fareed uziel
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 657
- 710
Ni Kilema kule mamiiukweni ni Rombo nini? au kilema kule
karibu sana tena sana
Boss Bei elekezi ipoje per night?Kuna kahotel kamoja kako Bagamoyo kanaitwa Firefly niliendaga na famikia Christmas [emoji319] moja. Tulienjoy sana
Ukitaka kuiona tazama wimbo wa Marioo - Ifunanya wameshuti pale.
Hapo Karatu pia kuna Gibbs farm ni sehemu nzuri mno na vingi utakavyokula ni fresh from shamba ,zizini au mabandani direct na mazingira yao ni superbMkipata muda kidg mje karatu aisee kuna place nzur sana inaitwa marera mount view camp
Jiandae Kuna baridi matata sana hukonatamani kufika kitulo plateu National Park
nalitambua hilo
Budget ya wiki familia ya watoto watatu inafika bei gani?Kuna kahotel kamoja kako Bagamoyo kanaitwa Firefly niliendaga na famikia Christmas [emoji319] moja. Tulienjoy sana
Ukitaka kuiona tazama wimbo wa Marioo - Ifunanya wameshuti pale.
Kaje magwaha ya nyokwengazi, nani alikuloga? Au ulitupiwa zongo?Lushoto kuzuri Sana ukiacha huo uchawi Wao
Umenena Watu wengi wamekariri Kula bata ni Mademu na Bia Bar kwisha lakin kuna raha sana katika kufanya Vocation una refresh sana Mind kichwaa kinakaa sawa mimi sina pesa kivile lakin huwa najibana napiga vocation kwa mwaka mara 1Ila wadau vacation ni muhimu sana kuweka kichwa sawa.
Hata kama umepigika kiasi gani jitahidi kwenda vacation at mara moja kwa mwaka ukakae sehemu na familia hata siku mbili tatu. Inasaidia sana kutuliza kichwa na kuweka muunganiko wa familia.
Maisha mafupi haya tusiishie kuchangia harusi tu, tuweke na akiba kidogo kwenda vacation na familia hata mara moja kila mwaka. Kuna raha sana kukaa fukwe za bahari na familia zetu. Kubadilisha mazingira ya nyumbani na pia kula misosi tofauti na ya nyumbani.
Napenda vacation
Nimetembelea Ngorongoro,Talangile,Lake Mnayara Now naPlan kuingia Serengeti nantalala ndani ya Hifadhi nachukua kibali cha mchana ili nilale Ndani ya HifadhiHabari zenu wadau, uzi huu ni maalum kwa ajili ya kucomment sehemu yoyote ile ya kitalii uliyokwishafika au unapenda/kutamani kufika kwa hapa Tanzania au nchi za jirani na Tanzania.
Karibu uweke comment yako.
lamadi kuna nini pale?Mpanda Katavi Ikola Mwese na Karema
Kagera Karagwe na Kyerwa
Lamadi na pale makào makuu ya wilaya Busega
Tembelea huko hutajutia viburudisho vya kutosha na mazagazaga mengineyo
Nasubiri majibu na mimiBudget ya wiki familia ya watoto watatu inafika bei gani?