harfiz allyy
Senior Member
- Sep 28, 2023
- 157
- 248
- Thread starter
- #21
nikiamua nimnase namnasa tuu lakimoja nanusu sionyingi kwangu namsameheKumbe umepigwa na kitu kizito kichwani kwa hiyo umetoa machungu, ndo kuingizwa kingi hapo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nikiamua nimnase namnasa tuu lakimoja nanusu sionyingi kwangu namsameheKumbe umepigwa na kitu kizito kichwani kwa hiyo umetoa machungu, ndo kuingizwa kingi hapo.
Jamani😃😂😂😂,, asa zote za nini mkuu si bora utembee na hela zako cash kama ni hivyo 🙌🙌Kama hata zina milion 2 zina nafuu.. mi sina hata laki 3 kwenye akaunt zote 6 ukichanganya kwa pamoja
naujua hunanjaa mrembo nakupa kama zawadituu pokeaShida ni kwamba sina njaa😃😃
Nafikiri nifanye tu hivyo..ila nitaacha japo 2 ziwe za kupitishia hela.Jamani😃😂😂😂,, asa zote za nini mkuu si bora utembee na hela zako cash kama ni hivyo 🙌🙌
Wape majirani zako hapo home insteadnaujua hunanjaa mrembo nakupa kama zawadituu pokea
wee unakiasigani umpunguzie jamáa hapo namimi nitakuongezeaJamani😃😂😂😂,, asa zote za nini mkuu si bora utembee na hela zako cash kama ni hivyo 🙌🙌
Ziache tu zote, huwezi jua huenda zikajaa hapo baadaeNafikiri nifanye tu hivyo..ila nitaacha japo 2 ziwe za kupitishia hela.
wapi😂😂😂🙌wee unakiasigani umpunguzie jamáa hapo namimi nitakuongezea
🤣🤣🤣🤣Kumbe?inakuwa ngumusana kuzikontroo.
mana inahitaji muda uongo mwingi kutosahau kumbukukumbu nk
nilitongoza demu na akaunti tofauti akaomba picha nikampa tukazinguana kwenyehela anapenda sana hela nikamblock
nikamfata Kwa akaunti nyingine kakubali freshi tuu alivyo niomba picha nikaachana nae mana ananijua
Zinajaa aje sasa? Mpaka ufanye vibarua vya kujaza akaunt ni leo mkuu?Ziache tu zote, huwezi jua huenda zikajaa hapo baadae
majirani wanazo kunizidi mimiWape majirani zako hapo home instead
mpunguzie huyojamaa mwenye akaunt 6 Haina kitu Mimi nitakuongezeawapi😂😂😂🙌
Nakumbuka wakati niko shule, kila bank ikija kufanya matangazo nafungua accounts, hadi nakuja kumaliza nlikua na accounts kama5 hivi halafu hazina kitu😂😂😂😂🙌Zinajaa aje sasa? Mpaka ufanye vibarua vya kujaza akaunt ni leo mkuu?
Acha nifunge nibaki na mpesa 😂
wee una akaunt ngapi🤣🤣🤣🤣Kumbe?
Fanya umuongezee tu yeye direct mkuu😃😃majirani wanazo kunizidi mimi
mpunguzie huyojamaa mwenye akaunt 6 Haina kitu Mimi nitakuongezea
Nakumbuka wakati niko shule, kila bank ikija kufanya matangazo nafungua accounts, hadi nakuja kumaliza nlikua na accounts kama5 hivi halafu hazina kitu😂😂😂😂🙌
nitazijaza helazote usijaliNakumbuka wakati niko shule, kila bank ikija kufanya matangazo nafungua accounts, hadi nakuja kumaliza nlikua na accounts kama5 hivi halafu hazina kitu😂😂😂😂🙌
wee hunamoyo wakutoa msaada kumbeFanya umuongezee tu yeye direct mkuu😃😃
Nimezifungia zote😃😃, nimebaki na mbili tu na Mpesa basi😂😂😂nitazijaza helazote usijali
We unafikiri mimi nimefikishaje hiz 6?Nakumbuka wakati niko shule, kila bank ikija kufanya matangazo nafungua accounts, hadi nakuja kumaliza nlikua na accounts kama5 hivi halafu hazina kitu😂😂😂😂🙌
Zinanitosha mwenyewe tu basi😂😂🙌wee hunamoyo wakutoa msaada kumbe
sawa nitakufungulia nyingine tatú mana unazochache sanaNimezifungia zote😃😃, nimebaki na mbili tu na Mpesa basi😂😂😂