Gily Gru
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 8,632
- 23,673
Aaah kwani humu ndani kuna watu hata kuandika hawawezi. Ila anakuambia kuwa ana masters 🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] lakin humu kila mtu hujisifia anaweza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aaah kwani humu ndani kuna watu hata kuandika hawawezi. Ila anakuambia kuwa ana masters 🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] lakin humu kila mtu hujisifia anaweza
Mtunuku mmoja
Una umri wa miaka mingapi kwanza?Nazungumzia wale ambao tunapiga kabao ketu ndani ya dakika 2-3 na baada ya hapo huo usingizi unaokuja si wa nchi hii....unalala saa mbili na dakika tatu usiku (baada ya kupiga kabao kako) na, kama hujaamshwa, basi unaweza kujikuta unaamka hata saa tatu asubuhi kesho yake.
Najua tupo wengi humu (ingawa nyuma ya keyboard kila mmoja humu anajifanya ni modal man) na tuna sababu tofautitofauti lakini bado tunaweza kushare.
Mwenzenu nimefanikiwa kuoa kabisa na watoto wawili ninao, hata huulizi watoto hawa ni wa nani na wala huwezi kuhitaji DNA kwani tu pamoja kwa kila kitu! Mke pamoja nami mwaka wa 10 huu sasa, ufundi wa viungo vingine kama mikono, ulimi n.k vikitumika kwa umaridadi mkubwa kuziba ombwe........mke nikijaribu kumtishia kumwacha vilio vyenyewe si vya nchi hii; anagalagala hadi huruma. Mara ya kwanza, katika hali hii, nilifikiri anaigiza tu lakini nilipojaribu mara ya pili, tatu hadi nne hali ikawa vilevile huku mke nikimtoa katika eneo linalosifika kwa wanawake kutopenda kuolewa nikapata imani. Sikuishia hapo, nikaitafuta michepuko miwili mitatu nje nako nikaona inaniganda hadi kero.........ile yenye uwezo ilikuwa inanipiga kampani balaa.
Wenzangu mnatumia mbinu gani huko kuwaweka sawa wake/wenza wenu?!!!
Come on out there, let's share!
Angalizo: kamwe siendi chumvini!
Wewe ni chizi kabisa ila functional 😂😂nyie watu hamna huruma kabisa.....mnadhani kuna kitufe tunabonyeza tuu alafu dushelele linadinda eeh
pole sana ila mie ni 2min x 3 basi sijichoshi.Ila mkuu bao moja chali ata wewe linakukosesha amni , nilisha zingua siku moja mkuu nikakosa ujasiri wa kutokea demu kabsa , ashukuriwe kimbaumbau mmoja nilipga alikuwa ananisifia hatari nikakaza ata kama alidanganya ila alinisaidia kurejesha makali mkuu , wanawake wananafasi kubwa sna kisaikolojia kukurudisha makali mkuu .
Ujue ni dhambi kufanya sana?Sasa nataka tuendelee usiku saa nne kimoja,saa kumi asubuh kimoja na morning Groly
Jumla vitatu kweli ushindwe?
BADO unaweza improve!!Nazungumzia wale ambao tunapiga kabao ketu ndani ya dakika 2-3 na baada ya hapo huo usingizi unaokuja si wa nchi hii....unalala saa mbili na dakika tatu usiku (baada ya kupiga kabao kako) na, kama hujaamshwa, basi unaweza kujikuta unaamka hata saa tatu asubuhi kesho yake.
Najua tupo wengi humu (ingawa nyuma ya keyboard kila mmoja humu anajifanya ni modal man) na tuna sababu tofautitofauti lakini bado tunaweza kushare.
Mwenzenu nimefanikiwa kuoa kabisa na watoto wawili ninao, hata huulizi watoto hawa ni wa nani na wala huwezi kuhitaji DNA kwani tu pamoja kwa kila kitu! Mke pamoja nami mwaka wa 10 huu sasa, ufundi wa viungo vingine kama mikono, ulimi n.k vikitumika kwa umaridadi mkubwa kuziba ombwe........mke nikijaribu kumtishia kumwacha vilio vyenyewe si vya nchi hii; anagalagala hadi huruma. Mara ya kwanza, katika hali hii, nilifikiri anaigiza tu lakini nilipojaribu mara ya pili, tatu hadi nne hali ikawa vilevile huku mke nikimtoa katika eneo linalosifika kwa wanawake kutopenda kuolewa nikapata imani. Sikuishia hapo, nikaitafuta michepuko miwili mitatu nje nako nikaona inaniganda hadi kero.........ile yenye uwezo ilikuwa inanipiga kampani balaa.
Wenzangu mnatumia mbinu gani huko kuwaweka sawa wake/wenza wenu?!!!
Come on out there, let's share!
Angalizo: kamwe siendi chumvini!
Hahahah kwa huo uzoefu yaonesha hata we mbovu
Huku unatutesaNinae tukiamua ni moto Tu unawakaaa yaan
Huamini katika ufundi bossWakuu,
Tibuni matatizo yenu ya Nguvu za kiume
Acheni kujificha kwny kichaka Cha ufundi wa kutomasa mwili mzima.
Mnawalamba lamba mwilini Kama vipaka na kuwapakaza mimate mabinti wa Watu eti mnawafanyia FOREPLAY [emoji4]
Hahahah.Nakupiga ngumi ukilala ufe
Huwa napiga bao 1 tu nikimaliza namtimua demu
Wewe na dawa wapi na wapiPoleni ila ninadawa yakuleta hamu ya ndoa uume kusimama na kuwa mgumu na kusimamia inshu kila upewapo ushirikiano inatakiwa tujue umri wako vingine uzito, nakuangalia imechakaaje hiyo inshu namatibabu yote ni ml 1 kama imeisha kabisa kama ni ngumu kidogo na pp hazijazeeka ni laki 9 ila if siwapi mnamidomo ya kipuuzi Baki na shida zenu na wake zenu wagongee na vijana kazi kwenu midomo michafu na mbor imezeeka .
Pia tunaimarisha mwili ili uchangamke usiwe mchovu wakati wa tendo Hilo asilimia yetu ya matokeo mazuri ni makubwa sana .
Dawa ni ya mizizi ya mimea na miti ni mzuri Kwa afya kabisa Kwa wanaume Kuna vipipi vinaladha ya chungwa na Kuna hii ya maji zote zipo kama juice ila matokeo yake ni mazuri ila hapa siwapi hata utoe hela ya nyumba siwapi .
Mi mwanamke akojoe asikojoe hayanihusu, imradi mimi nimekojoaUbovu na mim dakika moja chali
Ujue ni dhambi kufanya sana?
Ndio najua mie mtaalam wa mambo hayoo utajua hujuiiWewe na dawa wapi na wapi