Hapo nilfika ku a chumba cha dola 200
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo nilfika ku a chumba cha dola 200
Naomba mtuwekee na tupicha tafadhali, niliwahi kaa irente zamani sana.Lushoto kama unapenda kupumzika
Nmeipenda hii kumbe nikiwa na million 3 natoboa?Kama hujawahi kutoka nje ya nchi na unataka kuona dunia ya kwanza ikoje nenda Dubai. Gharama hazitishi na visa yake inapatikana kirahisi. Nauli kwenda na kurudi around $500, hotel siku 3/4 around $200 , maana yake ukiwa na $1,000 unapata na pocket money $300.
Panaitwajwe hapo mkuu
$1,000 si ni kwenye Tsh 2.3M kwahiyo kumbe inatosha kabisa kwenda na kuridi? Ngoja niache uzembe niingie hata Dubai kuhusu kulala nitalala hata stendi.Kama hujawahi kutoka nje ya nchi na unataka kuona dunia ya kwanza ikoje nenda Dubai. Gharama hazitishi na visa yake inapatikana kirahisi. Nauli kwenda na kurudi around $500, hotel siku 3/4 around $200 , maana yake ukiwa na $1,000 unapata na pocket money $300.
Dah kumbe gharama za kawaida.. ngoja niweke target next year.Kama hujawahi kutoka nje ya nchi na unataka kuona dunia ya kwanza ikoje nenda Dubai. Gharama hazitishi na visa yake inapatikana kirahisi. Nauli kwenda na kurudi around $500, hotel siku 3/4 around $200 , maana yake ukiwa na $1,000 unapata na pocket money $300.
[emoji3][emoji3][emoji3] lakini utakuwa umeweka rekodi$1,000 si ni kwenye Tsh 2.3M kwahiyo kumbe inatosha kabisa kwenda na kudi? Ngoja niache uzembe niingie hata Dubai kuhusu kulala nitalala hata stendi
Sema nikirud ntakua nimechoka sana hata hela ya daladala nitakua sina
Swiss cottagepanaitwajwe hapo mkuu
Kwa raha zako.Nmeipenda hii kumbe nikiwa na million 3 natoboa?
Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app
Sometimes afadhali uende Dubai kuliko sehemu kama hizi ukilinganisha gharama!Hapo nilfika ku a chumba cha dola 200
Switzerland fulani.O Lushoto ni ulaya
tembelea youtube acc ya osse utaweza kuona sehemu mbali mbali za ww kutembelea na familia yako
moja wapo ni hii vid utaona uko Ta kuna mahala panaitwa the clif
#mchawi Pesa
Local
Bagamoyo
Zanzibar
Lushoto.
Tanga
Ila wadau vacation ni muhimu sana kuweka kichwa sawa.
Hata kama umepigika kiasi gani jitahidi kwenda vacation at mara moja kwa mwaka ukakae sehemu na familia hata siku mbili tatu. Inasaidia sana kutuliza kichwa na kuweka muunganiko wa familia.
Maisha mafupi haya tusiishie kuchangia harusi tu, tuweke na akiba kidogo kwenda vacation na familia hata mara moja kila mwaka. Kuna raha sana kukaa fukwe za bahari na familia zetu. Kubadilisha mazingira ya nyumbani na pia kula misosi tofauti na ya nyumbani.
Napenda vacation