Wale tuliosoma Makongo Secondary School tukutane hapa

Wale tuliosoma Makongo Secondary School tukutane hapa

Mkuu umesoma pale kumbe
Mtu wangu nimesoma pale tena darasa la Form 3 na 4H !!!

Halafu Form 1 kulikuwa na mwalimu anafundisha Book Keeping alikuwa ni Luteni mfupimfupi mpole kiasi ila alikuwa mlevi mbwa.....
Pepa zake sasa noma
 
Mtu wangu nimesoma pale tena darasa la Form 3 na 4H !!!

Halafu Form kulikuwa na mwalimu anafundisha Book Keeping alikuwa ni Luteni mfupimfupi mpole kiasi ila alikuwa mlevi mbwa.....
Pepa zake sasa noma
Kweli mkuu!
 
Kuna Mzee mmoja alikuwa anajitenga sana anapenda kukaa peke yake kwenye bwawa la samaki pale.

Tuliwahi kuambiwa yule mzee ni kichwa cha Physics hakuna tena ila alichanganyikiwa baada ya familia yake yote kupoteza maisha kwenye ajali ya Mv Bukoba
 
Shift ya mchana nilikuwa mzee wa kutoroka mida ya saa 10 napita getini km kishada vuuuuuuuu au jule Nyambizi napenya tu kwenye sengenge zilizokatwa
Njia nzuri ilikuwa ya Nyambizi, unapita kule hosteli za wavulana taratibu unawahi Mwenge
 
Njia nzuri ilikuwa ya Nyambizi, unapita kule hosteli za wavulana taratibu unawahi Mwenge
Sasa ukipita hosrel kuna njia unatokea kule darajani pia mbele pale
Sasa wajeda walikuwa wanakataza hiyi njia kuna siku tulipita tukiwa wa5 tukadakwa na vijana wa JW tena tulijipitisha depo/hostel kwao bila kujua adhabu waliyotupa bora nisiseme tu
 
Darajani pale karibu na Flamingo Supermarket? Ile supermarket ya jeshi. Hahaha njia ile ni msala sana, sasa kuna chocho unapita unaenda kuvuka ule mto unatokea wanapoishi Makuruta wa kiume afu unaingia zako Mwenge taratibuu...
Sasa ukipita hosrel kuna njia unatokea kule darajani pia mbele pale
Sasa wajeda walikuwa wanakataza hiyi njia kuna siku tulipita tukiwa wa5 tukadakwa na vijana wa JW tena tulijipitisha depo/hostel kwao bila kujua adhabu waliyotupa bora nisiseme tu
 
Darajani pale karibu na Flamingo Supermarket? Ile supermarket ya jeshi. Hahaha njia ile ni msala sana, sasa kuna chocho unapita unaenda kuvuka ule mto unatokea wanapoishi Makuruta wa kiume afu unaingia zako Mwenge taratibuu...
Tulipita hiyo njia ya makuruta bila kujua tukakatiza kibarazani kwao kabisa ndio msala ukaanzia hapo
 
Kwahiyo lebo ni kijani tu ?
Enzi zangu kulikuwa na Form 1 A hadi G halafu shift mbili

Form 3 na 4 kulikuwa na darasa linaitwa H kama nimekosea walisoma vichwa tu yaani waliokuwa wanaongoza Form 1 hadi 2 kisha waliingia hapo
Hilo darasa ilikuwa ukipata wastani wa 65 unajikuta hata # 20 haupo wakati darasa lingine unaweza kuingia 3 bora
Hamna walikua hawachaguliwi ilikua kwa wale wanaotaka kusoma additional mathematics ndo wanaenda uko sema wengi walikua wanaenda wale wanaojiweza sana
 
Enzi form 3H1, 3H2, 4H1 na 4h2 hao walikuwa ni vipanga ADDITIONAL MATHEMATICS kama kilaza husogei kabisaaaaa
Form ilikua H2 peke yake hakukua na H1 nahisi coz science wote walikua shift 2 enzi hizo
 
Kuna Mzee mmoja alikuwa anajitenga sana anapenda kukaa peke yake kwenye bwawa la samaki pale.

Tuliwahi kuambiwa yule mzee ni kichwa cha Physics hakuna tena ila alichanganyikiwa baada ya familia yake yote kupoteza maisha kwenye ajali ya Mv Bukoba
Alikua anavaa jeans imechakaa hiv pia alikua mtaratibu sana alikua pia anakaa maeneo ya Jeshini hapohapo duuuu.
 
Kioindi chetu tulikuwa tunasoma na maafande akiwamo Afande Miraji siku moja wakakosea karatasi zao za matokeo zikaja na zetu darasani Miraji akiwa ameata sifuri mmoja wetu akachora sifuri na masikio kwenye karatasi ya matokeo ya Afande Miraji zikarudishwa kwa mwl wa hesabu,alikuja Afande Miraji na zigo la fimbo akasema "leo nitawachaoa bakora hadi mik***u yenu iwake moto iwe myekundu kama ya kicheche iwe inaoiga dimu kama taa ya indiketa ya gari"

Mazee tulikula bakora f4 "science" kudadeki tukasomba maji toka makulumla kujaza drum halijai kumbe limetobolewa
😀😀😀 Duuu Afande Miraji alipata sifuri au mimi sijaelewa hapo jamaa alikua hatari tupu ana nguvu za mikono yote siyo wa kushoto wala kulia noma sana.
 
Hamna walikua hawachaguliwi ilikua kwa wale wanaotaka kusoma additional mathematics ndo wanaenda uko sema wengi walikua wanaenda wale wanaojiweza sana
Inawezekana tumesoma miaka/vipindi tofauti ndio maana mtazamo upo tofauti pia

Mimi nimesoma Form 4H darasa hili "H" haikuwa na shift mbili japo tulibadilishana darasa na wale wa Ar!Commerce

Kigezo kilikuwa ni alama za ufaulu tu na hakukuwa na Additional Mathematics darasani kwetu

Pia kulikuwa na darasa lingine la Sayansi la "kawaida"
 
Sasa ukipita hosrel kuna njia unatokea kule darajani pia mbele pale
Sasa wajeda walikuwa wanakataza hiyi njia kuna siku tulipita tukiwa wa5 tukadakwa na vijana wa JW tena tulijipitisha depo/hostel kwao bila kujua adhabu waliyotupa bora nisiseme tu
Ulikuwa wewe jamaa fulani anaitwa Jacob, Michael na wengine mkapelekwa ndani pale kikosini Mwenge
 
Back
Top Bottom