Wale tuliowahi kufumaniwa tukutane hapa tupeane uzoefu wa jinsi ulivyookoka

Wale tuliowahi kufumaniwa tukutane hapa tupeane uzoefu wa jinsi ulivyookoka

Duh, Habari za Kufumaniwa zisikie kwa wenzio. Ni balaa

Binafsi enzi hizo Ndo balehe imepamba Moto, Harakati za kuwa mastaa wa Bongo fleva Ndo ukawa plan zetu.

Tulikua na kigrupu uchwala Cha Masharobaro wa Kitaa washakaji watano.

Kupendeza sana, kuimba Sana na kutokea viwanja vikali na kushindana kuopoa mademu wakali Ndo zilikua zetu.

Sasa kulikua na mchuano mkali wa Kutafta sifa za Mademu wangapi Wakali umegonga na Kati ya hao ulowatoa bikra Ni wangapi.

Basi ikitokea umemtoa demu bikra tena mrembo sana, Basi Ndo tayari unakua ushajihakikishia kua uyo Ni himaya yako, hatakiwi muhuni yeyote kutia maguu Wala kumshobokea tena.

Ila Ni Lazima uonyeshe kwanza ushahidi kwa washkaji ili WASHKAJI WAAMINIE, Salute kibao wakupigie.

Basi wikendi moja, Tuko club.
Kuna mtoto mmoja mrembo Sana nikapata KUCHEZA nae,

Baada ya mda, Mtoto akasema anaomba aende Kwao, Anajiskia haja kwenda haja Kubwa.
Nkamwambia usipate Tabu. Nyumbani sio mbali.
Twenzetu ukatumie choo Cha nyumbani.

Nkajiamini maana kipind hicho mama kaenda msibani, na mzee Yuko safar kikazi.

Kwahiyo ufunguo na uhuru wote ninao.

Kufika nyumbani,
Nkampapasa Mtoto kalainika. Nkavua penzi na chupi nkabakisha shati tu na kuanza KULA mzigo.

Uku dogo akilalamika Sana kua naumuumiza na Ndo mala yake ya kwanza.

Sikujali kelele zake nkajilia tu tunda.

Ile nmemaliza tu, Nawasha taa nkaona damu kibao zimetapakaa maeneo ya tumboni kwenye shati nililovaa.

Dah! Kidume nkajiona nshaitoa bikra na kwa damu zile Lazima nkawatambie washkaji.

Fasta fasta, nkajisemea
"Aisee huku nasubir kupiga Cha pili, Ni lazima nikamtambie kwanza mwana kua yule Mtoto nmemtoa bikra"

Nkamwambia dogo nisubiri mara moja.

Nkatoka bila kunawa kuelekea kwa mshkaji wangu nikampe hizi habar njema.

Nakatiza tu mtaani, pembeni Kuna glosari nkaskia Sauti ya Baba.
"Wee DeepPond, unaenda wapi usiku huu"

Duh! Nlijihisi kunyeshewa mvua ghafla.

Kugeuka nkaona Ni kweli Ni baba ananiita, Yuko na wanzie wanne wamezunguka meza wanapiga bia.

Nkajibu. " Naenda Dukani kununua Sabuni"

Baba: "Hebu njoo uchukue hii mboga nyumbani"

Mimi: sawa baba.

Nkasogea alipo baba.

Ghafla nkasikia mzee mmoja ananigusa.
" Wee Mtoto, mbona unadamu nyingi. Umepatwa na nini."

Kwa kiwewe nkajibu,
"Nimejikwaa nkavuja kidole, kwahyo rafiki yangu akawa anatumia shati langu kunifuta"

Mmh! Wazee wakaguna.

Mzee mmoja akadakia.
" Hebu tuinyeshe hicho kidole"

Duh, nkaona hapa pa Moto.

Kwa kiwewe nkabadilisha ile sentensi ya mwanzo.

Nkajitetea
"Hapana sio kidole changu Mimi kilichoumia, Ni kidole Cha rafiki yangu kaumia Ndo Nlkua Nampa HUDUMA ya kwanza."

"Kwahiyo apa Ndo nilikua naenda kununua Sabuni nimalizie kumsafisha nmemwacha nyumbani"

Mzee mmoja akadakia,
"Hapa Baba Deep inabidi utangulie nyumbani na uyu Dokta (mwenzao mmoja alikua doctor by profession) muone mtamsaidiaje uyo mwenzie, Afu wee endelea na Safari yako kalete iyo Sabuni."

Nkasema poa,
Nilipotoka pale fasta nkarudi home na kumwambia binti vaa fasta usepe mzee anafika mda SI mrefu.

Ile nmemshikia binti viatu, binti mwenyewe Ndo anamalizia kufunga vifungo vya blauzo tunatoka Ndo nafungua mlango kutokea sebleni.

USO KWA USO NA BABA MZAZI AKIWA NA YULE MWENZIE DOKTA.

Duh! Niliishiwa nguvu kabisa.

Mzee akauliza
"Huko ndo ulikoenda kufata sabuni?"

Sijajibu, Dokta nae akamuuliza binti...
"Wee ndo uliumia kidole Cha mguu?"

Binti akasema "Hapana"

Mzee akasema "hebu wote turudi ndani"

Dokta akasema "Haina haja, wee binti potea haraka Sana eneo hili. Halafu wee DeepPond Rudi ndani haraka Sana"

Nikarudi ndani fasta, binti akaenda nkawaacha mzee na Dokta kibarazani wanajadili.

Baada ya mda,
Mzee akarudi ndani na kunifungia kwa ndani Kisha yeye akaondoka pamoja na Dokta.

Midaya saa 8 usiku mzee karudi,

Akaniita sebleni akiwa na mwanzi wa maana.

Akasema
"Mwanangu umenitia aibu, mwanangu umenidharirisha.
Mwanangu umeitia familia yetu katika mikosi"

"Kutokana na maelezo ya yule Dokta inaonekana zile damu zimetokana na wewe kufanya mapenzi na mwanamke ambaye yuko kwenye siku zake."

Akanambia
"Sina mengi ya kuongea, naomba ulale kifudi fudi na mikono yako iweke nyuma"

Kisha mzee akanifunga miguu na mikono na kunining'iniza sebleni juu ya dari KICHWA chini miguu juu (nyumba haikua na Ceiling board)

Aisee nilikula stiki za kutosha mpaka adhana ya alfajiri ndo kaenda kulala.

Baada ya siku kadhaa kupita nakutana na yule binti anakiri kabisa kua
"nikweli siku ile nilikua blidi"

Dah! NILIUMIA SANA,

Aisee, SITOSAHAU kabisa jinsi zile Tambo za kutoa bikra zilivonitokea puani.


Sent using Jamii Forums mobile app
Daaaah nimecheka Hadi basi.....


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi sikufumaniwa lakini nilikula demu wa mfumaniwa. [emoji3][emoji3] nilienda kwa mshikaji kubonga nae issue flani hivi ya maana, sasa wakati naongea na jamaa mara jamaa akamuona demu wake yulee anakuja. Jamaa akaanza kutetemeka kinoma kumbe ndani anakidemu kakificha, akaniambia ingia ndani jifanye huyo demu ni wakwako. Basi mi nikazama ndani mpaka chumbani natupa macho kitandani nakutana na pisi moja hivi ya maana kinyama. Demu akashtuka nikamuambia wewe teyari umeshafumaniwa haoa nimeambiwa nije tujifanye sisi ni wapenzi kwahiyo kila ntakachokuambia unafanya sawa? Mtoto akakubali huku anatetemeka kinoma. Basi bhana kuna mikondomu jamaa alikuwa ameitupa chini baada ya kugegeda nikaizoa ili demu wake atakapoingia kule chumbani asiione. Nikamshika mkono yule demu nikamuambia nifuate tukaingia chumba cha wageni muda simrefu jamaa nae akazama chumbani na mtu wake. Nilipiga kimoja cha fasta kisha nikatoka nae moaka kwangu, aisee siku hiyo nilikula mzigo balaa [emoji3][emoji3] halafu nilijipigia bila hata ndomu. Kila siku ikawa ndo mchezo wetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ipeleke kwenye uzi wa kula kimasihara

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fumanizi Jingine,

Enzi hizo hizo za balehe imepamba Moto, usharobaro uchwara umetawala KICHWA changu.

Nilikua na Mpenz wangu wa kike ila ni pacha aliitwa KULWA.

Huyu alikua Mpenz wangu wa mda mrefu Sana na ktk Harakati zote zote za Uhuni.

Kwa huyu KULWA Nlkua nakua mpole Sana.

Kulwa Alkua anasoma shule flani ya sekondari Ni seminary ila Ni bodingi

Binafsi Nlkua nasoma hizi shule zetu za serikali ila Ni Day.

Baada ya uhamisho wa kikazi, baba akahamia mkoa alokuepo mke wake na ndo huo mkoa tulokuepo sisi na ikabidi pacha wake nae ahamishiwe na atafutiwe shule pale mjini.

Akapelekwa shule flan ya binafsi ya wahindi pale mjini,

Ile shule kiukweli tangu hapo, Ni shule ilokua na uhuru wa manyani.

Watoto wakike walivaa visketi vifupi, walisuka, waliseti nywele n.k

Jamaa angu mmoja akanambia,
"Oya msela wangu, kua makini na uchakataji wako. Kipenda roho wako keshaingia mjini. Afu kanenepa kichizi Maisha ya bodingi yamemkubali."

Nikambishia kua haiwezekani maana mda wa likizo bado.

Jamaa angu mwingine nae akaja anambia,
"Oya Dem wako leo nmemuona church, kapiga kimini hicho Ni balaa."

Duh! Basi nikaamini kweli kaja

Usiku huo huo nkaenda Kwao,

Kuchungulia kwa mbali kwenye Kona ya ukuta, nkamuona mtu Kama yeye.

Kama nilivozoea ulkua Ni mwendo wa kurusha punje tatu za maharage juu ya paa Kama alama ya kua Niko maeneo hayo.

Nikarusha mara kibao nikaona hastuki, nikaacha nkaondoka.

Kesho yake, nkasema Hebu nikavizie tena.

Niko ukutani napanga tekniki za kingia ndani.

nkaskia mtu aki ananiita,

"Hello, Karibu ndani"

Duh, ikabidi niingie tu.

Nmekaa sebleni akatoka binti kafanana Sana sura na Mpenz wang.

Ila yeye Ni mweupe Sana na mnene kiasi ananikaribisha Sana.

"Hey, you are welcome. Mimi naitwa X, ndo Mdogo wake na Y."

Nkamwambia,
"Nashukuru kukufahamu, Mimi naitwa Deep, ni jirani yenu mtaa huu. Naishi upande pili wa barabara nyumba ile pale ya mzee flani yenye trekta bovu kwa mbele"

Dogo akajibu,
"Ok nashkuru kukufahamu, ila hii sura nihisi sio ngeni kwangu"

Nkauliza, "Kivipi"

Akajib "Nmewahi kukuona kwenye Disko la welcome form One pale shulen kwetu shule x"

Nkasema "Hapana utakua umenifananisha"

Akajib
" mmh, sio kweli Mimi nna uhakika nlikuona. Tena ulivalia Jinsi ya bluu, raba ya njano ya Adidas na tishet ya njano ya Adidas"

Akakazia,
" Hebu nilete albamu ya zile picha za sherehe, Kuna picha ulipiga na shosti zangu"

Duh, mtoto kweli kaleta albamu na kunonyesha picha mbili nlopiga na kidem flani nacho nilikua nakimega pale shulen Kwao.

Nkamuuliza
" Sasa hizi picha zangu wee umezipataje?"

Akajibu,
"Yule mpiga picha baada ya kuniletea za kwangu, akanambia niwapelekee na shoga zangu maana tayar zilikua zishalipiwa"

Nkajibu "Ok"

Basi stori zikaendelea na mazoea na yule binti yakapamba Moto.

Binti akaanza mpaka mazoea ya kuja kwetu baada mda wa kutoka shule.

Washkaji nao wakaanza kumzoea maana pale nyumbani ilkua ndo kijiwe Cha washkaji zangu kufanyia upuuzi. Mf:stori, muvi , kuimba, kudensi na sometimes KUCHEZA magemu kwenye PlayStation.

Siku moja washakaji wakaniweka kitako niwaeleze ukweli Kama nammega au lah.

Nkawaambia
" Hapana simmegi Wala nini, ila Ni Kama shemej yangu maana natoka na Sista ake ambae yule Ni KULWA afu huyu ni doto"

"Niko nae kisela tu, japokua nahisi hajui kabisa kua mimi Ni shemej ake"

Washakaji wakaanza kunikoki,

"Aisee wee jamaa kumbe fala kweli, yaani siku zote tunaona uyu Mtoto anaingia na kutoka humu kumbe hata humgongi?"

"Wee ndezi kwelikweli, Hivi huoni kabisa kua huyu Ni mzur Sana kuliko yule kulwa?"

"Dah! Kwenye miti hapana wajenzi"

"Fanya uzamishe hata KICHWA msela wetu, uyu Mtoto ukimuendekeza atakudharau "

Binafsi siku hiyo walinisema Sana, Nkawaambia
"Sasa endapo uyu pacha wake akija kujua itakuaje?"

Wakanambia,
"KULA mzigo acha ufala wewe, Yule utampanga mbele ya safar. Hawezi kukuacha mmetoka mbali sana. Cha muhimu weka heshima kwanza, mtafune uyo Mtoto mbichi"

Nkawaambia,
"POA hebu nimuanzishie Harakati Mdogo Mdogo"

Basi, Kesho yake Nkawaambia masela wasije home.

Nkakiiandaa chumba, nkaoulizia pafyumu na kuweka diskolight pamoja na PlayStation na TV kuvihamishia chumbani kwangu.

Kesho yake Mtoto kama kawaida yake akawasili nyumbani kunitembelea.

Nkamwambia
"Karibu ,ingia moja kwa moja huku (chumbani kwangu) , Leo sebleni Kuna mafundi wanakuja kukarabati"

Akajibu
"Sawa"

Itaendelea....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binafsi mm nimewahi kufumaniwa kama mara mbili hivi, mara ya kwanza niliopoa kadem kalikokuwa kanasoma chuo sasa siku moja ya jumamosi wife yy akiwa ameenda ofisini kwake nika kaita kaje nyumbani, alivyokuja nika mgegedea kwenye chumba cha house girl yy pia hakuwepo, mara paap nasikia geti linagongwa kuchungulia ni wife nilimchukua yule demu na kwenda nae bafuni sehemu ambapo tuna pendaga kufulia nikachukua nguo zote chafu, safi na mashuka nikamfunika huku nikijidai kuwa nafua baada ya hapo nikaenda fungua geti. Wife alivyoona nina mzigo mkubwa wa nguo alinihurumia nikamwambia inabidi nipambane tusimsubirie house girl ambaye alikua ameenda na watoto kwa bibi ya wakati wa likizo. wife alichukua document alizokuwa amezisahau kisha akasepa mm nikaendelea na mgegedo.
Embu wadau tupeni visa vyenu ilikuwaje ukafumaniwa
Hahahaha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahah nakumbuka walikuja home sa8 ya usiku kumtafuta binti yao wakawasumbua wazee wa watu mm sionekan binti haonekani wakaja nyumba ya jirani waka sachi pia wakaenda kwa jirani mwingine wakanikosa, wakaanza kutamba sasa kwamba wakinikuta na binti yao watanikata kitendea kazi, mm nikatoka nilikokuwa nikaenda kuwasaidia kumtafuta binti..kwa mikwara yaliyokuwa wanapiga alaf wakaona ninawasaidia ikabidi watulie, watu wakarudi makwao na mimi nikarudi kwao nikaendeleza kumtafuna binti yao yaan wale wazee mafala sana wameenda kumtafuta mtoto wao kwetu wakati mm nimelala nae kwao. Pumbav kabisa..sitorudia ule ujinga maana wazee wake wote ni wajeda..nilifanikiwa kupata mtoto wa kike na binti yao ambaye sasa ana miaka 20.
Nimepata uzi wa kucheka leo.

Hahahahahahahahahahahaha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah umenikumbusha mbali mkuu,

nilitongoza binti kumbe mke wa mtu bt yupo kwao coz walikua wana ugomvi na mumewe, so nikachukua chumba then akaja...
ile nimemla chakwanza mara mlango ukabishwa hodi, kufungu jamaa ananiambia namtafuta mke wangu then ile nahamaki jamaa kachomoa kisu... Nilitoka nduki hadi nakufa sintowah kusahau hii kitu na ilinifanya nibaki njia kuu hadi leo
Mkuu, hawakukudhuru?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilifumwa na bi mkubwa namla beki tatu, hii aibu hadi leo kila nkikumbuka natamani kulia tena alinifuma ndo nakojoa cha kwanza nimesimamia ukucha mara pap taa inawashwa afu bi mkubwa anatupimia [emoji119][emoji119]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Aisee mimi nilifumaniwa na sms, ilikuwa jumamosi moja hivi tupo na wife bed tunetumzika unajua tena jmosi uchovu na nini sasa nikawa na chati na binti mmoja mrembo sana mtumishi wa umma tumechat kwa sms zote mpaka tukaafikiana location na atangulie achukuwe room kabisa mara paap bint amefika room akarusha picha yupo location tayari kwa game anakula santiana mimi fasta nikaingia bafuni nikapiga maji huyo niwahi mgegedo nikamuaga wife naenda kuchek game ya mpira nimefika kwenye tukio huku napasha kwa bia mbili tatu full kushikana na binti mara simu ya wife ikawa inaita akaniuliza niko wapi ni mwambia nachek game mahali fulani nikapataja akasema una hakika nikasema ndiyo akasema basi poa.. dakika mbili baadaye nikona kwenye simu zangu mvua za sms zote tulizokuwa nachat na binti mh...nilipagawa nilikuwa mdogo kama piriton nikaharisha game hapo hapo nikasepa zangu huku nyuma kilichotokea nitaweka uzi hapa siku moja ngoja siku zisonge kidogo.
[emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787]

Kingsmann

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante mkuu, one day nikiwa safarini Dawasco walituletea bill kubwa sana nikamwabia wife aende pale akaongee nao tujue kulikoni akaongea na mmoja wa staff lakini hawakufikia muafaka ikabidi aombe kuongea na meneja mara paap kuingia ufosini anakutana na mhasimu wake alikuwa anakaimu umeneja kilichotokea ni story nyingine tena.
Hahaaaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dahhh...
Mkuu, ujuwe kila jambo lina mipaka yake.
Yaani namaanisha kwamba, sio kila shuhuda ina good image kwenye public.
Binafsi nadhani, sio kila jambo linafaa kusema popote ama mbele za watu.

Samahani kama utajiskia sio poa kwa mtazamo wangu

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe jamaa ndiyo upo humu kimakosa
Aliyetoa ushuhuda wa yuko sawa tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
2012 ,natoka kumla demi Wangu ,kumbe nyumban kwao anatafutwa na dingi yake, ile namsindikiza kwao tulipokaribia kwao Mara nikamlikwa tochi Kali ,naamlishwa nikae chini,nasikia sauti tu coz mwanga wa tochi ulizuia nisione mbele ,nikajisemea moyoni hapa siwezi kufa kizembe lazima nitimue mbio coz mzee wake alikuwa na bucha nilijua hawez kosa kisu,nilitimua mbio nikaenda kupumzika kijiji cha tatu msara nikamwachia binti,alipigwa sana mpaka akachakaa,baada ya siku tatu nikarudi nyumbani,mzee alienda kumaliza kesi,

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Bado unasolve kesi. Vinyele vitatuua
Aisee mimi nilifumaniwa na sms, ilikuwa jumamosi moja hivi tupo na wife bed tunetumzika unajua tena jmosi uchovu na nini sasa nikawa na chati na binti mmoja mrembo sana mtumishi wa umma tumechat kwa sms zote mpaka tukaafikiana location na atangulie achukuwe room kabisa mara paap bint amefika room akarusha picha yupo location tayari kwa game anakula santiana mimi fasta nikaingia bafuni nikapiga maji huyo niwahi mgegedo nikamuaga wife naenda kuchek game ya mpira nimefika kwenye tukio huku napasha kwa bia mbili tatu full kushikana na binti mara simu ya wife ikawa inaita akaniuliza niko wapi ni mwambia nachek game mahali fulani nikapataja akasema una hakika nikasema ndiyo akasema basi poa.. dakika mbili baadaye nikona kwenye simu zangu mvua za sms zote tulizokuwa nachat na binti mh...nilipagawa nilikuwa mdogo kama piriton nikaharisha game hapo hapo nikasepa zangu huku nyuma kilichotokea nitaweka uzi hapa siku moja ngoja siku zisonge kidogo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilifumwa na bi mkubwa namla beki tatu, hii aibu hadi leo kila nkikumbuka natamani kulia tena alinifuma ndo nakojoa cha kwanza nimesimamia ukucha mara pap taa inawashwa afu bi mkubwa anatupimia [emoji119][emoji119]
Kitu ililala kama plastiki ilochomwa na moto [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi kipindi flani kabinti kameniomba nikaelekeze isue flani kwa computer bt nyumbani kwao. Nikaona mizinguo kwenda kukaa na binti huku baba, mama, ndugu wapo, NIKAZINGUA.

Cku ya cku nakutana na mzee wake akanisisitiza kuwa binti kampa taarifa kuwa ntaenda ila hajaniona KULIKONI? nikamchapa kiswahili mzee kwamba mishe zimekua mingi ila nitaenda.

Cku moja j3 nikaamua kuibuka kwa binti, namkuta na mdogo wake. Nikaaanza kutoa somo. Huku na huku naona dogo analazimishwa akacheze na wenzake jirani. Binti kamtoa dogo mpaka nje wakati anarudi naona nguo kapunguza punguza (UZI WA KULA TUNDA KIMASIHARA UNAHUSIKA)

C nikala sasa. Wakati nimemaliza kula tunda nimekaa kama dakika kumi hivi. Nasikia gate limefunguliwa na mzee katimba ndani. Usafiri kaacha garage kaja na boda boda. Mzee kanichangamkia, shukurani nyingi kwa kukubali kuja kumpa darasa binti yake. Ila nahc alistukia kitu akaamua vunga tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vip hakusema muachene mkuu maana hiyo ni live bila chenga

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanamke aseme tuwachane si anajitafutia shida zaidi, wake zetu mungu amewaumba kusamehe mimi naamini wanajua tunachepuka sana ila hawapendi wajue tena kwa mtu anaye mfahamu ndiyo haoendi lakini saa zingine hawana jinsi zaidi ya kupambana na ndoa yake.
 
Back
Top Bottom