Wale wa bao moja chaliii tukutane tufarijiane na kujadili kivyetuvyetu!

Wale wa bao moja chaliii tukutane tufarijiane na kujadili kivyetuvyetu!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] chips chakula cha hamu ila ugali chakula cha mifugo
Ulaya mahindi hutumika kutengenezea chakula cha mifugo 80%

Inayobakia wanatengeneza starch, syrup, cooking oil

Sisi walitufananisha na mifugo ndo maana wakatuletea ugali ambao kwa asilimia kubwa husababisha watu wasiwaze
 
[emoji23][emoji23][emoji23] ila wanaume wa kizazi hiki buree kabisa bora wa zamani
Uliona ile video mama mchungaji anasema wanaume wenye matatizo ya nguvu za kiume wapate mbelee
Hakuna alopita nilicheka sanaa
Afu inaonekana unakutana na mabwana wabovu sana, maana sio kwa uzoefu unaoutaja
 
Back
Top Bottom