Wale tuliotoka familia masikini na tukatusua kimaisha tukutane hapa

Ingekua kweli Kama ulivyojielezea kwenye uzi wako usingekua na thread zaidi ya 40 kwa kipndi Cha miez miwili tangu ujiunge na jf.
Nambie huo muda wa kung'ang'ana na jf unaupata wapi ikiwa wew ni mtumishi wa ofisi mbili tofauti
 
Ingekua kweli Kama ulivyojielezea kwenye uzi wako usingekua na thread zaidi ya 40 kwa kipndi Cha miez miwili tangu ujiunge na jf.
Nambie huo muda wa kung'ang'ana na jf unaupata wapi ikiwa wew ni mtumishi wa ofisi mbili tofautiView attachment 1959370
Upo sahihi, kikubwa ni kupangilia tu muda wako. Mfano, unaweza weka thread hata nne kwa mkupuo. Sasa utashindwaje kuwa na thread 40 kwa miezi hiyo? Kikubwa ni ratiba tu ndugu. Naomba niishie hapo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usitumie nguvu kubwa kutetea hili dogo, uhalisia unakataa hata kama utakesha mpaka asubuhi. Sekta ya umma haiko hivi unavyotaka kueleza.
Halafu mimi sio dogo kaka 31 yrs now! Kwa hiyo nimeongopa sio? Duuh! Hivi umeelewa post yangu kweli? Nina mashaka katika hili!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Masikini akipata..hulia mbwata.

Acha vitendo vijidhihirishe na siyo maneno mengi.

Cheo ni dhamana,umetusua kiuchumi,je kijamii?

Kutusua kuna maana pana sana.
Si dhambi mimi kusema hivyo. Sijamkashifu yeyote wala kumdharau. Najaribu kuwapa moyo wote wanaopitia magumu, kupitia hii thread yangu ya historia yangu. Nafikiri umeelewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mshahara wa m8 kwa mwezi maana yake na majukumu yanqongezeka... huwezi pata mida wa kupost ishu hizi hapa. Kama ni kweli basi una bahati
 
kwa maelezo yako bado hujatusua, ungesema una kampuni yako inayokuingizia kadhaa hapo ningekuelewa
 
Ndugu zako unawakumbuka lakini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…