Wale tunaopenda vacation, sehemu gani ya utalii Tanzania uliyofika au unatamani kufika?

Wale tunaopenda vacation, sehemu gani ya utalii Tanzania uliyofika au unatamani kufika?

Sorry naombeni kujua sehemu nzuri kwa Zanzibar, ili ni enjoy na mtu wangu (tupo wawili tu)..naombeni location na bajeti ila boti kutoka Dar nataka ile boti nzuri kabisa kushinda zote
Zanzibar kuna Pemba na Unguja so sijui unataka kwenda kisiwa gani?.

Pemba; nitakushauri panda ndege kwa boat utarudi kutupa mrejesho mbaya hapa 😁!.
☝🏾
Issues za hotel upande wa pemba si mwenyeji sana ingawa zipo affordable kwa mtu yeyote.

Unguja; tumia chombo, boat na kuna mdau hapo juu kakupa hit upande mwendokasi "Zanzibar 1 au Zanzibar Fast Ferries" hii kitu ni noma sana!, Bei ya tiketi inaanzia shs 25,000/- mpaka 45,000/-, kutegemea na daraja unalotaka.

Hoteli/Lodge kwa unguja ni za kutosha from 15usd mpaka 400usd kutegemea na hitaji lako.

Eneo kama mji mkongwe kuna lodge, nje ya mji fuoni, fumba, airport, kwenye fukwe nk, kuna guest, lodge, hotel ni wewe na pesa yako mkuu.
 
Habari zenu wadau, uzi huu ni maalum kwa ajili ya kucomment sehemu yoyote ile ya kitalii uliyokwishafika au unapenda/kutamani kufika kwa hapa Tanzania au nchi za jirani na Tanzania.

Karibu uweke comment yako.
MKUU KUNA SEHEMU KAMA KAJIFOREST ZISLAND FULANI IVI NAZANI IPO KOROGWE NDANI NDANI , PANAITWA MAGOROTO DAAH KWA BATA HATARIIII
 
MKUU KUNA SEHEMU KAMA KAJIFOREST ZISLAND FULANI IVI NAZANI IPO KOROGWE NDANI NDANI , PANAITWA MAGOROTO DAAH KWA BATA HATARIIII
ndio magoroto forest ni noma kaka
Screenshot_20210811-153904_Instagram.jpg
 
Kama hujawahi kutoka nje ya nchi na unataka kuona dunia ya kwanza ikoje nenda Dubai. Gharama hazitishi na visa yake inapatikana kirahisi. Nauli kwenda na kurudi around $500, hotel siku 3/4 around $200 , maana yake ukiwa na $1,000 unapata na pocket money $300.
Hapo kwenye hotel nilidhani gharama sana kumbe ni kutojua!
Asante kwa information!
 
$1,000 si ni kwenye Tsh 2.3M kwahiyo kumbe inatosha kabisa kwenda na kuridi? Ngoja niache uzembe niingie hata Dubai kuhusu kulala nitalala hata stendi.

Sema nikirudi ntakuwa nimechoka sana hata hela ya daladala nitakua sina
[emoji16][emoji16]
 
Boti panda zanzibar one ufurahie maisha bakhresa jina tu ila ukitaka kuthibitisha kwenda panda zanzibar one kurudi panda kilimanjaro halafu ulete mrejesho hapa
Kumbe kuna nyingine ukiacha boat za Azam?
Asante
 
Kama hujawahi kutoka nje ya nchi na unataka kuona dunia ya kwanza ikoje nenda Dubai. Gharama hazitishi na visa yake inapatikana kirahisi. Nauli kwenda na kurudi around $500, hotel siku 3/4 around $200 , maana yake ukiwa na $1,000 unapata na pocket money $300.
kwer?
 
Sorry naombeni kujua sehemu nzuri kwa Zanzibar, ili ni enjoy na mtu wangu (tupo wawili tu)..naombeni location na bajeti ila boti kutoka Dar nataka ile boti nzuri kabisa kushinda zote
25 x2 go and return.
zamani kempisk
fumba tow
kiwemgwa
 
Ila wadau vacation ni muhimu sana kuweka kichwa sawa.

Hata kama umepigika kiasi gani jitahidi kwenda vacation at mara moja kwa mwaka ukakae sehemu na familia hata siku mbili tatu. Inasaidia sana kutuliza kichwa na kuweka muunganiko wa familia.

Maisha mafupi haya tusiishie kuchangia harusi tu, tuweke na akiba kidogo kwenda vacation na familia hata mara moja kila mwaka. Kuna raha sana kukaa fukwe za bahari na familia zetu. Kubadilisha mazingira ya nyumbani na pia kula misosi tofauti na ya nyumbani.

Napenda vacation
Kweli mkuu mimi nataka mwezi wa 12 niende mikumi na familia
 
Jamani hapa Bagamoyo kuna Nini cha Ziada?
Magofu au?
Sijaelewa?
Lushoto Unamaanisha Hali ya Hewa au Kupumzika Au Kuna Vitu Vya Kushangaa?
Nimeuliza tuu ili Kujua
hayo unayohis magofu ni vile tu hayajapewa kipaumbele na meng yanaharibika kwa kukosa ukarabat.lait yangewekwa kiukarabat na kurudisha ile hadh ya mji mkongwe na watu wangejaa kwenda kupata ile ladha ya mji wa kale lakin ambao huduma zake zipo uptodate,
muonekano wa nje wa magofu uwe vilevile ndan ndio pawe uptodate na yote yafanywe kuwa vitu mbalimbal kama lodge,hotels cafeteria,coffee shops curio shops bagamoyo pekeyake halmashaur wangekua wanaongelea mabilion ya levy tax za utalii.
 
Nimekupa Like Mkuu...
Ila Vacation wapi
Lushoto nasikia Kuna Hali ya Hewa Nzuri Baridi na Miti au kuna kingine?

Bagamoyo nasomaga tuu Kwenye history kuwa kuna Magofu na Nyumba za Kale, Sijui Kama Kuna Kingine! Au kuna Kingine?
elimu zaid inahitajika hasa hasa upande wa promotion.
hapo kuna vituo kama caravan serai,na hao ngome kongwe ila jitigada wazifanye kuwapa elimu watu kama wewe
 
Ndio kalekale, kazuri sana halafu wanapapenda wazungu sana sana. Tulikaa pale siku tatu tukajihisi kama tupo ulaya flani. Pia hata bei sio rafiki kwa wazalendo wanalipa kwa USD
Per one night kulala ni ngapi na chakula how much.
Sema mie Nina mpango nikazuru Rwanda unafanya sex tourism.
Mana wale wadada wa kagame nikiwaonaga kwa mtandaoni mie nakuwa hoi Sana.
 
Mpanda Katavi Ikola Mwese na Karema

Kagera Karagwe na Kyerwa

Lamadi na pale makào makuu ya wilaya Busega

Tembelea huko hutajutia viburudisho vya kutosha na mazagazaga mengineyo
karema kama unatokea mpanda mjin njia yabuvinza? kabla hujamaliza ile lami?
 
Back
Top Bottom