Wale wa Bwiru Boys: Tukumbushane maisha na mikasa ya Bwiru

Kweli, Mwanzoni ilikuwa O'level & A'level...2008 ikawa mwisho kupokea form 1...Hivo form 4 wa mwisho ilikuwa 2011 kama sikosei .
Kwa hiyo siku hizi kwa kuwa mmekuwa A level pekee najua mmnanata balaa.
Yaani nyie watoto mlikuwa mna pozi za hatari.

Full minato.
 
Mwl Rung'wecha alikua na mwanya, kila muda anafurahi tu. Alikua anafundisha na watu walio opt additional maths. Watu walikua wanakata hesabu za advance wakiwa bado o level
 
Mwl Rung'wecha alikua na mwanya, kila muda anafurahi tu. Alikua anafundisha na watu walio opt additional maths. Watu walikua wanakata hesabu za advance wakiwa bado o level
Yap
Yap
Umekumbuka vyema sana aiseee.

Alikuwa mwaimu kichwa sana, kila darasa lililopita mikononi mwaka alilipika vilivyo.
Miaka hiyo Bwiru Boys ilikuwa inaingia top 20 ya Taifa kila mara.

Siku hizi hata top 400 huwa haiingii.
 
Yap
Yap
Umekumbuka vyema sana aiseee.

Alikuwa mwaimu kichwa sana, kila darasa lililopita mikononi mwaka alilipika vilivyo.
Miaka hiyo Bwiru Boys ilikuwa inaingia top 20 ya Taifa kila mara.

Siku hizi hata top 400 huwa haiingii.
Hivi mkuu nini kimeikuta Bwiru asee, enzi hizo ukipata C maths ni kama umefeli
 
Ila nasikia 2013 walirudisha o level
Hivi unajua siku hizi O level wa umendeni wanaiburuza sana Boys kwenye matokeo??

Ile Bwiru mlioiacha sio ya sasa hivi.
Madogo hawajielewi elewi.
 
Hivi mkuu nini kimeikuta Bwiru asee, enzi hizo ukipata C maths ni kama umefeli
Bwiru toka waondoe fororo na kuweka sukari kwenye uji nadhani akili za watu zilianza kuwaza uji tu.
Ha ha ha ha ha

Haiwezekani shule iwe ya 500 kitaifa aisee.
Hata kwenye mkoa tu humo humo haifurukuti.

Mimi nadhani madogo wangerudishiwa fororo akili zingerudi.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji6][emoji23], hivi huko mbeleni hukuwa mzee wa kanisa?
Ha ha ha ha
Hapana aiseee, uzee wa Kanisa na kutema pumba kote huku wapi na wapi??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…