwa tayari Yanga SC imeshatolewa na itakachokifanya leo huko Jijini Tunis nchini Tunisia ni Kujitutumua tu ( Kufa Kiume ) lakini Kufa ( Kufungwa ) Wanafungwa ( Watafungwa ) tu Kudadadeki.
Akili kubwa ya nyookoo
 
Kwa Wenye Akili Kubwa tulipoona tu ule Mchezo wa awali hapa Dar es Salaam tarehe 2 Novemba, 2022 na Kuona Uchezaji wa Yanga SC, Mbinu za Kocha Nabi na Uchezaji wa Kimkakati na Mipango mingi ya Club Africaine huku tukiwajua Waarabu wanavyokuwa Kwao tulishajua ( tunaendelea ) kuamini kuwa tayari Yanga SC imeshatolewa na itakachokifanya leo huko Jijini Tunis nchini Tunisia ni Kujitutumua tu ( Kufa Kiume ) lakini Kufa ( Kufungwa ) Wanafungwa ( Watafungwa ) tu Kudadadeki.

Baada ya mambo kua tofauti tuseme una akili ndogo sasa
 
Kweli kutesa kwa zamu, wale nzi wa kijani wametapakaa kila kona ya nchi.
Kama wana Ukame wa Mafanikio haya waliyoyapata Jana ( hasa ya Kuingia Makundi ) Je, ulitegemea Wasiwehuke hivi kwa Furaha Mkuu?
 
Kitu atabiri mtu wakupigana kila siku kitimie, dalili niliziona toka walivomtimua mnyiramba akavuka mto sibiti nilijua hawa akili ndogo tu
 
Ila marefa wanaibeba Yanga....ile penalty ya waarabu kakausha....alisikika popoma mmoja...bladgakeni

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hata wao Club Africaine jana ndiyo nimegundua nao pia Uwezo wao ni mdogo kwani wana Mapungufu kadhaa ya Kimsingi ( ya Kiufundi ) na kuna muda dakika zilivyokuwa zinaenda huku nikiwaona Yanga SC wakifanya Pressing Kubwa na wakiwa determined na Morali yao kuwa juu nilianza kuhisi kuwa wanaenda Kushinda ama ndani ya dakika 90 au katika Penalties.
 
Kwa Wenye Akili Kubwa tulipoona tu ule Mchezo wa awali hapa Dar es Salaam tarehe 2 Novemba, 2022 na Kuona Uchezaji wa Yanga SC, Mbinu za Kocha Nabi na Uchezaji wa Kimkakati na Mipango mingi ya Club Africaine huku tukiwajua Waarabu wanavyokuwa Kwao tulishajua ( tunaendelea ) kuamini kuwa tayari Yanga SC imeshatolewa na itakachokifanya leo huko Jijini Tunis nchini Tunisia ni Kujitutumua tu ( Kufa Kiume ) lakini Kufa ( Kufungwa ) Wanafungwa ( Watafungwa ) tu Kudadadeki.

Tumethibitisha namna ulivyo kilaza wa chuo cha Upopoma SAUT
 
Back
Top Bottom