Wale tuliowahi kufumaniwa tukutane hapa tupeane uzoefu wa jinsi ulivyookoka

Kwa hiyo sahiv hapo kalala
 
Hahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahaha

Distributed Denial-of-Service
 
Nilifumwa na bi mkubwa namla beki tatu, hii aibu hadi leo kila nkikumbuka natamani kulia tena alinifuma ndo nakojoa cha kwanza nimesimamia ukucha mara pap taa inawashwa afu bi mkubwa anatupimia [emoji119][emoji119]
Bi'mkubwa nae kazidi ufukunyuku
 
Ilitokea kumgegeda binti ya Mwalimu mkuu Jirani tu napoishi! baada ya kumsotea sana bila mafanikio, jumamosi moja saa5 kapita kitaa nikamsongisha upya, safari hii kiulaini tu,

km kawaida tukatinga maskani nimepiga cha 1 cha 2-3 nikapumzika . achana na mwanamke mwenye stress! atakurestisha in peace bure!

Demu akalala fofo! nikajipongeza navojua kazi yangu dhidi ya hawa viumbe! nkasema ngoja nimtengenezee Juice ya Parachichi! kweli ikawa tayari!

Nikamuamsha! amsha na wewe! kumbe ni wa zaamaniii! amesha nyooka mkuu! heee! nikamtania ''wacha utani manka amka bebi'' amna kitu! hapo mida imeenda ujue yapata saa mbili usiku! anatafutwa!

Kumbe Dem bana, alisha korofishwa huko kwao amekunywa sumu, inafanya kazi mwilini taatibu inamuondoa!

Nkatoka nje nikaona watu wanamtafuta mpaka wamekata tamaa wanarudi sasa, nikauliza kuna nini wakanipa story! ''Manka hajaonekana kwao tangia saa tano asubuhi!

Duuu nkaona Msala huu ''inanihusu moja kwa moja sasa ''ntakufa na huyuhuyu mzee nilie muuma sikio''

Nikamwambia hali halisi tukaenda kuangalia akakuta ni kweli, maneno yangu, akanipa akili, akasema.una hatari wewe kijana! mimi nalia tu Manka kunitoka Mzee kanifokea ''Nyamaza ukilia utalibeba mwenyewe mimi simo''.......

Mida kidogo kijana mmoja anafika kutoka mpirani,na mijasho tele, kaliona lile kundi la watafutaji akauliza kulikoni, Dogo kapata picha, akasema alipokuwa anacheza mtaani hapo asubuhi alimuona Manka! '' kwa nyarusare!''

Si ikabidi sasa ule umati ujiulize mbona sipo pale? moja kwa moja kwangu!......... yaliyotokea ndugu wana JF, Ni Mungu alinusuru tu! Nashauri vijana msibebe mizigo hovyo bora uoe basi tulia! na usiombe yakukute, kila dakika sema asante Mungu!
 
Endelea Mzee Mpaka Inshu Ilivyoisha iliishaje? Demu Alikufa au Walimuwai na wewe uliponaje Kwenye huo Msala?
 

Pole kaka vipi sasa ukishaoa? Na hauchepuki?
 
Pole kwa stick, vp dem uliendelea nae?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Endelea Mzee Mpaka Inshu Ilivyoisha iliishaje? Demu Alikufa au Walimuwai na wewe uliponaje Kwenye huo Msala?
Yaani mkuu wee! acha kabisa kabla hujafa hujaumbika, ni ndefu ila ntajitahidi ku -summarise, ilkuwa hivi;

Baada ya kugundua amekufa nilimfunika vizuri kikawaida, nikatoka nje nikaungana nao kumtafuta huyo Manka,

Kitanda nilichotumia kufanyia matusi ni aina ya Banco, alikitumia mjomba zamani. na vitanda hivi spring zikichoka godoro linaingia ndani bwiii! hivo nilipo piga shuka baba mkuu kikawa flat,

wakati huyo dogo anawasili kutoka mpirani anaropoka kule kuhusu kumuona Manka, nilikuwa tayari nimesha jichomeka kwa baadhi ya makundi ya watafutaji.

Hapo ukumbuke baadhi yao walisema simo ktk kundi la watafutaji wengine wakasema tulimuona yumo! haya niliyapata kinamna fulani, ktk giza hilohilo, wakati wanaongea!

Hapo ujue siwazii kipigo tena, ambacho huenda kingekuwa nafuu kwangu, nawaza ntakavo kula, kitanzi tu, ndiyo halali yangu kifupi nilishakufa nusu, nikajua mimi ndo basi tena, naondoka.sitarudi kitaa.

Nawaza sasa sijui nikimbie au nikae tu, hata nikikimbia serikali huwezi ikimbia, sitafika popote! nikasema tu potelea kwa pote!

Kwa kuwaza hivi akili yangu ikawa sugu ghafla, mwili ukafa ganzi sitetemeki tena yaani ''imekuwa imekuwa hivo hakuna namna''. Mungu akitaka sawa asipotaka sawa .

Nikajua watanifuata kwangu hawatanikuta hivo watanitafuta tu, nika- buy time kidgo, kwa kujiweka mbali kwa muda! hapo tayari watu wamesha zingira kibanda changu,kwa hamu! ili nifumaniwe! napate kichapo cha mbwa mwizi.

Humo sasa ni mchanganyiko kuna wabaya wangu na wema wangu, mmoja wa wabaya wangu alikuwa mdogo wangu wa 3 nyuma, kabisaaa toka nitoke, alitokea kutonipenda tu, ikawa hivo!

Wengine madrishani, mlangoni wanasikilizia, km kuna sauti za mahaba zinasikika, na wengine utani humohumo! wanaropoka kifisi maji! leo unalo!


Shilawadu faster kama kawaida hawa chelewagi ''kumbe upo Nyarusare unatafutwa'', haraka nenda, kwako, kuna wageni wako, wengine wenye roho nzuri wanakwambia kabisaaa, km uko huku umepona nenda tu kawatowe shaka!

Haya yote naambiwa na washkaji lkn moyo haupo kabisa! najua mi ndo bye! bye! hapo nimevalia kama jezi za mpira! nasindikizwa na kundi kwenda kwangu, humo njiani sasa, watu hawaamini wanajua nilikurupushwa mazoezini tu, sijui lolote!

Kwa mbali ninakaribia kwangu kwa mwonekano wangu, naona km watu wanatawanyika hivi kiaina , km kukata tamaa vile, ile shauku ya kunifumania inapotea, nika sikia wana sema ''mtu mwenyewe huyu....''

Wengine una bahati, wengine Aaaaaa!hhh! wengine hakuna afungue tu, hawaminiki hawa! mafisi maji!
Wengine acheni tutimize wajibu, si nikafungua mwana, nikaingia nao! pigwa sachi chooni kila sehemu.

Mwisho kabisa mlevi mmoja akachungulia uvunguni kilevilevi! haraka haraka, akanyanyuka, wakawa wanatukana na kusonya! mnakaa kaa viambazani na watoto wa watu,

Hawakugundua kuwa ndani ya kitanda cha banco kuna mtu kwa namna kilivo pigwa flat, baada ya ile search ndiyo wakanambia shida yao ni nini!,,,,,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…