Wale wa Bwiru Boys: Tukumbushane maisha na mikasa ya Bwiru

Siku hiyo nilikunywa kahawa kwa mara ya kwanza ili kuzuia usingizi maana kule porini sikulala kabisa
He he he he
Unamkumbuka Muheshimiwa sana D.C wa sasa alivyongoza mgomo??
Sasa hivi ukimuona kwenye runinga huwezi amini kama ndiye yeye.
 
Ha ha ha ha
Nakumbuka sana tu.

Ila bahati yenu headmaster alitugeuka kwa sababu binafsi anazozijua yeye(teh teh teh).
Ila tulilipiza kwa kuvunja kasanamu kenu pale geti la kuingilia skuli.

Nasikia madogo walikuwa wanakaita Salome.
Hahahahaha! Kile kisanamu kilipewa jina la ZAINA (Jina la mwanafunzi wa kwanza kuingia pale 50's )....Salome liliibukia tu,
 
Hahahahaha! Kile kisanamu kilipewa jina la ZAINA (Jina la mwanafunzi wa kwanza kuingia pale 50's )....Salome liliibukia tu,
He he he he he
Halafu wewe si ulikuwaga timekeeper wa umendeni wewe???
Hivi sijawahi kukubambia kwenye bugi wewe kweli??
 
Sitasahau aisee....
Maisha ya Bwiru nimatam km


brazil...beach sebulen
 
[emoji23][emoji23][emoji23], aaah wapi.
Ha ha ha ha ha
sasa unafikiri utakubali hapa mbele ya raia??

Hivi kwa nini nyie mende mlikuwa hamtufagilii mnawafagilia Nsumba aisee???
 
He he he he
Unamkumbuka Muheshimiwa sana D.C wa sasa alivyongoza mgomo??
Sasa hivi ukimuona kwenye runinga huwezi amini kama ndiye yeye.
Namkumbuka vizuri sana, kama sio yeye vile. Kwa misimamo yake sijui aliingiaje kwenye kile chama[emoji23] [emoji23]
 
Namkumbuka vizuri sana, kama sio yeye vile. Kwa misimamo yake sijui aliingiaje kwenye kile chama[emoji23] [emoji23]
Ha ha ha ha
jamaa anajua kuzichanga karata zake vyema sana.

Ni mtu wa hesabu kali sana.
Mungu amsaidie tu afike mbali, anaweza kuwa kiongozi mkubwa sana nchi hii.
 
Baada ya mgomo nakumbuka unakuja na barua kutoka kwa dc wako pamoja na adhabu ya kufyatua tofali 200. Naskia kisuu alipiga hela pale coz aliyatumia kujenga mabweni ya advance huku akisema ameyanunua
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], hamkuwa wastaarabu.
He he he he
Hatukuwa wastaarabu sisi??

Watu tunafagia mpaka barabara ya kwenda umendeni daily, mnapita pamefagiliwa??
kwenye debate tulikuwa tunaongea kijentlomeni leo unatuia hatukuwa wastaarabu??
 
He he he he
Hatukuwa wastaarabu sisi??

Watu tunafagia mpaka barabara ya kwenda umendeni daily, mnapita pamefagiliwa??
kwenye debate tulikuwa tunaongea kijentlomeni leo unatuia hatukuwa wastaarabu??
Mkuu unakumbuka tukio la trip ya maswa girls[emoji23] [emoji23]
 
He he he he
Hatukuwa wastaarabu sisi??

Watu tunafagia mpaka barabara ya kwenda umendeni daily, mnapita pamefagiliwa??
kwenye debate tulikuwa tunaongea kijentlomeni leo unatuia hatukuwa wastaarabu??
Hahahahhaha!! Chabo je??
Hamkuwa wastaarabu, ndio maana tulikuwa twavuka ng'ambo NSUMBA
 
Mkuu unakumbuka tukio la trip ya maswa girls[emoji23] [emoji23]
Ha ha ha ha
Nakumbuka sana amkuu.

Kuna watu miacha watoto kule, mwende kuwaangaia watoto wetu, watakuwa washakuwa watu wazima sasa.

Unakumbuka Ile shule ya Sengerema inaitwa Nyamprikano ilikuwa Boys kututembelea??

Unakumbuka vijana walivyokuwa wanapigana vikumbo usiku kucha kupata access ya kuzungumza na warembo bweni walilokuwa wamefikia??

Yaani siku hio kuanzia H.P mpaka raia wa kawaida tulikesha madirishani mpaka kukakucha.

Ha ha ha ha ha
Maish haya bana
 
Hahahahhaha!! Chabo je??
Hamkuwa wastaarabu, ndio maana tulikuwa twavuka ng'ambo NSUMBA
Chabo tulikuwa tunawapiga kidogo sio sana.

Hlafu unajua kuna wadada walikuwa wanaenjoi sana kuchunguliwa??

Kuna wadada ninawafahamu mpaka leo walikuwa hawaogagi mabafuni, wao wakishajua mida ya boys kwenda beach na wao wanaenda kuoga ziwani.

Wakifika ni kujiachia tu kama walivyozaliwa, kuoga hawaogi mpaka kengele ya rokooooo.....
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nao walikuwa na ya kwao tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…