2006; Mwanza/L. Victoria.
-Hotelini niliagiza chips yai, muhudumu akacheka, akaniambia hakuna chips yai bali kuna samaki, nikaagiza hiyo wakaniletea. Vichips vya kuhesabika ila bonge moja ya samaki, na ndo siku pekee niliyoshindwa kumaliza samaki.
-Hopefully nitarudi tena mwanza kutalii vizuri ziwa victoria.
2009; Zanzibar.
nilibahatika kutembelea;
*Stone town
*National museum of zanzibar
-Hapa nilipata historia ya utawala wa kisultani ya Zanzibar mpaka mapinduzi yalipofanyika
-nilibahatika kupanda mpaka gorofa ya kwanza kuangalia mfanano wa vyumba vya masultani na familia zao
-Gorofa ya tatu tuliambiwa imefungwa kwa sababu ilikuwa "unstable"
*Slave market
*Nyumbani kwa Sultani Barghash bin Sayyid Said
-huyu mwamba alikuwa na mke mmoja na hawara 99, alijenga swimming pools 3, kila moja wanakaa mahawara 33, wakiogelea uchi, wakati huo jamaa yupo chumbani kwake, gorofa ya pili akiwaangalia kupitia dirishani, akimwona amtakaye kwa muda huo anawaambia wafanyakazi wake wanamfuata na kumpeleka room kwa jamaa.
-Alikuwa akitumia aina fulani ya "alkasusu", ambayo tourguide alipata kutaja mchanganyiko wake pale (wadada walikuwa busy kuandika).
*Christ Church
-Hapa nilipata historia ya kuuma kidogo na kusikitisha ya watumwa
-Tukaoneshwa msalaba uliotengenezwa kutoka katika tawi la mti, ambao ulipandwa/kuota katika kaburi la David Livingstone kutoka huko zambia
*Prison Island
-watumwa walifikishwa hapa kabla ya kupelekwa kuuzwa pale slave market. Kwa wagonjwa ndo ilikuwa mwisho wa safari yao maana waliuliwa na kutupwa katika shimo kubwa lililo katikati ya kambi, likizungukwa na vyumba/jela za hao watumwa
-wale watumwa wababe hapo ndo palikuwa mahala pa "kuvunja(kuwa broken spiritually), kukatishwa tamaa, kuonesha kuwa njia pekee ya kuishi ni wao kuwa watumwa"
-kuna wanyama pia kama kobe, na jamii ya digidigi(sina uhakika). pia tulionesha kobe mmoja aliekadiriwa kuwa na umri kati ya miaka 90 mpaka 150.
-Ufukwe wa Prison island ulikuwa murua sana
Baya pekee katika safari/utalii wa zanzibar, tulienda muda/kipindi cha mfungo. Kwa hiyo swala la chakula hasa hasa kipindi cha mchana ilikuwa issue nzito.
-Hotelini niliagiza chips yai, muhudumu akacheka, akaniambia hakuna chips yai bali kuna samaki, nikaagiza hiyo wakaniletea. Vichips vya kuhesabika ila bonge moja ya samaki, na ndo siku pekee niliyoshindwa kumaliza samaki.
-Hopefully nitarudi tena mwanza kutalii vizuri ziwa victoria.
2009; Zanzibar.
nilibahatika kutembelea;
*Stone town
*National museum of zanzibar
-Hapa nilipata historia ya utawala wa kisultani ya Zanzibar mpaka mapinduzi yalipofanyika
-nilibahatika kupanda mpaka gorofa ya kwanza kuangalia mfanano wa vyumba vya masultani na familia zao
-Gorofa ya tatu tuliambiwa imefungwa kwa sababu ilikuwa "unstable"
*Slave market
*Nyumbani kwa Sultani Barghash bin Sayyid Said
-huyu mwamba alikuwa na mke mmoja na hawara 99, alijenga swimming pools 3, kila moja wanakaa mahawara 33, wakiogelea uchi, wakati huo jamaa yupo chumbani kwake, gorofa ya pili akiwaangalia kupitia dirishani, akimwona amtakaye kwa muda huo anawaambia wafanyakazi wake wanamfuata na kumpeleka room kwa jamaa.
-Alikuwa akitumia aina fulani ya "alkasusu", ambayo tourguide alipata kutaja mchanganyiko wake pale (wadada walikuwa busy kuandika).
*Christ Church
-Hapa nilipata historia ya kuuma kidogo na kusikitisha ya watumwa
-Tukaoneshwa msalaba uliotengenezwa kutoka katika tawi la mti, ambao ulipandwa/kuota katika kaburi la David Livingstone kutoka huko zambia
*Prison Island
-watumwa walifikishwa hapa kabla ya kupelekwa kuuzwa pale slave market. Kwa wagonjwa ndo ilikuwa mwisho wa safari yao maana waliuliwa na kutupwa katika shimo kubwa lililo katikati ya kambi, likizungukwa na vyumba/jela za hao watumwa
-wale watumwa wababe hapo ndo palikuwa mahala pa "kuvunja(kuwa broken spiritually), kukatishwa tamaa, kuonesha kuwa njia pekee ya kuishi ni wao kuwa watumwa"
-kuna wanyama pia kama kobe, na jamii ya digidigi(sina uhakika). pia tulionesha kobe mmoja aliekadiriwa kuwa na umri kati ya miaka 90 mpaka 150.
-Ufukwe wa Prison island ulikuwa murua sana
Baya pekee katika safari/utalii wa zanzibar, tulienda muda/kipindi cha mfungo. Kwa hiyo swala la chakula hasa hasa kipindi cha mchana ilikuwa issue nzito.