Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Kitambo hiyo zama za mwamba Mwalimu Nyerere Rais wa kwanza wa Tanzania Filling station zilikuwa na majina maalum kutoka nchi za mabeberu, SHELLY, CALTEX, AGIP, BP, ESSO, TOTAL, peke yake sio sasa hivi hata mimi naweza kuanzisha filling station yangu na nikaipa jina la mwendawazimu yeyote kati ya hawa GENTAMYCINE au CAPO DELGADO . 😁😁😁
Sasa kuna Kamba tulikuwa tunapigwa kuhusu logo ya Agip Simba mwenye miguu sita na anatema moto ndio ndio mnyama radi mbinguni, yani ukisikia radi basi huyo mnyama wa Agip ndio anatema moto hapo.
Hebu na wewe tiririka fix ambazo uliamini ni ukweli?
Sasa kuna Kamba tulikuwa tunapigwa kuhusu logo ya Agip Simba mwenye miguu sita na anatema moto ndio ndio mnyama radi mbinguni, yani ukisikia radi basi huyo mnyama wa Agip ndio anatema moto hapo.
Hebu na wewe tiririka fix ambazo uliamini ni ukweli?