Unaperuzi kwenye kisimu cha android hapo af unaleta janja janja [emoji23]
Hamna mnara juu hii ni janja janja[emoji23][emoji23][emoji23]
Mr Apple umejibu kinyonge sana utafikiri Madam polepole amekwama kwenye matope na v8 ya maccmMbona twaperuz fresh tu Extrovert
Labda kama wanapata app chache.Ah wapi, iPhone kipengele