Wale tunaopenda vacation, sehemu gani ya utalii Tanzania uliyofika au unatamani kufika?

Wale tunaopenda vacation, sehemu gani ya utalii Tanzania uliyofika au unatamani kufika?

Kumbe unauliza kwa Tanzania..kule kwetu Lushoto ni much better kupumzika..lakini binafsi kabla sijafa kwa duniani kuna kijiji kiko swis kinaitwa Wengen aisee nataka nikaenyoy safu za milipa ya alps..kule ni eden aisee,sio kwa usafi na mazingira yale..!
 
Habari zenu wadau, uzi huu ni maalum kwa ajili ya kucomment sehemu yoyote ile ya kitalii uliyokwishafika au unapenda/kutamani kufika kwa hapa Tanzania au nchi za jirani na Tanzania.

Karibu uweke comment yako.
KITOVUNI CHATTLE
 
Kumbe unauliza kwa Tanzania..kule kwetu Lushoto ni much better kupumzika..lakini binafsi kabla sijafa kwa duniani kuna kijiji kiko swis kinaitwa Wengen aisee nataka nikaenyoy safu za milipa ya alps..kule ni eden aisee,sio kwa usafi na mazingira yale..!
kuna sehem Holland inaitwa giethoom au village without roads pazuri sana unaweza kucheki you tube andika village without ROADS utaona
 
Uzima ukiwepo lazima nifike Visiwa vya Vanuatu,Kiribati,Tonga,Tuvalu Como, na Hawaii
Upepo wa pesa ukinitembelea
Pataya Indonesia na Madagascar yote nikatalii life style la kina Dj Andy Rajoerina!
 
Hii hapa part

IMG_20210701_135821_352.jpg
 
Ndyo n kweli kwenda Dubai n bei che kiaina nauli kwa Economy unaweza kwenda hata kwa 580k
Kwenda naona sio shida...shida kubwa ni hotels na mutu ya kukuonjesha maendeo...hahhahaha ni majanga lkn kama huna mwenyeji wa kukutembeza...ACHa nianze kutafuta muarabu mwenyeji
 
Ila wadau vacation ni muhimu sana kuweka kichwa sawa.

Hata kama umepigika kiasi gani jitahidi kwenda vacation at mara moja kwa mwaka ukakae sehemu na familia hata siku mbili tatu. Inasaidia sana kutuliza kichwa na kuweka muunganiko wa familia.

Maisha mafupi haya tusiishie kuchangia harusi tu, tuweke na akiba kidogo kwenda vacation na familia hata mara moja kila mwaka. Kuna raha sana kukaa fukwe za bahari na familia zetu. Kubadilisha mazingira ya nyumbani na pia kula misosi tofauti na ya nyumbani.

Napenda vacation

Mkuu nimekukubali.
Nakazia vacation ni muda wa ku-rejuvenate. Tunahitaji sana mapumziko kutokana na purukushani za maisha.
Tafuta mahali tulivu nje ya mazingira ya kila siku na pumzika/fanya vitu tofauti.
Mfano kwa aliyeleta mada: Gibbs from/to Ngorongoro crater ukapitia view ya Lake Manyara.
Stone town ukaenda spice farm (utajifunza mengi) ukamalizia na sunset view.
Jaribu a day trip kati ya routes za mlima Kilimanjaro dhumuni ni kufika kituo au camp moja kwenda nyingine. Furahia mazingira, nyoosha miguu.
Lushoto tips umeshapewa na wadau.
 
Back
Top Bottom