Kioindi chetu tulikuwa tunasoma na maafande akiwamo Afande Miraji siku moja wakakosea karatasi zao za matokeo zikaja na zetu darasani Miraji akiwa ameata sifuri mmoja wetu akachora sifuri na masikio kwenye karatasi ya matokeo ya Afande Miraji zikarudishwa kwa mwl wa hesabu,alikuja Afande Miraji na zigo la fimbo akasema "leo nitawachaoa bakora hadi mik***u yenu iwake moto iwe myekundu kama ya kicheche iwe inaoiga dimu kama taa ya indiketa ya gari"
Mazee tulikula bakora f4 "science" kudadeki tukasomba maji toka makulumla kujaza drum halijai kumbe limetobolewa