Wale mnaoulizaga inakulaje wese, sasa mchina kashamaliza kazi kwa gari zisizoenda sheli!

Wale mnaoulizaga inakulaje wese, sasa mchina kashamaliza kazi kwa gari zisizoenda sheli!

Mimi wasiwasi wangu ni namna litakavyokuwa linakula charge! Unaweza shangaa kwa hayo masaa 10 kwa siku likala unit 50! Ambazo ni ghali kuliko hata anayeenda petrol station! Labda kama China umeme ni bei cheap, ila bongo linaweza kuwa mzigo.
 
Kuna moja nimeona ya Sweden wameanzisha electrified road yaani unapita kwenye barabara huku una charge na bill inakuja kwako kila unapotumia huduma hiyo.
Jamaa wako mbali View attachment 938840View attachment 938842
yeah mkuu, yani kwa wenzetu movement towards technology ni so rapid fast! Wakati si tunagombea korosho ziuzwe elfu tatu ili mkulima asinyonywe, ha ha ha ha mambo ya kustaajabisha sana!
 
Mimi wasiwasi wangu ni namna litakavyokuwa linakula charge! Unaweza shangaa kwa hayo masaa 10 kwa siku likala unit 50! Ambazo ni ghali kuliko hata anayeenda petrol station! Labda kama China umeme ni bei cheap, ila bongo linaweza kuwa mzigo.
Stieglers Gorge ipo on progress ikikamilika umeme utakuwa cheap sana, mfano wenzetu US umeme unit moja wananunua kwa cents! Tutafika tu lakini!
 
yeah mkuu, yani kwa wenzetu movement towards technology ni so rapid fast! Wakati si tunagombea korosho ziuzwe elfu tatu ili mkulima asinyonywe, ha ha ha ha mambo ya kustaajabisha sana!
Inasikitisha sana kwa hali ya huko kwetu mkuu.
Yaani sijui mabadiliko yatakuja lini
Lakini ipo siku na kwa sasa acha tufate nyuma tu
 
Inasikitisha sana kwa hali ya huko kwetu mkuu.
Yaani sijui mabadiliko yatakuja lini
Lakini ipo siku na kwa sasa acha tufate nyuma tu
Mabadiliko yatakuja pale ambapo mtaweka right people on the administrative positions, kuna haja ya kuweka watu wenye fikra tofauti towards solving people problems na wenye akili za kupokea vitu vipya sio kuwa na ujuaji usio na maana!
 
Mabadiliko yatakuja pale ambapo mtaweka right people on the administrative positions, kuna haja ya kuweka watu wenye fikra tofauti towards solving people problems na wenye akili za kupokea vitu vipya sio kuwa na ujuaji usio na maana!
Mkuu sio ujuaji tu ni ujinga nafikiri
 
Back
Top Bottom