Wale tuliooa wanawake wafupi tujuane

Na atakaemuacha mwanamke mfupi anipe namba yake hata kama wawe kumi sawa tu
Na mimi kama King
Kweli binadamu tunatofautiana
Haroon Rasheed alisema hivyo enzi hizo akiwa mfalme iwapo kama mtu atamtaliki mwanamke mfupi basi na amlete kwangu

Nimekuwa nawajua wafupi kwa mda na ni wazuri sana na sense of humour
Na mengine mengi [emoji7]
 
Ni kwel n watamu,ila kitu wanachonikera ni kutawala familia,waume wa hawa watu huwawamepgwa kabali mama ndo kila kitu mpaka kwenye malez ya watoto
 
Nmecheka sanaaa chawawata hahaahahahahahahh uwi
 
Ulishaoa wangapi ukapata uzoefu? Na ufupi wao ulikuwa sentimita ngapi kutoka usawa wa bahari?
S kwa huu usawa wa bahari [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…