Bilionea Asigwa
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 16,515
- 28,506
- Thread starter
-
- #81
Siku hiyo ilikuwa uwanja gani wa Nyamagana au Nsumba??Hii picha imenikumbusha mbali sana. Nakumbuka kuna kipindi tulienda kucheza mechi na nsumba ukatokea ugomvi. Watu ambao hawakua na nauli walitembea kutoka nsumba mpaka bwiru kwa mguu
Nakumbuka vizuriHa ha ha ha ha
Unaaita hio kitu mkweche hio??
Kitu ilikuwa ukiugua hata usiku wa manane ikiwashwa unawahishwa Bugando fastaaaa.
Halafu wewe unaiita mkweche??
Ngoja nikuetee ingineAisee!
Ilikua nsumba. Nsumba na boys wana uhasama wa kihistoria na chanzo ni wanawake (nganza na mende)Siku hiyo ilikuwa uwanja gani wa Nyamagana au Nsumba??
Watu walikuwa wanatembea toka Nsumba mpaka Bwiru kwa miguu ila kengele ya msosi wanaiwahi aiseee
teh teh te h
Sasa usiite mkweche.Nakumbuka vizuri
G8t kwakweli.Ngoja nikuetee ingine
Hapa tulikuwa tunafanya utalii wa ndani maeneo ya Mombasa
He he he heIlikua nsumba. Nsumba na boys wana uhasama wa kihistoria na chanzo ni wanawake (nganza na mende)
G8t kwakweli.
Umetisha..
Ndugu zako hao.
Kwa taarifa yako hio picha nilipiga mimi, center ya focus yangu ilikuwa huyo madame.
Hahahaah..........kudeal na wanafunzi kwake ni sawa na kudeal na wajukuu! Small boys. Baada ya ukuu wa mkoa akawaga balozi for some years in West Africa. Akastaafia huko ubalozini.Dah
Jamaa keshastaafu??
Alitufanya kitu mbaya sana yule jamaa, hatuwezi kumsahau aiseee
Hapo sikulaumu kabisa huyo madam kuwa center ya focus yako. Huyo kushoto mwa madam ni mwanae nini?
Ndugu zako hao.
Kwa taarifa yako hio picha nilipiga mimi, center ya focus yangu ilikuwa huyo madame.
Aliwafanya nini?Dah
Jamaa keshastaafu??
Alitufanya kitu mbaya sana yule jamaa, hatuwezi kumsahau aiseee
Ule hauishi ni kama simba na yangaHe he he he
Huo uhasama huwa hauishi mkuu, ni wa enzi na enzi.
Nasikia miaka ya Nyuma ilishawahi kutokea fujo mpaka ya kuuana kisa Mende na Nganza
He he he he heHahahaah..........kudeal na wanafunzi kwake ni sawa na kudeal na wajukuu! Small boys. Baada ya ukuu wa mkoa akawaga balozi for some years in West Africa. Akastaafia huko ubalozini.
Niliukuta pia uko mwingine Tabora Boys na Milambo, yaani ni visa mpaka vya kuuana.Ule hauishi ni kama simba na yanga
Tuliwahi kugoma tunadai msosi mbaya, kumbe nia ni kuongezewa siku za wali skuli.Aliwafanya nini?
Ha ha ha haHapo sikulaumu kabisa huyo madam kuwa center ya focus yako. Huyo kushoto mwa madam ni mwanae nini?
Wapi nimemuita mwanaume mkuu, hapo hata kipofu anaona kabisa kwamba hicho kisuu[emoji23] [emoji23] [emoji23]Ha ha ha ha
Unamuita mwanaume huyo??
Huyo ni mrembo mkali tu na kwa sasa ni muheshimiwa sana idara fulani nyeti sana ya nchi hii
Hahahahah.....Imagine! Yaani mwenyekiti wa kamati ulinzi na usalama ya mkoa mnamletea uvunjifu wa amani kwa sababu ya kukosa wali maharage?! Bora hata kesi ya kukosa disco na Bwiru girls......mambo ya wanafunzi sometimes very interesting!He he he he he
Na kweli mkuu , maana ishu ya mgomo ilikuwa tunadai wali maharage na sio kingine.
Ndio maana aliona ni ujinga akatutosa.