khamis kilo
JF-Expert Member
- May 23, 2016
- 1,137
- 1,380
magoroto twenzetu magoroto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenzetu wako mbali sana kwenye hotel industry. Hela ya kawaida tu unapata kitu kizuriHapo kwenye hotel nilidhani gharama sana kumbe ni kutojua!
Asante kwa information!
Kweli na nusukwer?
Hapa ni Mkuzi kwa Muller bila shaka, Lushoto Tanga hio.
Swiss cottage karibu kabisa na Muller's.Hapa ni Mkuzi kwa Muller bila shaka, Lushoto Tanga hio.
Horizon Beach, Bagamoyo.Habari zenu wadau, uzi huu ni maalum kwa ajili ya kucomment sehemu yoyote ile ya kitalii uliyokwishafika au unapenda/kutamani kufika kwa hapa Tanzania au nchi za jirani na Tanzania.
Karibu uweke comment yako.
tumia ndege mkuu hahahah enjoy kama mko wawili tuSorry naombeni kujua sehemu nzuri kwa Zanzibar, ili ni enjoy na mtu wangu (tupo wawili tu)..naombeni location na bajeti ila boti kutoka Dar nataka ile boti nzuri kabisa kushinda zote
hizo bei wako serious kweli? hebu watupe idea how can it be possible halafu tujitose pia$1,000 si ni kwenye Tsh 2.3M kwahiyo kumbe inatosha kabisa kwenda na kuridi? Ngoja niache uzembe niingie hata Dubai kuhusu kulala nitalala hata stendi.
Sema nikirudi ntakuwa nimechoka sana hata hela ya daladala nitakua sina
huku tupo VisibleSoon nitawaandalia tour mbali mbali wanaJF. Tuwe na kitu chetu kinachotuunganisha kule Twitter kuna TOT Bonanza. Ila JF tuje na tours.
Nilikwenda nje mji kuna mapolomoko ya maji usiku kuna miale ya taa aysee Mungu ana rehema nyingi sana..Kwa Eskimo people Ina unalala kwa zile nyumba zao za barafu unaenjoi Sana
Wow. Safi sana. Naelekea huko wiki 2 zijazo, nitafika hapo mahaliSwiss cottage karibu kabisa na Muller's.
Ile location ukipiga picha zinakuwa nzuri sana...ila panahitaji maboresho zaidiKinukamori Marangu mtoni Moshi ...very cheap and affordable to everyone na uta enjoy...tatizo ni ya day trip tu utaogelea na kufurahia maisha
hata huku kijijini kwetu mambo ni motooooo