Hii kitu ni kama kwa mullers...hiko kijumba kipo bongo lakini kina starehe nyingi sana za kiulaya ulaya.
nimefika hapa aisee patam sana nililala serena hotel pale aisee kama mbinguni nikaambiwa Hillary Clinton huwa anakuja sana arusha na huwa analala hapoKuna lake duluti hapa ni pazuri na hakuna cost kubwa kama upo arusha tembelea hapo uenjoy
KITOVUNI CHATTLEHabari zenu wadau, uzi huu ni maalum kwa ajili ya kucomment sehemu yoyote ile ya kitalii uliyokwishafika au unapenda/kutamani kufika kwa hapa Tanzania au nchi za jirani na Tanzania.
Karibu uweke comment yako.
kuna sehem Holland inaitwa giethoom au village without roads pazuri sana unaweza kucheki you tube andika village without ROADS utaonaKumbe unauliza kwa Tanzania..kule kwetu Lushoto ni much better kupumzika..lakini binafsi kabla sijafa kwa duniani kuna kijiji kiko swis kinaitwa Wengen aisee nataka nikaenyoy safu za milipa ya alps..kule ni eden aisee,sio kwa usafi na mazingira yale..!
Kwa kweli na ndo huwa mshangao niupatao kiasi nashindwa kuelewa wanaangalia Nini kuweka Bei kubwa kwenye accommodationSometimes afadhali uende Dubai kuliko sehemu kama hizi ukilinganisha gharama!
Ndyo n kweli kwenda Dubai n bei che kiaina nauli kwa Economy unaweza kwenda hata kwa 580khizo bei wako serious kweli? hebu watupe idea how can it be possible halafu tujitose pia
Mambo ya water falls😍
Visiwa vya saa nane na visiwa vya ukereweI wish kwenda Rock city Mwanza! Sehemu gani nzuri ya kutalii wakuu?
Mambo ya water falls😍
Kwenda naona sio shida...shida kubwa ni hotels na mutu ya kukuonjesha maendeo...hahhahaha ni majanga lkn kama huna mwenyeji wa kukutembeza...ACHa nianze kutafuta muarabu mwenyejiNdyo n kweli kwenda Dubai n bei che kiaina nauli kwa Economy unaweza kwenda hata kwa 580k
Ila wadau vacation ni muhimu sana kuweka kichwa sawa.
Hata kama umepigika kiasi gani jitahidi kwenda vacation at mara moja kwa mwaka ukakae sehemu na familia hata siku mbili tatu. Inasaidia sana kutuliza kichwa na kuweka muunganiko wa familia.
Maisha mafupi haya tusiishie kuchangia harusi tu, tuweke na akiba kidogo kwenda vacation na familia hata mara moja kila mwaka. Kuna raha sana kukaa fukwe za bahari na familia zetu. Kubadilisha mazingira ya nyumbani na pia kula misosi tofauti na ya nyumbani.
Napenda vacation
Zipo kibao sana ndugu, ondoa hofu.Hvi lushoto Kuna logde za Bei rafik mtu akaspend ata 3 days hv