ankol
JF-Expert Member
- Aug 21, 2012
- 2,355
- 4,260
Oyaa hii UP ilikua shida sana kwa sisi watu wa BAM. Yaani umenikumbusha mateso ya advance.I am now a Freelancer Sir, despite of being busy solving University Physics 🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oyaa hii UP ilikua shida sana kwa sisi watu wa BAM. Yaani umenikumbusha mateso ya advance.I am now a Freelancer Sir, despite of being busy solving University Physics 🤣
Wewe acha tuu mzee na mimi nilikuwa wa BAM pia UP ilikuwa kibokoOyaa hii UP ilikua shida sana kwa sisi watu wa BAM. Yaani umenikumbusha mateso ya advance.
Hii ndio mada sasa tuijadili upyaaa.How is you life look like now with your Technical School Background Honourable
Share the same the progress
Musoma tech hakuna madem mbona?Walikuwa vizuri sana madogo wale sio mchezo, wadada wana
sura ya kazi kweli kweli.
Hata kama mtu hana ajira elimu bado ni muhimu sana, inasaidia hata kufikiriHii ndio mada sasa tuijadili upyaaa.
Safi sana ubunifu mzuriMusoma tech nakumbuka wale watoto waliwahi kutengeneza radio station ikawa inaweza kusikika eneo lote la shule na maeneo jirani.
Nimeongelea kwa ujumla madem wa Technical School, kumbe Olevel MusomaMusoma tech hakuna madem mbona?
Safi sana hongera mkuu embu tuambie ile elimu ya technical kuna unafuuNmesoma ifunda tech sec school
Kuanzia olevel hadi adv
Olevel nilisoma Civil engineering option ya brickwork and masonary vilevile adv nmesoma PGM
HAKIKA.inafaida nyingi hadi unamaliza kidato cha nne unakuwa na ujuzi kiasi fulani(kama ulikuwa unazingatia) na kama ukifanikiwa kwenda chuo kwa fani hyio hiyo unakuwa na uewelewa wa mambo mengi yanayohusu fani hioSafi sana hongera mkuu embu tuambie ile elimu ya technical kuna unafuu
wowote ilikupa advance na chuo kikuu ukilinganisha na wale ambao
hawakusoma tech ,
Nimesoma Moshi Technical form 1 - form 4 then advance nikasoma PCM na Chuo nikasoma Engineering. Asikuambie mtu elimu Ile niliyoipata O level ilinisaidia sana advance pamoja na Chuo.Safi sana hongera mkuu embu tuambie ile elimu ya technical kuna unafuu
wowote ilikupa advance na chuo kikuu ukilinganisha na wale ambao
hawakusoma tech Olevel. ?
Ni kitu kilikupata mkuu?Nakumbuka siku moja nilijikuta fundi umeme kilochonikutaaa si mchezo
Ni kweli kabisa inakufanya unakuwa mbobezi kwenye fani yako.HAKIKA.inafaida nyingi hadi unamaliza kidato cha nne unakuwa na ujuzi kiasi fulani(kama ulikuwa unazingatia) na kama ukifanikiwa kwenda chuo kwa fani hyio hiyo unakuwa na uewelewa wa mambo mengi yanayohusu fani hio
Dah aise nimeipenda kweli hio ndio Engeering ya vitendoNimesoma Moshi Technical form 1 - form 4 then advance nikasoma PCM na Chuo nikasoma Engineering. Asikuambie mtu elimu Ile niliyoipata O level ilinisaidia sana advance pamoja na Chuo.
Huku Chuo mnajifunza theory tuuu but real practical nilifanya nikiwa pale Moshi Technical.
Aliyesoma Chuo engineering ukimpeleka mfano kwenye lathe machine hawezi itumia but Mimi natumia machine yeyote hunidanganyi.
Ajira yangu ya mwanzo ilikuwa kwenye kiwanda na amini niliheshimika sana na ma-technicians kwasababu sikuwa mtu wa mdomo mdomo vitendo zero!!!😂 nilikuwa kweli engineer mwenye kuleta solution za matatizo.
Kutii-Kuwajibika- Kubuni - Sekondari ya Ufundi Moshi!
Kwamba Engeering Science ni nyepesi zaidi ya Ordinary Physics au una maana gani?Technical School walikua wanafaidika sana na Engineering Science kama mbadala wa Ordinary Physics
Unakuta Darasa zima linapiga A. Wakati Ordinary Physics unakutana na Abbot hizo A zinakua za manati
Mimi ni mmoja wapo wa tuliosoma advance kwenye hizi shule za
ufundi yaani Technical Secondary School wakati Olevel nimetokea
shule ambazo sio ya ufundi.
Shule zile ni zuri sana kwa Olevel kwa sababu wana jifunza ufundi
kwa vitendo, wana karakana na mitambo ambayo inawasaidia
kupata ujuzi.
Nakumbuka ilikuwa ikitokea shida/tatizo la umeme hao Olevel
wanao soma mkondo wa umeme (Electrical) wanakuja kutatua
wakati si tunao jiita form six tupo ila tuna theory tu ya Sayansi 🤣
Wanaume wazima tunakuja kubadilishiwa taa na wadada wa
form three au form four 🤣🤣🤣
HIvyo hivyo kwa issue ya maji plumber nao wanakuja kufix.
Nakumbuka mengi sana ila mengine mtayasema nyie
Mimi nilisoma Tanga School (Tanga Technical Secondary)
The first Government Secondary School in Tanzania.
SERVICE NOT SELF
Tanga shule ya Sifa.