Wale tunaopenda vacation, sehemu gani ya utalii Tanzania uliyofika au unatamani kufika?

Wale tunaopenda vacation, sehemu gani ya utalii Tanzania uliyofika au unatamani kufika?

Nimekupa Like Mkuu...
Ila Vacation wapi
Lushoto nasikia Kuna Hali ya Hewa Nzuri Baridi na Miti au kuna kingine?

Bagamoyo nasomaga tuu Kwenye history kuwa kuna Magofu na Nyumba za Kale,Sijui Kama Kuna Kingine! Au kuna Kingine?
Bagamoyo pia kuna hotel zilizoko ufukweni na ni tulivu sana. Pia ni mji wa kitalii hivyo hotel zina live band flani hivi amazing na kuna kina Msafiri Zawose huko wanaimba na zeze kabisa. Kuna maisha fulani ya kitalii ila uwe na mpunga kidogo
 
Kama hujawahi kutoka nje ya nchi na unataka kuona dunia ya kwanza ikoje nenda Dubai. Gharama hazitishi na visa yake inapatikana kirahisi. Nauli kwenda na kurudi around $500, hotel siku 3/4 around $200 , maana yake ukiwa na $1,000 unapata na pocket money $300.
Tatizo Dubai hamnaga Dada zetu wa maana
 
Ila lushoto kwakweli ni ulaya ndogo jamani tuseme ukweli, mkuu tuongezee picha kidogo please
IMG_20210404_180604_1.jpg
IMG_20210404_085116_2.jpg
IMG_20210404_084239_1.jpg
 
sorry naombeni kujua sehemu nzuri kwa zanziber, ili ni enjoy na mtu wangu (tupo wawili tu)..naombeni location na bajeti ila boti kutoka dar nataka ile boti nzuri kabisa kushinda zote
Boti panda zanzibar one ufurahie maisha bakhresa jina tu ila ukitaka kuthibitisha kwenda panda zanzibar one kurudi panda kilimanjaro halafu ulete mrejesho hapa
 
Boti panda zanzibar one ufurahie maisha bakhresa jina tu ila ukitaka kuthibitisha kwenda panda zanzibar one kurudi panda kilimanjaro halafu ulete mrejesho hapa
Sijakuelewa mkuu, Zanzibar one ni ya azam au ni kampuni tofauti....
 
Bagamoyo pia kuna hotel zilizoko ufukweni na ni tulivu sana. Pia ni mji wa kitalii hivyo hotel zina live band flani hivi amazing na kuna kina Msafiri Zawose huko wanaimba na zeze kabisa. Kuna maisha fulani ya kitalii ila uwe na mpunga kidogo
Tupeane na cost sio wote tunapafahamu
 
Back
Top Bottom