harfiz allyy
Senior Member
- Sep 28, 2023
- 157
- 248
- Thread starter
-
- #21
nikiamua nimnase namnasa tuu lakimoja nanusu sionyingi kwangu namsameheKumbe umepigwa na kitu kizito kichwani kwa hiyo umetoa machungu, ndo kuingizwa kingi hapo.
Jamaniππππ,, asa zote za nini mkuu si bora utembee na hela zako cash kama ni hivyo ππKama hata zina milion 2 zina nafuu.. mi sina hata laki 3 kwenye akaunt zote 6 ukichanganya kwa pamoja
naujua hunanjaa mrembo nakupa kama zawadituu pokeaShida ni kwamba sina njaaππ
Nafikiri nifanye tu hivyo..ila nitaacha japo 2 ziwe za kupitishia hela.Jamaniππππ,, asa zote za nini mkuu si bora utembee na hela zako cash kama ni hivyo ππ
Wape majirani zako hapo home insteadnaujua hunanjaa mrembo nakupa kama zawadituu pokea
wee unakiasigani umpunguzie jamΓ‘a hapo namimi nitakuongezeaJamaniππππ,, asa zote za nini mkuu si bora utembee na hela zako cash kama ni hivyo ππ
Ziache tu zote, huwezi jua huenda zikajaa hapo baadaeNafikiri nifanye tu hivyo..ila nitaacha japo 2 ziwe za kupitishia hela.
wapiππππwee unakiasigani umpunguzie jamΓ‘a hapo namimi nitakuongezea
π€£π€£π€£π€£Kumbe?inakuwa ngumusana kuzikontroo.
mana inahitaji muda uongo mwingi kutosahau kumbukukumbu nk
nilitongoza demu na akaunti tofauti akaomba picha nikampa tukazinguana kwenyehela anapenda sana hela nikamblock
nikamfata Kwa akaunti nyingine kakubali freshi tuu alivyo niomba picha nikaachana nae mana ananijua
Zinajaa aje sasa? Mpaka ufanye vibarua vya kujaza akaunt ni leo mkuu?Ziache tu zote, huwezi jua huenda zikajaa hapo baadae
majirani wanazo kunizidi mimiWape majirani zako hapo home instead
mpunguzie huyojamaa mwenye akaunt 6 Haina kitu Mimi nitakuongezeawapiππππ
Nakumbuka wakati niko shule, kila bank ikija kufanya matangazo nafungua accounts, hadi nakuja kumaliza nlikua na accounts kama5 hivi halafu hazina kituπππππZinajaa aje sasa? Mpaka ufanye vibarua vya kujaza akaunt ni leo mkuu?
Acha nifunge nibaki na mpesa π
wee una akaunt ngapiπ€£π€£π€£π€£Kumbe?
Fanya umuongezee tu yeye direct mkuuππmajirani wanazo kunizidi mimi
mpunguzie huyojamaa mwenye akaunt 6 Haina kitu Mimi nitakuongezea
Nakumbuka wakati niko shule, kila bank ikija kufanya matangazo nafungua accounts, hadi nakuja kumaliza nlikua na accounts kama5 hivi halafu hazina kituπππππ
nitazijaza helazote usijaliNakumbuka wakati niko shule, kila bank ikija kufanya matangazo nafungua accounts, hadi nakuja kumaliza nlikua na accounts kama5 hivi halafu hazina kituπππππ
wee hunamoyo wakutoa msaada kumbeFanya umuongezee tu yeye direct mkuuππ
Nimezifungia zoteππ, nimebaki na mbili tu na Mpesa basiπππnitazijaza helazote usijali
We unafikiri mimi nimefikishaje hiz 6?Nakumbuka wakati niko shule, kila bank ikija kufanya matangazo nafungua accounts, hadi nakuja kumaliza nlikua na accounts kama5 hivi halafu hazina kituπππππ
Zinanitosha mwenyewe tu basiπππwee hunamoyo wakutoa msaada kumbe
sawa nitakufungulia nyingine tatΓΊ mana unazochache sanaNimezifungia zoteππ, nimebaki na mbili tu na Mpesa basiπππ