Wale wa Apple/iPhone nawasalimu jamani, maisha yanakwendaje uko offline?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Vipi mbona mmetandikwa kombora na wenye mtandao mmetulia tuliiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ toka jana hama instaπŸ˜‚, gmail, wala ukwaju! Ifike mahali Android ipewe heshima yake inavyostahili!
πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
kmmmmmmmmmk subiri povu hapa
pumbav zao na nyodo zao, wako kwenye gereza la kifahari
 
Hawa jamaa ni attention seekers.... [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Wanjionaga kam ndio walio itengeneza hiyo handset....
 
Dah, inasikitisha sana! Nna uzi niliwahi kupost kuelimisha watu juu ya VPN years back. Utafute!

Hawa watu ushamba hauwaishi sasahivi huko mitaani wanahangaika na kulalamika as usual hawana internet
 
Dah, inasikitisha sana! Nna uzi niliwahi kupost kuelimisha watu juu ya VPN years back. Utafute!

Ambacho kinakusumbua hujui kama iPhone Zina VPN tayari ni kufanya settings tu unakuwa hewani bila hata kudownload.
 
Mkuu naomba kufahamu namna ya kuinstall VPN kwenye IOS πŸ™πŸΏ
 

VPN ziko kibao tena mwezi wa kwanza free then unalipia 0.8$ kwa mwezi iko strong balaaa
 

mbona tunatumia VPN mkuu kama wewe tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…