Bilionea Asigwa
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 16,515
- 28,506
- Thread starter
-
- #181
He he he he[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kama kawaida
Mwaka upi huo??He he he he
Ngoja nikafukue mafaili yangu , lazima nikutafute.
Unamfahamu Rebecca??
Mmemaliza naye mwaka mmoja, alikuwa mwanaukwata na ndiye aliyekata keki yenu ya ukwata siku ya Graduu
Mwaka 1999 mpaka 2006Mwaka upi huo??
Mmmhhh! [emoji23]Huko mbaliMwaka 1999 mpaka 2006
teh teh tehMmmhhh! [emoji23]Huko mbali
Alinivuruga na Java semester ya kwanza nikapoteana kabisa[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Oky
Hata hii neno Django, nimeiona sasa nikaelewa maana yake.
Kumbe kijana wa Justo weye yakhe....
Ha ha ha ha haAlinivuruga na Java semester ya kwanza nikapoteana kabisa[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Hahaaaaaaa haaaaa... Ile kitu ilitupoteza wengi!! Sikumbuki coursework yangu lakn ilikuwa ya kuchechemea mbaya licha ya kubustiwa!!Ha ha ha ha ha
Test ya ya kwanza niilamba 1.5, test two nikalamba 4 course work nikawa na 5.5
Ilibidi acheze makeke atupe free marks kila mtu za 18.
Hapo ndipo nikaingia kwenye U.E na course work ya 23.5
teh teh teh
Ha ha ha haHahaaaaaaa haaaaa... Ile kitu ilitupoteza wengi!! Sikumbuki coursework yangu lakn ilikuwa ya kuchechemea mbaya licha ya kubustiwa!!
Haaaaaa ahaaaaaa.. Sijui kama walirekebisha curriculum!! Ile kitu ilikuwa imewekwa pabaya sanaHa ha ha ha
Halafu course ilikuwa na unit 4 aiseee
Majanga tupu.
Mpaka leo Java siipendi kabisa aiseee, nikiona neno import na neno class, akili inaruka kabisa
Ha ha ha ha
Nishakufaham hahahahaaaaKumbe wewe Mkongwe mwenzangu.
Teh teh teh teh
Ulifanya graduu ya ukwata kweli wewe, maana Graduu zote nilihudhuria mimi.
Nilikuwa mtunza hazina, mpaka namaliza.
He he he heHaaaaaa ahaaaaaa.. Sijui kama walirekebisha curriculum!! Ile kitu ilikuwa imewekwa pabaya sana
Ha ha ha haNishakufaham hahahahaaaa
Alishatoka, labda kama alifungwa tena hadi 2012 alikua uraiani.Masaba pia keshafariki.
Unamkumbuka??
Alikuwa ana kilema cha mguu anafundisha Electrical.
Pia nasikia Baunsa yue mashoto yuko jela, amefungwa kwa kosa la kmpiga mkewe mpaka akaua.
Kumbe hukumkuta Mwl Nyange wa Maths weweHa ha ha ha
yap yule ticha namkumbuka sana, Kanifundisha Brickwork and Masonry yule.
Mpaka nikalamba banda.
Siku hizi yuko Musoma Tech, amechoka sana.
Kawa mlevi wa gongo kupindukia, na anastua kwenye vile vilabu vya uswazi tu.
Nimekutana naye mara kibao.
Hakina ninyi watoyo wa Kitangiri sekondari mtakuwa ni watoto wa Mama Nyanda!...mwalimu Sabuni, Selina, Mwombeki, Mashauri, Mtaki, Raphael na wengine kibao!Hahahaaa nakumbuka bwiru boys jirani zangu pale Kitangiri secondary Ila wanangu mlikua ndezi sana sijui kwakua mlikua karibu na milima ya ngedere Ila kitu kimoja kizuri most of them r very smart I appreciate that