Kwa data zangu binafsi (na ndicho nakiongelea hapa) watu wa ios wengi hili janga ndo limewapiga zaidi
Haha poa kaka Amani hapa tunachangamsha genge tu masaa yapiteUpo sahihi, na mimi kwa data zangu watu wanaonizunguka wa Android bila kuwasaidia walikua washakubali matokeo.
Haha poa kaka Amani hapa tunachangamsha genge tu masaa yapite
Oya Sauti inatosha uko?Wasalaam,
Siku zote mkiambiwa iPhone ni kama gereza mnashupazaga shingo ooh...hamna simu kama Apple iPhone, security kubwa sijui blaah blaah!
Vipi mbona mmetandikwa kombora na wenye mtandao mmetulia tulii[emoji23][emoji23][emoji23] toka jana hama insta[emoji23], gmail, wala ukwaju! Ifike mahali Android ipewe heshima yake inavyostahili!
Android OS is the best ever OS to be invented!
Wasalaam,
Siku zote mkiambiwa iPhone ni kama gereza mnashupazaga shingo ooh...hamna simu kama Apple iPhone, security kubwa sijui blaah blaah!
Vipi mbona mmetandikwa kombora na wenye mtandao mmetulia tulii[emoji23][emoji23][emoji23] toka jana hama insta[emoji23], gmail, wala ukwaju! Ifike mahali Android ipewe heshima yake inavyostahili!
Android OS is the best ever OS to be invented!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Wasalaam,
Siku zote mkiambiwa iPhone ni kama gereza mnashupazaga shingo ooh...hamna simu kama Apple iPhone, security kubwa sijui blaah blaah!
Vipi mbona mmetandikwa kombora na wenye mtandao mmetulia tulii[emoji23][emoji23][emoji23] toka jana hama insta[emoji23], gmail, wala ukwaju! Ifike mahali Android ipewe heshima yake inavyostahili!
Android OS is the best ever OS to be invented!
Jf sasa hivi bila vpn huipatiJF haina shida, mitandao mingine ile ndio mmepigwa pini
Sababu hukuinstall vpn kabla hawajapiga pini, mie ni utaratibu wangu simu yangu huwa nabrowse kupitia vpn...hivyo hata sikutambua mpaka niliposikia watu. Nikajaribu zima vpn sikupata kitj.Ukiwa na Iphone una access mitandao mingi kwa ku google, huwezi tu kuingia whatsapp, Insta, Twitter na FB
Wasalaam,
Siku zote mkiambiwa iPhone ni kama gereza mnashupazaga shingo ooh...hamna simu kama Apple iPhone, security kubwa sijui blaah blaah!
Vipi mbona mmetandikwa kombora na wenye mtandao mmetulia tulii[emoji23][emoji23][emoji23] toka jana hama insta[emoji23], gmail, wala ukwaju! Ifike mahali Android ipewe heshima yake inavyostahili!
Android OS is the best ever OS to be invented!
Wewe acha kubwabwaja sana na kudhania kwamba kila mtumiaji wa iPhone yuko nondo kama wewe. Tukichukua sample ya wamiliki 100 tu wa iOS tukaamua kuwapima kwa uwezo wa kutumia functionalities za iPhone japo kwa 40% percent tu ndio utagundua ubovu kiasi gani.Naomba nikujibu na wewe unafahamu options ngapi za kuinstall app kwenye Android? Mie nakutajia zipo nne nitakuomba uzitaje
Sasa tuje Kwenye iphone achana na jailbreak
Kuna njia mbili za kuinstall apps
Kutumia AppStore njia nyingine unaweza download software za iPhone hata kama ni za kulipia kwenye Torrents na ukaiweka kwenye iphone yako kutumia iTune sijui unaweza hoja gani mkuu? Naamini utakuwa na Habari ya usumbufu wote wa nini, nikuambie kabisa tunajaribu uwezekano wa chochote unachofanya Kwenye android kinawezekaba kwenye iOS labda kama una malengo ya kujifunza unauliza ila ukiwa haujui kitu unaishia kukiponda mie naonaga ni aina flani ya ujinga ambapo walternative ya mjini a siku zote ni jambo lililo rahisi.
Mie singaporeEh naona napo umeingia mkono wa Dola! Sasa naipata tokea Bon ujerumani hapa π