Wale Tulisoma Advanced kwenye Shule za Technical

Wale Tulisoma Advanced kwenye Shule za Technical

Nmesoma ifunda tech sec school
Kuanzia olevel hadi adv
Olevel nilisoma Civil engineering option ya brickwork and masonary vilevile adv nmesoma PGM
Safi sana hongera mkuu embu tuambie ile elimu ya technical kuna unafuu

wowote ilikupa advance na chuo kikuu ukilinganisha na wale ambao
hawakusoma tech Olevel. ?
 
Safi sana hongera mkuu embu tuambie ile elimu ya technical kuna unafuu

wowote ilikupa advance na chuo kikuu ukilinganisha na wale ambao
hawakusoma tech ,
HAKIKA.inafaida nyingi hadi unamaliza kidato cha nne unakuwa na ujuzi kiasi fulani(kama ulikuwa unazingatia) na kama ukifanikiwa kwenda chuo kwa fani hyio hiyo unakuwa na uewelewa wa mambo mengi yanayohusu fani hio
 
Safi sana hongera mkuu embu tuambie ile elimu ya technical kuna unafuu

wowote ilikupa advance na chuo kikuu ukilinganisha na wale ambao
hawakusoma tech Olevel. ?
Nimesoma Moshi Technical form 1 - form 4 then advance nikasoma PCM na Chuo nikasoma Engineering. Asikuambie mtu elimu Ile niliyoipata O level ilinisaidia sana advance pamoja na Chuo.
Huku Chuo mnajifunza theory tuuu but real practical nilifanya nikiwa pale Moshi Technical.
Aliyesoma Chuo engineering ukimpeleka mfano kwenye lathe machine hawezi itumia but Mimi natumia machine yeyote hunidanganyi.
Ajira yangu ya mwanzo ilikuwa kwenye kiwanda na amini niliheshimika sana na ma-technicians kwasababu sikuwa mtu wa mdomo mdomo vitendo zero!!!😂 nilikuwa kweli engineer mwenye kuleta solution za matatizo.

Kutii-Kuwajibika- Kubuni - Sekondari ya Ufundi Moshi!
 
HAKIKA.inafaida nyingi hadi unamaliza kidato cha nne unakuwa na ujuzi kiasi fulani(kama ulikuwa unazingatia) na kama ukifanikiwa kwenda chuo kwa fani hyio hiyo unakuwa na uewelewa wa mambo mengi yanayohusu fani hio
Ni kweli kabisa inakufanya unakuwa mbobezi kwenye fani yako.
 
Nimesoma Moshi Technical form 1 - form 4 then advance nikasoma PCM na Chuo nikasoma Engineering. Asikuambie mtu elimu Ile niliyoipata O level ilinisaidia sana advance pamoja na Chuo.
Huku Chuo mnajifunza theory tuuu but real practical nilifanya nikiwa pale Moshi Technical.
Aliyesoma Chuo engineering ukimpeleka mfano kwenye lathe machine hawezi itumia but Mimi natumia machine yeyote hunidanganyi.
Ajira yangu ya mwanzo ilikuwa kwenye kiwanda na amini niliheshimika sana na ma-technicians kwasababu sikuwa mtu wa mdomo mdomo vitendo zero!!!😂 nilikuwa kweli engineer mwenye kuleta solution za matatizo.

Kutii-Kuwajibika- Kubuni - Sekondari ya Ufundi Moshi!
Dah aise nimeipenda kweli hio ndio Engeering ya vitendo

Sio engineer hawezi kuwasha mtambo anakuwa na maneno mengi tuu
shule za technical ziendelezwe vizuri ndio ziweka msingi wa sayansi
na technology ya kweli kwa wanafunzi.

Moto wenu wa shule nao upo vizuri sana.
 
Technical School walikua wanafaidika sana na Engineering Science kama mbadala wa Ordinary Physics
Unakuta Darasa zima linapiga A. Wakati Ordinary Physics unakutana na Abbot hizo A zinakua za manati
Kwamba Engeering Science ni nyepesi zaidi ya Ordinary Physics au una maana gani?
 
Ujakutana na haya maswali

Unabet
Mimi ni mmoja wapo wa tuliosoma advance kwenye hizi shule za
ufundi yaani Technical Secondary School wakati Olevel nimetokea
shule ambazo sio ya ufundi.

Shule zile ni zuri sana kwa Olevel kwa sababu wana jifunza ufundi
kwa vitendo, wana karakana na mitambo ambayo inawasaidia
kupata ujuzi.

Nakumbuka ilikuwa ikitokea shida/tatizo la umeme hao Olevel
wanao soma mkondo wa umeme (Electrical) wanakuja kutatua
wakati si tunao jiita form six tupo ila tuna theory tu ya Sayansi 🤣

Wanaume wazima tunakuja kubadilishiwa taa na wadada wa
form three au form four 🤣🤣🤣
HIvyo hivyo kwa issue ya maji plumber nao wanakuja kufix.

Nakumbuka mengi sana ila mengine mtayasema nyie

Mimi nilisoma Tanga School (Tanga Technical Secondary)

The first Government Secondary School in Tanzania.

SERVICE NOT SELF

Tanga shule ya Sifa.

Je unataka mkopop
Je unataka kukopeshwa kiasi gani
Je
Je....
 
Back
Top Bottom