Bilionea Asigwa
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 16,515
- 28,506
- Thread starter
-
- #141
He he he heMzee chigugu hahahaha...kisuu alipiga pesa akahamishiwa kashule ka kata kanaitwa Buigiri kapo chamwino dodoma, akaenda akahonga zile pesa akapelekwa nadhani Tosamaganga kule iringa, akastaafu saa hii anakula.pensheni yake kajenga na anaishi Moshi. Mtoto wake mkubwa Sarah alikuwa rafimi yangu mzuri tu
Kawa Kilema alikuwa anachechemea???Kisuu nilikutana naye mwaka 2013 Iringa, tulikutana hotelini. Lakini nilimuona kama kawa kilema kidogo
Teh teh teh teh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], Asigwa bwana.
ne hiyoYap
Kisukari kimemchukua aisee.
Kanifundisha Chemistry yule, alikuwa vizuri sana na uzee wake.
Hakuna kitu kama hicho..Teh teh teh teh
We ngoja pakuche.
Utajuta.
Kumbe alikuwa mtu wa Kigoma??Kigoma o
ne hiyo
Kule huwa nakuja, japo si mara kwa mara.Hakuna kitu kama hicho..
Halafu siku hizi umetukimbia kule kwenye uzi wetu pendwa.
Yap. Sasa sijui kama alikua na jeraha mguuni au ndo alivyo. Personally sikuwahi kumpenda. Kuna siku tulikutana kwenye gari natoka mjini sijavaa uniform. Tulivyoshuka akanidaka alinipiga makofi mawili palepale kituoniKawa Kilema alikuwa anachechemea???
Karibu, utatukuta...HATUPOIKule huwa nakuja, japo si mara kwa mara.
Tatizo nimekuwa nikichangia nyuzi nyingi sna humu jukwaani, sasa inabidi utumie muda mwingi kujibu quotes za watu.
Ila nitarudi weekend hii
Haina nenoKaribu, utatukuta...HATUPOI
Daaaadek, we jembe umenirudisha home kabisa!!! Bravo Bwiru boys, live long *mangugi* Wote!! Ni bahati mbaya tu sikuwahi kukanyaga Mombasa, Sina cha kusimulia huko.Nakumbuka maisha ya Bwiru Boys miaka hiyo ilikuwa full mikasa.
Kulikuwa na eneo linaloitwa Mombasa, mahali ambapo vijana wa Boys walikuwa wanazama kuwapiga chabo mabinti wa girls pindi wanaoga.
Sehemu hii ilikuwa maarufu sana maana upande wa Ziwa waiokuwa wanautumia wasichana wa Girls maarufu kama "mende" ulikuwa unatenganishwa na upande wa boys kwa kilima fulani hivi kina mawe ya hatari, lakini vijana walikuwa wana risk life kwenda kula chabo.
Nakumbuka ishu ya headmaster wetu kupindi hicho kulikuwa na tetesi kuwa anapita na mistress wa Nganza, sasa kimbembe kilikuwa ole wenu siku ya debate au bugi(disko) mtoe pendekezo la kuwaleta Bwiru Girls, headmaster ataahirisha hata hilo disko, ila mkimletea mabinti wake wa Nganza, hata usafiri atawapa free.
Nakumbuka misemo maarufu kama kuguga likimaanisha kupiga msuli au kusoma, msemo kama kugenya likimaanisha kufariki, msemo kama fororo ukimaanisha uji usio na sukari, msemo kama mnyambo ukimaanisha mtu mwenye tabia za ubaguzi na kujisikia sikia , msemo kama kudabo ukimaanisha kudrudia msosi mara mbili, form one wakiitwa nguruwe na mingineyo mingi.
Nakumbuka pia visa vya mwanafunzi mmoja alikuwa shombe shombe alikuwa bingwa wa kupita na wake za maticha, mpaka akazaa na mke wa ticha mmoja hivi(Jina tunalihifadhi), akazaa kijana shombe shombe na kuleta mtikisiko mkubwa sana kwenye ndoa ya ticha wetu.
Walimu kama Mazebele, Rung'wecha, Begenyeza, Kissuu, Mchizi Mox, Massaba(R.I.P), Ruhiye(R.I.P) na wengineo wengi.
Nasikia pia kuwa hata Founder wa Forum hii muheshimiwa sana Maxence Mello ni product ya Luthuli Domitory pale njia ya kuelekea ukarani na alikuwa ngugi kweli kweli(just kidding).
Tukumbushane life ya Bwiru aisee.
Wapya wapo wapo, lakini hatupoteani.Haina neno
Naona wadau wapya wengi sana kule saa hizi.
Kesho nakuja rasmi.
Ha ha ha haYap. Sasa sijui kama alikua na jeraha mguuni au ndo alivyo. Personally sikuwahi kumpenda. Kuna siku tulikutana kwenye gari natoka mjini sijavaa uniform. Tulivyoshuka akanidaka alinipiga makofi mawili palepale kituoni
Hina neno.Wapya wapo wapo, lakini hatupoteani.
Mkuu ulikua mwana casfeta nini, maana hao ndo walikua sio wadau wa mombasaDaaaadek, we jembe umenirudisha home kabisa!!! Bravo Bwiru boys, live long *mangugi* Wote!! Ni bahati mbaya tu sikuwahi kukanyaga Mombasa, Sina cha kusimulia huko.
[emoji106][emoji106]Hina neno.
Najua nikirudi na mimi nitaonekana mgeni kwao.
Maana wamekuwa wakongwe tayari kwa miezi mitatu hivi niliyopotea.
He he he he
Kumbe unamfahamu mpaka binti yake??
Pamoja na utukutu wote wa Kissuu ila kwa sasa kawa mtu poa sana.
Kuna grupu moja ya Wassap tulikuwa naye, vijana kwa hasira wakamleftisha fasta.
teh teh teh
Chigugu mzee wa watu alikuwa hana maneno na kaofisi kake kalikuwa pembeni ya duka la shule pale.
Kweli maisha tunatoka mbali sana.
Nilikuwa Ukwata bro!! Sikuwa na mpango tu, lkn pia U-a level nao ulichangiaMkuu ulikua mwana casfeta nini, maana hao ndo walikua sio wadau wa mombasa
Teh teh tehDaaaadek, we jembe umenirudisha home kabisa!!! Bravo Bwiru boys, live long *mangugi* Wote!! Ni bahati mbaya tu sikuwahi kukanyaga Mombasa, Sina cha kusimulia huko.