Wale Tulisoma Advanced kwenye Shule za Technical

Wale Tulisoma Advanced kwenye Shule za Technical

Mtambachuo

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2023
Posts
1,907
Reaction score
3,560
Mimi ni mmoja wapo wa tuliosoma advance kwenye hizi shule za ufundi yaani Technical Secondary School wakati Olevel nimetokea shule ambazo sio ya ufundi.

Shule zile ni zuri sana kwa Olevel kwa sababu wana jifunza ufundi kwa vitendo, wana karakana na mitambo ambayo inawasaidia kupata ujuzi.

Nakumbuka ilikuwa ikitokea shida/tatizo la umeme hao Olevel wanao soma mkondo wa umeme (Electrical) wanakuja kutatua wakati si tunao jiita form six tupo ila tuna theory tu ya Sayansi 🤣

Wanaume wazima tunakuja kubadilishiwa taa na wadada wa form three au form four 🤣🤣🤣 HIvyo hivyo kwa issue ya maji plumber nao wanakuja kufix.

Nakumbuka mengi sana ila mengine mtayasema nyie Mimi nilisoma Tanga School (Tanga Technical Secondary)

The first Government Secondary School in Tanzania.

SERVICE NOT SELF

Tanga shule ya Sifa. Tangu enzi Jerumani sifa ze Zinasikika.
 
Mimi ni mmoja wapo wa tuliosoma advance kwenye hizi shule za
ufundi yaani Technical Secondary School wakati Olevel nimetokea
shule ambazo sio ya ufundi.

Shule zile ni zuri sana kwa Olevel kwa sababu wana jifunza ufundi
kwa vitendo, wana karakana na mitambo ambayo inawasaidia
kupata ujuzi.

Nakumbuka ilikuwa ikitokea shida/tatizo la umeme hao Olevel
wanao soma mkondo wa umeme (Electrical) wanakuja kutatua
wakati si tunao jiita form six tupo ila tuna theory tu ya Sayansi 🤣

Wanaume wazima tunakuja kubadilishiwa taa na wadada wa
form three au form four 🤣🤣🤣
HIvyo hivyo kwa issue ya maji plumber nao wanakuja kufix.

Nakumbuka mengi sana ila mengine mtayasema nyie

Mimi nilisoma Tanga School (Tanga Technical Secondary)

The first Government Secondary School in Tanzania.

Tanga shule ya Sifa.
Mtu aliyesoma technical ni fundi mchundo.

Mtu aliyesoma form6 alafu akaenda "university" kama UDSM, SUA nk nk ndio engineer.

Najua kwa mtu wa kawaida hataelewa ila siku zote university inamuandaa mhandisi anayejua "kwanini" au anayejua ku reason wakati technical colleges au schools zinamuandaa mtu anayejua "how".

Why = Theory = Science = Engineering. Hujui "why" (mfano why hapa tuwele beam yenye 230mm badala ya 300mm?) basi wewe sio mhandisi bali fundi mchundo.
 
Mtu aliyesoma technical ni fundi mchundo.

Mtu aliyesoma form6 alafu akaenda "university" kama UDSM, SUA nk nk ndio engineer.

Najua kwa mtu wa kawaida hataelewa ila siku zote university inamuandaa mhandisi anayejua "kwanini" au anayejua ku reason wakati technical colleges au schools zinamuandaa mtu anayejua "how".

Why = Theory = Science = Engineering. Hujui "why" (mfano why hapa tuwele beam yenye 230mm badala ya 300mm?) basi wewe sio mhandisi bali fundi mchundo.
Ni sawa mkuu lakini kumbuka hawaishii pale nao wanaendalea
na Advance hadi chuo kikuu ila katika hiyo level ya kabla ya kufika huko chuo kikuu

wanakuwa na uwezo wa kuslove baadhi ya mambo tofauti na
na ambao hawakusoma technical schools Olevel.
 
Back
Top Bottom